Rais Ruto: Polisi inapaswa kuwalinda watu wote bila kujali vyama vyao

Rais Ruto: Polisi inapaswa kuwalinda watu wote bila kujali vyama vyao

Huyu atakuwa amelewa. Hajui madaraka yakoje na tayari anaanza kuwa na akili za Kibeberu. Anaongea maneno gani haya?

Utamaduni huu wa kuiga kwa mabeberu. Ni utamaduni wa hovyo. Anataka alete machafuko Kenya na East Africa? Nadhani ameshachoka kuwa Rais. Au ameshiba wenzake wenye uzoefu na Urais hawawezi ongea takataka kama hizi. Huyu Ruto anawezaje ongea maneno haya? Au akili yake imedukuliwa?

Nimemsikiliza mara nyingi. Simwelewi. Sasa anataka Polisi wa Kenya wawe wanafanya nini kama hataki wakamate wapinzani na activitists? Anataka waote vitambi tu? Huyu jamaa amenibore sana. Huu si utamaduni wa marais wa nchi zetu za kiafrika. Nakataa.

View attachment 2421999
Sarcasm at its finest
 
Huyu atakuwa amelewa. Hajui madaraka yakoje na tayari anaanza kuwa na akili za Kibeberu. Anaongea maneno gani haya?

Utamaduni huu wa kuiga kwa mabeberu. Ni utamaduni wa hovyo. Anataka alete machafuko Kenya na East Africa? Nadhani ameshachoka kuwa Rais. Au ameshiba wenzake wenye uzoefu na Urais hawawezi ongea takataka kama hizi. Huyu Ruto anawezaje ongea maneno haya? Au akili yake imedukuliwa?

Nimemsikiliza mara nyingi. Simwelewi. Sasa anataka Polisi wa Kenya wawe wanafanya nini kama hataki wakamate wapinzani na activitists? Anataka waote vitambi tu? Huyu jamaa amenibore sana. Huu si utamaduni wa marais wa nchi zetu za kiafrika. Nakataa.

View attachment 2421999
Nimekuelewa unapinga kitu kipya kutoka kwa Ruto.Kwa kuwa serikali za kiafrika zinalindwa na Polisi.Sasa unashangaa kabisa mwelekeo wa huyu jamaa.
 
Huyu atakuwa amelewa. Hajui madaraka yakoje na tayari anaanza kuwa na akili za Kibeberu. Anaongea maneno gani haya?

Utamaduni huu wa kuiga kwa mabeberu. Ni utamaduni wa hovyo. Anataka alete machafuko Kenya na East Africa? Nadhani ameshachoka kuwa Rais. Au ameshiba wenzake wenye uzoefu na Urais hawawezi ongea takataka kama hizi. Huyu Ruto anawezaje ongea maneno haya? Au akili yake imedukuliwa?

Nimemsikiliza mara nyingi. Simwelewi. Sasa anataka Polisi wa Kenya wawe wanafanya nini kama hataki wakamate wapinzani na activitists? Anataka waote vitambi tu? Huyu jamaa amenibore sana. Huu si utamaduni wa marais wa nchi zetu za kiafrika. Nakataa.

View attachment 2421999
hao ndo viongozi kutoa uhuru kwa kila mtu kutoa mawazo yake
 
Kwa nini hakuna kiongozi wa Africa anayeza kumaanisha hivyo??
Amna kitu hapo ni siasa tu kuwa blackmail wajinga wajinga wasioelewa siasa.

Nyuma ya pazia atampigia mkuu wa polisi amwambie finya kunguni wote wanaojaribu kunisumbua.

Hakuna kiongozi wa afrika anaweza kukemea jambo hilo kwa kumaanisha, hakuna!
 

Attachments

  • images (1).jpeg
    images (1).jpeg
    27.8 KB · Views: 6
  • download.jpeg
    download.jpeg
    10.7 KB · Views: 7
Amna kitu hapo ni siasa tu kuwa blackmail wajinga wajinga wasioelewa siasa.

Nyuma ya pazia atampigia mkuu wa polisi amwambie finya kunguni wote wanaojaribu kunisumbua.

Hakuna kiongozi wa afrika anaweza kukemea jambo hilo kwa kumaanisha, hakuna!

Hujaona zambia??
 
Hujaona zambia??
Usiwe mshamba wa siasa za kiafrika ebu fuatilia historia ya dikteta Mobutu, Sani Abacha, Museven nk. Walianzaje tawala zao kwa miaka ya mwanzo mwanzo zilianzaje na mwisho mwisho ziliishaje. Huyu wa Zambia ana mwaka 1 tu kwahiyo subiri miaka 3 ya mbele akishasuka team yake jeshini, polisi, mahakamani nk afu ndo uje useme.
 
Back
Top Bottom