The Remaining Soldier
Member
- Feb 25, 2021
- 54
- 74
Mwendazake angeendelea kuwepo angeambukiza watu wengi Sana roho yake mbaya ya kihutu ndio maana Mungu akaamua ampe umalaika mkuu , ona majitu kwenye huu uzi yanavyoshabikia watu wasilipwe stahiki zao , ndio miaka mitano tu , je angekaa kumi atake asitake si angezalisha maakina Yehodaya mengi sana .uongo kwa hiyo kule mtu yeyote aweza kuwa daktari wa operation au rubani bila cheti? vyuo vikuu wanafundisha wasio na vyeti?