Rais Samia aache kukwepa majukumu

Rais Samia aache kukwepa majukumu

shida yenu hamuoni mazuri yake

Sent using Jamii Forums mobile app
Unataka tuwe punguani tuone kuwa kuuza maliasili zetu kwa wajomba zake ni jambo zuri?
Mbaya zaidi wale wanaotumia jinsia yake kama ngao ya kumlinda! Tatizo la Samia sio jinsia yake bali ni uwezo wake mndogo ; mnamlazimisha tu na huo Urais! Passion yake ni uigizaji, kama alivyofanya kwenye documentary yake ya “Royal Tour “!
 
CDF alikurupuka. Hakuna mkimbizi aliyeteuliwa serikalini.

Mkimbizi akiwa naturalized ana haki ya kushika nafasi yeyote ile isipokuwa nafasi ya Rais na VP ambao ni lazima wawe watanzania by birth. Nafasi zingine zote sio lazima.

Mtu akiwa naturalized hakuna sababu ya kuendelea kubring up ukimbizi wake. Tatizo wabongo wengi wanaamini mtu akiwa mkimbizi anakuwa mkimbizi milele. Huu ni ujinga wa watanzania walio wengi.

Serikali haiwezi kuteua mkimbizi hata kama serikali ya bongo ni mbaya vp. Maza alimlindia heshima tu ila CDF alipuyanga.

Yaani CDF na vyombo vinavyomsaidia huku chini vime collect information zao na kuzichakata wakajanna conclusion halaf unadai amekurupuka?

Seriously?
 
CDF ni sehemu tu ya vyombo vya Rais, na Rais hawajibiki kumuamini CDF moja kwa moja, ndio maana ana taasisi zaidi ya moja za kumpa taarifa.

What if hata huyo CDF kapotoshwa?

Rais ana usalama wa taifa, ana uhamiaji, ana watu wa ofisi ya Rais, wakuu wa mikoa, wilaya, kata, tarafa, na kila aina ya taasisi za kumsaidia

Unajua CDF ana unit ngapi jeshini zinazompa taarifa?
 
CDF alikurupuka. Hakuna mkimbizi aliyeteuliwa serikalini.

Mkimbizi akiwa naturalized ana haki ya kushika nafasi yeyote ile isipokuwa nafasi ya Rais na VP ambao ni lazima wawe watanzania by birth. Nafasi zingine zote sio lazima.

Mtu akiwa naturalized hakuna sababu ya kuendelea kubring up ukimbizi wake. Tatizo wabongo wengi wanaamini mtu akiwa mkimbizi anakuwa mkimbizi milele. Huu ni ujinga wa watanzania walio wengi.

Serikali haiwezi kuteua mkimbizi hata kama serikali ya bongo ni mbaya vp. Maza alimlindia heshima tu ila CDF alipuyanga.
Kichwa cha kuku hakihimili kiremba
 
Hata JWTZ ni Rais pia anawahakiki, ndani ya JWTZ Rais ana watu wa usalama wengi tu, ama laaa, Mkuu wa Majeshi atuambie kwamba yeye Mkuu wa Majeshi ameyaona kwa wanasiasa tu na watendaji wa nje ya jeshi
Chiembe acha utoto kuwa mkubwa unaongea kma kwamba hujui
 
Wakati akiwa kwenye mkutano wa JWTZ, Rais Samia alijulishwa na Mkuu wa majeshi Jenerali Jacob Mkunda kuwa Kuna wakimbizi wameteuliwa kwenye vyombo vya maamuzi.

Ili kukwepa hiyo kauli ya CDF, Rais Samia alipopewa nafasi ya kuongea kwenye mkutano huo, akaleta mada nyingine kwamba mwaka 2025 ni mwaka wa uchaguzi hivyo vyama vipo vingi na vingine havina Nia njema, hivyo jeshi liwe tayari kwa lolote.

Kauli ya Rais ilikuwa ya kinafiki na kujaribu kujenga taswira ya kwamba vyama vya Upinzani vinalenga kuleta fujo au kauli ya Rais ililenga kuwaingiza wanajeshi kwenye siasa za kuilinda CCM .

Namuomba Rais asitumie vyama vya Upinzani Kama Chaka la kujifichia, kwani tumefanya chaguzi nyingi na JWTZ haijawahi kuhusishwa. Yeye ajikite kushughulikia kauli ya CDF kuhusu wakimbizi kuteuliwa kwenye nafasi za kisiasa. Aache longolongo.
100%
 
Rais ana vyombo vingi vya kuhakiki taarifa, uongozi sio kukurupuka, lazima afanye due diligence ili asimuonee mtu kwa sababu tu kazaliwa Karagwe, Kigoma, Ngara, Mbeya, Mtwara
Kwa hiyo CDF alidanganya?!
 
Yaani CDF na vyombo vinavyomsaidia huku chini vime collect information zao na kuzichakata wakajanna conclusion halaf unadai amekurupuka?

Seriously?

Amekurupuka ndo maana boss wake amempuuza. Boss wake ana vyombo zaidi yake including jeshi lenyewe BTW.
 
Hivi unajua CDF ni nani kimamlaka ndani ya nchi ? Au unadhani CDF ni kama chawa wengine?

CDF ni mteule wa Rais kama Jokate, Makonda, Nikki wa pili, mkurugenzi au mkuu wa wilaya. Boss wake, CIC, anaweza mtengua muda wowote akitaka. Endeleeni kujazana ujinga huko vijiweni.
 
CDF ni mteule wa Rais kama Jokate, Makonda, Nikki wa pili, mkurugenzi au mkuu wa wilaya. Boss wake, CIC, anaweza mtengua muda wowote akitaka. Endeleeni kujazana ujinga huko vijiweni.
Ajaribu aone moto wake
 
Leta rejea tukuelewe;CDF ana mamlaka gani makubwa na hayo mamlaka yanapatikana wapi sheriani au katibani?

Hawa wabongo wanajazana ujinga vijiweni wanadhani CDF ni likitu likubwa kuliko Rais mwenyewe kumbe CDF anaweza tenguliwa muda wowote kama Makonda tu.
 
Rais ana vyombo vingi vya kuhakiki taarifa, uongozi sio kukurupuka, lazima afanye due diligence ili asimuonee mtu kwa sababu tu kazaliwa Karagwe, Kigoma, Ngara, Mbeya, Mtwara
Kwa hiyo cdf alimdanganya raisi au kama kuna vyombo vingi mbona wakimbizi kibao wamejaa maofisini, mitaani hivyo vyombo viko wapi.Mm niko hapa Kigoma kila kona wamejaa warundi mpaka kwenye mabaa sasa hivyo vyombo haviwaoni?
 
Back
Top Bottom