Chief Kabikula
JF-Expert Member
- Jan 1, 2019
- 7,567
- 9,037
- Thread starter
-
- #321
Kumbuka bosi wako Jiwe nae anafeki Phd thesis ya korosho feki amepata urais kwa njia ya udanganyifu anapataje moral authority ya kufukuza wengine ?Mwizi kufanikiwa kuiba haihalalishi umiliki halali wa kile alichokiiba.....
Tatizo linaanzia pale walipotumia udanganyifu kupata hiyo ajira ndio inawaondolea uhalali wa wao kupata mafao......chanzo cha pato lao ni haramu na mafao yao ambayo ni sehemu ya mshahara huo haramu pia ni haramu
Extremely low moral values.Umegushi cheti, umejipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwa hiyo ni mwizi,tena ulipwe mafao wakati ulipaswa kuwa jela!Hii nchi ni ya kufikirika kabisa.You can literally do anything and go away with it.Inatisha.Na ndio itakavyokuwa Kama unaumia we umia tu , mbona Jiwe hajarudisha tilioni moja na nusu na tilioni saba alizodhulumiwa na Kagame alizompa Tanzanite ?
Yeye mwenyewe KikulachoChako, ni feki!Kumbuka bosi wako Jiwe nae anafeki Phd thesis ya korosho feki amepata urais kwa njia ya udanganyifu anapataje moral authority ya kufukuza wengine ?
Nakwambia hivi Jiwe alikuwa na PhD feki anapataje moral authority ya kufukuza wengine wakati yeye mwenyewe kapata urais kwa kupresent vyeti feki ?.Extremely low moral values.Umegushi cheti, umejipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwa hiyo ni mwizi,tena ulipwe mafao wakati ulipaswa kuwa jela!Hii nchi ni ya kufikirika kabisa.You can literally do anything and go away with it.Inatisha.
High moral value ni kumuua Ben Saa8, kumpiga TAL risasi na ufisadi wa T1.5??! Au ni kukataa utaalamu wa Kisayansi kuhusu kuidhibiti corona? Kwako Wewe moral value ambayo ni very high, ni kuwaita wenzetu wa Magharibi ambao wametusaidia mengi, Mabeberu? Very high moral value ni kuunda task force ya kunyang’anya wafanyabiashara pesa zao kwa kisingizio cha kodi, na kuziweka kwenye akaunti binafsi?! Au moral value ni kununua upinzani? Ni kubaka na kuchafua uchaguzi?!Extremely low moral values.Umegushi cheti, umejipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwa hiyo ni mwizi,tena ulipwe mafao wakati ulipaswa kuwa jela!Hii nchi ni ya kufikirika kabisa.You can literally do anything and go away with it.Inatisha.
Hayo mengine unayozungumzia mimi hayanihusu.Mimi nazungumzia juu ya kugushi vyeti na kulipwa.And then it's stupid kufanya kosa kwa sababu mwingine kafanya.Kama you are a morally correct person,you will stand by your moral standards and values no matter what.High moral value ni kumuua Ben Saa8, kumpiga TAL risasi na ufisadi wa T1.5??! Au ni kukataa utaalamu waKisayansi? Kwako Wewe moral value ambayo ni very high, ni kuwaita wenzetu wa Magharibi ambao wametusaidia mengi, Mabeberu? Very high moral value ni kuunda task force ya kunyang’anya wafanyabiashara pesa zao kwa kisingizio cha kodi, na kuziweka kwenye akaunti binafsi?! Au moral value ni kununua upinzani? Ni kubaka na kuchafua uchaguzi?!
You have no morals nor any values, unafanana na jiwe Mtu unaloliabudu!
Msimamo bado ni ule ule...We Pimbi Jiwe Mhutu kafa lakini kawaachia urithi wa roho yake ya kihutu openly .
Mkuu unaweza kuta huyu unayejibizana naye ni baba wa familia na familia inamtegemea kwa ushauri na muongozo.......hili taifa lina safari ndefu sana........Extremely low moral values.Umegushi cheti, umejipatia fedha kwa njia ya udanganyifu kwa hiyo ni mwizi,tena ulipwe mafao wakati ulipaswa kuwa jela!Hii nchi ni ya kufikirika kabisa.You can literally do anything and go away with it.Inatisha.
Pimbi ni ukoo wako wote,nimesema wasidhulumiwe walipwe haki yao ikiwezekana na fidia ya kuteseka kwa miaka sita kisha baada ya hapo sheria ya kughushi ichukue mkondo wake we kibakuli sijui kibakuza or whatever you call yourself!Roho nzuri ni kufumbia macho makosa ya jinai?Ngoja ukutwwe na vibaka wakule jicho alafu serikali ifumbie macho kama hujatulalmikia humu,Gwederamo Nyie!We Pimbi kwahiyo vyeti ndio vilikuwa vinafanya kazi ? Sio kila anayetetea wahanga nae mhusika , mimi Sina roho mbaya ya kihutu kufurahia haki za binadamu kudhulumiwa , Sasa na nyie mlipe nguvu zao na huduma walizozitoa kwa muda wote waliofanya kazi .
Two wrongs don't make a right kama mna ushahidi na yeye taifisheni mafao yake kama hao wafoji vyeti waliotimuliwa kwa vyeti vya kufojiMarehemu baba yako aliyeiba tilioni moja na nusu sio mwizi ? Na zile tillioni saba alizodhulumiwa na Kagame alizompa Tanzanite yeye sio mhujumu uchumi ?
Two wrongs do not make a right we boya,hata nani awe amefanya nini kibaya haikuhalalishii nawe kufanya kitu kibaya ili muwe sawa.High moral value ni kumuua Ben Saa8, kumpiga TAL risasi na ufisadi wa T1.5??! Au ni kukataa utaalamu wa Kisayansi kuhusu kuidhibiti corona? Kwako Wewe moral value ambayo ni very high, ni kuwaita wenzetu wa Magharibi ambao wametusaidia mengi, Mabeberu? Very high moral value ni kuunda task force ya kunyang’anya wafanyabiashara pesa zao kwa kisingizio cha kodi, na kuziweka kwenye akaunti binafsi?! Au moral value ni kununua upinzani? Ni kubaka na kuchafua uchaguzi?!
You have no morals nor any values, unafanana na jiwe Mtu unaloliabudu!
Weka majina yao na ushahidi kama unao humuWe chawa wa marehemu Jiwe unasemaje ? Vipi jeshini , polisi ,magereza , uhamiaji , usalama wa taifa wamejaa mpaka kumi wanakitumia cheti kimoja na wana vyeo vikubwa kweli double standard ya nini ?
Kwa hiyo hiyo two wrongs ni pamoja na wewe kuniita boya, au hapo Upo right?Two wrongs do not make a right we boya,hata nani awe amefanya nini kibaya haikuhalalishii nawe kufanya kitu kibaya ili muwe sawa.
Wewe ambaye akili yako ya kamasi inakuaminisha kwamba hakuitumia hivyo, umejengea kwenye msingi upi? Mungu alishahukumu kesi, na Mazaa ameshaamua, WATALIPWA, hutaki, nenda ukaemdeleze mrality huku, mahali pema peponi!Hayo mengine unayozungumzia mimi hayanihusu.Mimi nazungumzia juu ya kugushi vyeti na kulipwa.And then it's stupid kufanya kosa kwa sababu mwingine kafanya.Kama you are a morally correct person,you will stand by your moral standards and values no matter what.
Mkuu umeonyesha wazi how low your moral standards are.
Mwisho,hivi kweli ukiambiwa utoe ushahidi kama Magufuli aliiba hiyo fedha na kuitumia kwa maslahi yake binafsi,wewe as a person unaweza kweli,au mnasikiliza tu story za vijiweni.Akili zenu makamasi kabisa.
Hivi kwa kebehi hizo unadhani wewe hutakufa,mbona na wewe ni maiti mtarajiwa,au umesahauu...Wewe ambaye akili yako ya kamasi inakuaminisha kwamba hakuitumia hivyo, umejengea kwenye msingi upi? Mungu alishahukumu kesi, na Mazaa ameshaamua, WATALIPWA, hutaki, nenda ukaemdeleze mrality huku, mahali pema peponi!
Nitakufa, lakini siabudu Mtu wala falfasa za Mtu! Matatizo ya elimu na vyeti yapo tele Tanzania, mfano mzuri ni sakata la Bashite, ambaye mwendazake alimkumbatia kama Luba, alafu Wewe unashangilia watu kupokwa stahiki zao, kisa makaratasi?!Hivi kwa kebehi hizo unadhani wewe hutakufa,mbona na wewe ni maiti mtarajiwa,au umesahauu...
Msimamo uko palepale usihalalishe dhulumu kisa sheria .Msimamo bado ni ule ule...
"Usihalalishe uvunjifu wa sheria kisa ubinadamu."
Mama kaishasema walipwe kama hutaki basi mfuate mwendazake , unafikiri wote walikuwa wanapenda matendo yake , Kama ulikuwa unampenda Sana buku Saba mataga si umfuate ?Huyo Mungu ulikutana Naye ukaongea Naye wapi mwizi mfoji vyeti wewe?
Mungu hashindi internet Cafe wanako print vyeti feki anaishi mbinguni
Mbinguni havipatikani vyeti feki
Wala Mungu huwa hagawi vyeti feki sababu anajua sio haki vyeti feki Mungu aliwatendea haki kuhakikisha mnatimuliwa bila mafao
Mwacheni Mungu aitwe Mungu
Kweli Mungu sio Athumani
Wewe mataga Yehodada ushahidi unawekwa humu ? Kilichomfanya Jiwe asiguse jeshi , polisi , magereza ,uhamiaji , usalama wa taifa hukijui ? One does not have to be a genius to understand that .Weka majina yao na ushahidi kama unao humu
Kama unabisha mrudishe basi Mungu wako wewe na Kabudi , yesu wa Lugola , mrudishe atake asitake aache umailaika mkuu .Huyo Mungu ulikutana Naye ukaongea Naye wapi mwizi mfoji vyeti wewe?
Mungu hashindi internet Cafe wanako print vyeti feki anaishi mbinguni
Mbinguni havipatikani vyeti feki
Wala Mungu huwa hagawi vyeti feki sababu anajua sio haki vyeti feki Mungu aliwatendea haki kuhakikisha mnatimuliwa bila mafao
Mwacheni Mungu aitwe Mungu
Kweli Mungu sio Athumani