Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Muulize mbunge wako uliyemchagua hayo maswali. na kwa Maneno ya Kiswahili Raisi ni Mkubwa kuliko makamo wa raisi hata ukubadilisha kwa lugha za kigeni, hata kwenye hafla za kimataifa ndio utaratibu
Huna akili tuliza takle
 
Umekubali kwamba Rais kachanganya madawa?
 
Zanzibar ni inchi ambayo ina katiba yake na wimbo pia
 
PM je
 
Safi
 
Mama ana taka kumfa ya rais wa zenji kama msaidizi wake
 
... nilishangaa sana kilichowapeleka rais na makamu wa rais Znz Bungeni Dodoma wakati wa hotuba ya Madam President!

Zanzibar katika Bunge la Jamhuri ya Muungano unaishangaa, mimi nashangaa kwanini Bunge la Muungano lijivishe joho la Bunge la Tanganyika.

Ingependeza Bunge la Muungano liwe linafanya vikao kwa zamu kikao cha 11 Dodoma, Kikao cha 12 Zanzibar yaani kupokezana ili sehemu hizi za muungano kufaidi pesa za hoteli, nyama choma,bia , utalii nk badala ya choyo ya Tanganyika kungangania vikao vyote vya Bunge hili la muungano kufanyika Tanganyika tu.
 
Mm nilitaka kununua nikashindwa
 
Si kweli...
 

Wakati wa sherehe za Mapinduzi Zanzibar rais wa SMZ huingia uwanja wa Amaani Unguja wa mwisho huku Rais JMT na Makamu wa rais JMT wakiwa tayari uwanjani.

Shughuli ikiisha rais wa serikali ya SMZ huondoka wa kwanza uwanjani akiwaacha rais wa Muungano na makamu wa rais wa JMT uwanjani.

Protokali hii ina maanisha rais wa SMZ ni mkubwa kuliko makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
Nipo naye hapa, nimemueleza yote uliyoandika...anasema sawa atayatendea kazi...
 
Tatizo unaongea kiushabiki hujui chochote kuhusu nini ilikuwa lengo la Muungano huu na ni nini kimeufanya mpaka leo uwepo pamoja na mapungufu yake.

hayo unayozungumza wewe wenye akili zao walishayaona na kuyafanyia kazi, lakini sio kwa namna unavyoshabikia wewe, kwa sababu waliona hatari yake,

kikubwa waliutaka muungano lakini sio kwa Zanzibar kumezwa na Bara, ndio maana Zanzibar ikiachwa na uhuru wake kidogo,

unachokitaka wewe kwamba Zanzibar iwe kama mkoa tu, usizani kinakubalika huko Zanzibar,

ila kuna clip alizungumza vizuri sana Mwal Nyerere, nadhani ni kipindi anapangua hoja za lile group la 55 ambalo lilikuwa linadai serikali ya Tanganyika na wakaufyata mpaka leo.

mwenye ujuzi wa kutowekea hiyo clip anawaeza kuweka hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…