Rais Samia aagiza Mtoto mwenye ulemavu wa mguu apatiwe Mguu wa Bandia kwa gharama za Ofisi ya Rais

Rais Samia aagiza Mtoto mwenye ulemavu wa mguu apatiwe Mguu wa Bandia kwa gharama za Ofisi ya Rais

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

Rais Samia Suluhu Hassan akitoa maelekezo kuhusu mtoto mwenye ulemavu wa mguu kufanyiwa mchakato wa kupewa mguu wa bandia kwa gharama ya Ofisi ya Rais.

Ametoa maelekezo hayo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tunduma Mkoani Songwe, Mariam Chaurembo wakati aliposimama kuzungumza na Wananchi wa Momba, Wilaya ya Tunduma.
 

Rais Samia Suluhu Hassan akitoa maelekezo kuhusu mtoto mwenye ulemavu wa mguu kufanyiwa mchakato wa kupewa mguu wa bandia kwa gharama ya Ofisi ya Rais.

Ametoa maelekezo hayo kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Tunduma Mkoani Songwe, Mariam Chaurembo wakati aliposimama kuzungumza na Wananchi wa Momba, Wilaya ya Tunduma.

Utu ukifanyika kwa mtu hata mmoja ni faraja iliyoje.
 
Nimelia sana kwa furaha ya upendo huu wa mama kwa mtoto. Mama pia alienda kumsalimia Lissu kule ubeleji, Lissu naye ana tatizo kama hilo
 
Swala la kijinga kama hili nalo la kusubiri Rais? hapo kuna RC/RAS/DC/DAS/DED/Mbungu/Madiwani/DMO/DEO n.k hovyo kabisa
 
Huu ni ujinga namba moja.utawasaidia wangapi?kwann yy km rais asifanye mpango wezeshi wakusaidia hao watoto nchi nzma kwa garama nafuu au ikiwezekana bure kabisa kwa garama za serikali.FIKIRI GARAMA ANAZOTUMIA KWAJILI YA MSAFARA WAKE HAPA NDANI UNAWEZA UKASAIDIA WATOTO WENYE TATIZO KM HILO NCHI NZMA. vp kuhusu magari ya wakuu wawilaya na miposho yao HAIWEZI?BADO KUNA NGO NYINGI YEYE KM RAIS AKASHAWISHI....NCHI HI INA SAFARI NDEEFU SANA KWA STYLE YA VIONGOZ KM HAWA
 
Akifanya mazuri tumpongeze akiboronga tumpopoe Kudos Maza.
 
Back
Top Bottom