Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Tusibishe vitu wakati huna facts!! Ukiongea na mtu aliusoma muungano akakuelewesha historia ya tanganyika na zanzibar kama huna facts nenda maktaba kasome alaf uje hapa na facts ndo ubishe. Siku izi hatubishi bila facts wala kwa kuhemka. Zanzibar in nguvu kiuchumi na ina maendeleo mengi kuliko bara na dola yake ilikuwa kubwa na unkweli angalia architecture ya ikulu ya dar es Salaam na zanzibar utaona naongea nn. Lakini pia unajua maana ya Dar Es Salaam? Jina hilo limetoka wapi aya asili take ni ipi? Na aliyejenga ikulu ya dar ni nani? Fatilia hivi vitu kwanza alaf tuje tubishane.
 
Aliongea lini hiko kitu. Ivi unajua kilichosababisha kifo cha karume kwanza? Karume alifika mda akawa anaongelea kuhusu kuvunja muungano hadharani kabisa ww jnaongea nn ???
 
Nyerere was a fraud alotia nchi yetu umaskini na alipoona mambo yamemshinda akaachia madaraka na kumpisha mwinyi, wakati huo mwinyi alikuwa rais znz. Nyerere alitufelisha kwenye ujamaa wake mpaka taifa likawa linagawa chakula na mahitaji mengine kwa ration. Ila kuna wabongo wengi hawajui kuwa miaka ya 80 watu walipanga foleni kuchukua ration na unga, sukari no na ukikutwa na zaidi ya kiasi unachotakiwa kuwa nacho ni kesi na unashtakiwa. Tusome historia ya nchi na tunatakiwa tukaperuzi kwelikweli mana hizo taarifa hazipatikani kirahisi. Yani ata mkataba wa muungano unafichwa sababu muda wa muungano umeisha mda, insert huu muungano ni haramu kwa sasa na hauko kihalali na ndomana wazanzibari hawautaki mana sio halali na kuna mambo yameongezwa ambayo hayakuwepo kweneye mtakaba ulosainiwa na karume na nyerere,.
 
Hivi Rais wa JMT akienda Zanzibar nani anakuwa mkubwa kati ya Rais wa Zanzibar na wa JMT?
 
Huu mwanzo tu yajayo yanafurahisha mama sijui kama hayatamtikisa
 
Tuna wabara wengi Tu kwenye kaZi za public Zanzibar
 
Muulize mbunge wako uliyemchagua hayo maswali. na kwa Maneno ya Kiswahili Raisi ni Mkubwa kuliko makamo wa raisi hata ukubadilisha kwa lugha za kigeni, hata kwenye hafla za kimataifa ndio utaratibu
Hapana. Wewe na yeye mpate hii elimu. Msitafute logic zenu. Toka mwaka 1992 utaratibu ni Rais wa Jamhuri, Makamu wa Rais wa Jamhuri, Rais wa Zbar, Waziri Mkuu, Makamu wa 1wa Rais Zbar, Makamu wa 2 wa Rais Zbar, in that order. Hii order ndiyo muhimu. Rais wastaafu wanafuata hapo kama wapo, au kabla ya wale makamu wa Zbar kwa heshima tu maana hawana vyeo serikalini. Kisha Spika na Jaji Mkuu. Hawa wa vyombo vya usalama ni uoga tu ndio unawafanya kutajwa; si lazima! Kwa kujipendekeza kama vile ni kampeni za uchaguzi utaona hata mtendaji wa kata anatajwa, na kila anayehutubia anataja hiyo orodha ndefu. Kwingine wasio na woga wanataja watu wawili watatu halafu wanalonga!
 
Mhhh wewe nawe
 
Jamaa kaandika kwa kujiamini eti waziri mkuu kiprotocal yupo juu ya raisi wa zanzabar hahaha nimecheka...raisi wa Zanzibar ni no.3 waziri mkuu ni no.4.....ulivoandika sasa hako kakipengele kwa kunimwambafai kumbe hujui
 
Kwa hiyo imemalizwa ?
 
Kwa Mambo yote,na hafra zote,na matukio yote yanayohusu Tanzania (muungano),mfano rais kulihitubia bunge la Tanzania,n.k.kama majuz mama SSH alipokuwa akihutubia bunge,Basi makamu wa rais wa JMT ni mkubwa kiuongozi kuliko rais wa z'bar.Jicho la karibu linatakiwa kumtupia mama SSH,akileta mahaba ya uzbar kwa kuwa ni mzanzbar,atakanganya Mambo na kuyafanya yawe magumu ,wakati ni rahisi.yeye ni rais wa Tanzania hivyo asahau mahaba ya uzanzbar ,na abaki kwenye protocol za uongozi.Yaani yeye kwa Sasa ni sawa na mwanamke ambaye baada ya kuolewa,hufitwa na ukoo wake,na kuwa registered kwa ukoo wa mumewe Hadi kifo,hata maiti yake huzikwa kwa ukoo wa mumewe.
 
Ndio marekebisho yenyewe haya Sasa yanatakikana, kuanzia kwenye katiba na sheria zinazolinda muungano.
 
Muulize mbunge wako uliyemchagua hayo maswali. na kwa Maneno ya Kiswahili Raisi ni Mkubwa kuliko makamo wa raisi hata ukubadilisha kwa lugha za kigeni, hata kwenye hafla za kimataifa ndio utaratibu
Acha ujinga,kasome katiba,rais wa zanzibar ni mjumbe wa baraza la mawaziri
 
Mtoa mada sijakuelewa, mwanzo umesema Rais Samia aambiwe....., yaani ni Kama vile hajui, arafu kwenye maelezo yako umehukum moja kwa moja kwamba tuwe makini huyu mama ana uzanzibar.

Binafsi mm nakuona una chuki zako binafs kwsbb unaonesha hisia zako direct.

Nakushauri uende ikulu umwambie mwenyewe. Hujui neno Raisi linalinganishwa Raisi, na makam inaenda na makum,

Hiki ni kipindi Cha kuangalia mambo makubwa ya nchi yetu kuliko kufuatilia vitu vidogo vidogo.

Bora ata ungesema Raisi Samia aambiwe au akumbushwe mei mosi inakaribia aongeze mishara.....
 
SWAUMU KALI AU K VANT
 
Napenda kuuliza,''Hivi kati ya Zanzibar na Tanzania bara ni nani anayeung'ang'ani Muungano?''.Kuna watu wanasota jela saa hii,wakisingiziwa kesi za ugaidi,sababu tu ya kuuhoji muungano.Wazanzibar hawana shida sana na Muungano!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…