Rais Samia aagiza Darasa la Saba waliofutwa kazi walipwe stahiki zao

Sawa, Mazaa ameamua, WATALIPWA stahiki zao, kama hupendi rudi Burundi!
 
Sawa, upo sahihi kabisa, hujaridhika nenda mahakamani, wapo sahihi kuwafukuza maana waligushi vyeti.

Swali ni kwamba serikali itatumia utaratibu upi wa kisheria kuchukua hizi fedha kwenye account za wahusika kwenye mifuko ya jamii?
 
Sasa waliopokea vyeti feki je., nadhan kama walitumika vizuri wakatoa huduma inavyostahiki wapewe haki zao kwa sababu hata walioajiriwa kwa sifa uko maofisini wana viburi vya hali ya juu kabisa.,
 
Kisheria kughushi nyaraka ni jinai...wanatakiwa washtakiwe......
Sawa kwenye hilo tupo pamoja.....
serikali imeamua haiwashtaki bali imewafukuza tu aliyeonewa ndo aende mahakamani si ndio?

Na wahalifu wamekubali makosa hawaendi mahakamani kuishtaki serikali wanapambana na hali zao...

Swali ni kwamba zile pesa serikali itafuata utaratibu upi wa kisheria kuzichukua kwenye account za mifuko ya jamii ya wahusika bila hukumu ya mahakama?

Ili kuchukua hizo fedha, mahakama inatakiwa ihukumu wahusika baada ya serikali kuwafungulia mashtaka.

Hiyo hukumu inatakiwa ieleze kuwa serikali ilipwe fidia kwa kutumia stahiki za waajiriwa, na kwa stahiki zisizotosha fidia basi watuhumiwa watumikie kifungo.

Huo ndo utaratibu wa sheria kama unataka ufatwe.

Baada ya hukumu raisi anaweza pia kutangaza msamaha na akawaacha.

Ndo maana nakwambia tatizo si sheria, tatizo ni msamaha kama watapewa. Hutaki wasamehewe kwa sababu unazozijua wewe.
 
Mchakato umeanza wa kumuita nwenye heri... kisha saint..

St Magufuli[emoji16][emoji16]
Rest in peace Jembe mafii yako. Limeiba matrillion na bila aibu hadi rambirambi. Limeondoka na halirudi tenaaaaaaaaaa na life tena huko lilipo.
 
Wewe Kuna laana kubwa zaidi ya kudhulumu jasho la watu , Mungu mwenyewe kaamua kumuadhibu Jiwe na wewe bado unafanya yaleyale angalia mkono wa bwana utakushukia , hata Jiwe alifikiri yupo sahihi kwenye kila kitu kumbe amekosea mambo mengi sana na ameathiri watu wengi sana na familia zao , mpaka Mungu akaamua kuingilia kati muwe mnajifunza .
 
Wewe nawe ni mmojawao. Unatufanya wengine hatukusiliza hotuba ya Rais ? Mama kazungumzia darasa la saba wewe.
Pimbi kweli wewe kwahiyo kila anayetetea Jambo naye Ni mhusika ? Use common sense or rational procedure to think and act .
 
Kwa hiyo muajiriwa anapofanikiwa kumrubuni muajiri basi vyeti vyote vinageuka vinakuwa halali....??
Unaelewa maana ya mwajiri kuwafanyia interview wafanyakazi kabla ya kuwaajiri ? Kama mwajiri anawaajiri huku wanna vyeti feki kazi ya huyo mwajiri ni nini sasa ?
 
Michango iliyokuwa inakatwa ilitoka kwenye mshahara ambao haramu......sio tu hawapaswi kulipwa bali wanapaswa hata kurudisha mishahara yote waliyokuwa wanapokea huku wakijua wao ni matapeli.....UADILIFU UANZIE HAPO KWANZA.....
Una akili za kitoto kweli , kwahiyo wakirudisha hiyo mishahara na nyinyi mtawarudishie nguvu zao na huduma walizozitoa kwa muda wote waliofanya kazi ?
 
Huyu mama yetu hajawa Rais kwa bahati ; hwenda Mungu kaamua kutuliza mioyo iliyopondeka taratibu.Ingawa hakuongeza michuzi kwa wafanyakazi lakini sababu alizotoa zimejaa matumaini
 
Huna Akili hata kidogo,mlipeleka vyeti feki tunaanzia hapo mlipwe haki yenu then tuwapeleke kortini kwa kughushi.
We Pimbi kwahiyo vyeti ndio vilikuwa vinafanya kazi ? Sio kila anayetetea wahanga nae mhusika , mimi Sina roho mbaya ya kihutu kufurahia haki za binadamu kudhulumiwa , Sasa na nyie mlipe nguvu zao na huduma walizozitoa kwa muda wote waliofanya kazi .
 
We chawa wa marehemu Jiwe unasemaje ? Vipi jeshini , polisi ,magereza , uhamiaji , usalama wa taifa wamejaa mpaka kumi wanakitumia cheti kimoja na wana vyeo vikubwa kweli double standard ya nini ?
 
Marehemu baba yako aliyeiba tilioni moja na nusu sio mwizi ? Na zile tillioni saba alizodhulumiwa na Kagame alizompa Tanzanite yeye sio mhujumu uchumi ?
 
Na ndio itakavyokuwa Kama unaumia we umia tu , mbona Jiwe hajarudisha tilioni moja na nusu na tilioni saba alizodhulumiwa na Kagame alizompa Tanzanite ?
 
Vyeti fake ni jinai sasa alipwe ksha apelekwe mahakamani afungwe kwa udanganyifu kisha alipe ma fidia.
Je watakubali hilo?
Uvivu wa waajiri hauwezi kuwapeleka jera waajiriwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…