Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Tusibishe vitu wakati huna facts!! Ukiongea na mtu aliusoma muungano akakuelewesha historia ya tanganyika na zanzibar kama huna facts nenda maktaba kasome alaf uje hapa na facts ndo ubishe. Siku izi hatubishi bila facts wala kwa kuhemka. Zanzibar in nguvu kiuchumi na ina maendeleo mengi kuliko bara na dola yake ilikuwa kubwa na unkweli angalia architecture ya ikulu ya dar es Salaam na zanzibar utaona naongea nn. Lakini pia unajua maana ya Dar Es Salaam? Jina hilo limetoka wapi aya asili take ni ipi? Na aliyejenga ikulu ya dar ni nani? Fatilia hivi vitu kwanza alaf tuje tubishane.
 
Karume alitaka nchi iwe moja, Nyerere alikataa kwani hakutaka.kuona Zanzibar inapoteza asili yake. Pia alitaka kizazi cha nne cha muungano baada ya kuona faida za muungano waje kudai kuwepo nq serikali moja. Kwa bahati mbaya maono yake yamekuwa tofauti kwani wanasiasa wamekuwa wanatumia muungano kama turufu ya kisiasa kwani Zanzibar ni sehemu yenye eneo dogo na pia limekuwa likimezwa na bahari kwa hiyo ilitegemewa kitendo cha wazanzibar kupata fursa ya kujenga, kulima na kufanya biashara lakini wazanzibar ndio walalamishi wakubwa.
Aliongea lini hiko kitu. Ivi unajua kilichosababisha kifo cha karume kwanza? Karume alifika mda akawa anaongelea kuhusu kuvunja muungano hadharani kabisa ww jnaongea nn ???
 
Nyerere was a fraud alotia nchi yetu umaskini na alipoona mambo yamemshinda akaachia madaraka na kumpisha mwinyi, wakati huo mwinyi alikuwa rais znz. Nyerere alitufelisha kwenye ujamaa wake mpaka taifa likawa linagawa chakula na mahitaji mengine kwa ration. Ila kuna wabongo wengi hawajui kuwa miaka ya 80 watu walipanga foleni kuchukua ration na unga, sukari no na ukikutwa na zaidi ya kiasi unachotakiwa kuwa nacho ni kesi na unashtakiwa. Tusome historia ya nchi na tunatakiwa tukaperuzi kwelikweli mana hizo taarifa hazipatikani kirahisi. Yani ata mkataba wa muungano unafichwa sababu muda wa muungano umeisha mda, insert huu muungano ni haramu kwa sasa na hauko kihalali na ndomana wazanzibari hawautaki mana sio halali na kuna mambo yameongezwa ambayo hayakuwepo kweneye mtakaba ulosainiwa na karume na nyerere,.
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Hivi Rais wa JMT akienda Zanzibar nani anakuwa mkubwa kati ya Rais wa Zanzibar na wa JMT?
 
Huu mwanzo tu yajayo yanafurahisha mama sijui kama hayatamtikisa
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Tuna wabara wengi Tu kwenye kaZi za public Zanzibar
 
Muulize mbunge wako uliyemchagua hayo maswali. na kwa Maneno ya Kiswahili Raisi ni Mkubwa kuliko makamo wa raisi hata ukubadilisha kwa lugha za kigeni, hata kwenye hafla za kimataifa ndio utaratibu
Hapana. Wewe na yeye mpate hii elimu. Msitafute logic zenu. Toka mwaka 1992 utaratibu ni Rais wa Jamhuri, Makamu wa Rais wa Jamhuri, Rais wa Zbar, Waziri Mkuu, Makamu wa 1wa Rais Zbar, Makamu wa 2 wa Rais Zbar, in that order. Hii order ndiyo muhimu. Rais wastaafu wanafuata hapo kama wapo, au kabla ya wale makamu wa Zbar kwa heshima tu maana hawana vyeo serikalini. Kisha Spika na Jaji Mkuu. Hawa wa vyombo vya usalama ni uoga tu ndio unawafanya kutajwa; si lazima! Kwa kujipendekeza kama vile ni kampeni za uchaguzi utaona hata mtendaji wa kata anatajwa, na kila anayehutubia anataja hiyo orodha ndefu. Kwingine wasio na woga wanataja watu wawili watatu halafu wanalonga!
 
Kwani sheria ya protokali kama ipo inasemaje?

Anavyotaka raisi kupanga protokali yake ndiyo hivyohivyo, Yeye ndo ana maamuzi ya mwisho ya protokali nzima ya utendaji mambo ya serikali yake!

Akiamua kuanza kumsalimia Katibu kata kabla ya waziri mkuu hakuna wa kumpangia, yeye ndo mwenye protokali yake!
Mhhh wewe nawe
 
Jamaa kaandika kwa kujiamini eti waziri mkuu kiprotocal yupo juu ya raisi wa zanzabar hahaha nimecheka...raisi wa Zanzibar ni no.3 waziri mkuu ni no.4.....ulivoandika sasa hako kakipengele kwa kunimwambafai kumbe hujui
 
Nafikiri hii isue sio kubwa kihivyo. Inamalizika kirahisi tusikuze sana mambo. After all, katiba ni katiba. Lazima iheshimiwe. Bila katiba hata Mama asingesimama alipo. Kwahiyo anaiheshimu sana.
Tumsaidie Mama yetu aongoze nchi vizuri. Tumshauri kwa staha. Tumpe nafasi ya kuongoza kama alivyojaariwa na Mwenyezi Mungu
Kwa hiyo imemalizwa ?
 
Kwa Mambo yote,na hafra zote,na matukio yote yanayohusu Tanzania (muungano),mfano rais kulihitubia bunge la Tanzania,n.k.kama majuz mama SSH alipokuwa akihutubia bunge,Basi makamu wa rais wa JMT ni mkubwa kiuongozi kuliko rais wa z'bar.Jicho la karibu linatakiwa kumtupia mama SSH,akileta mahaba ya uzbar kwa kuwa ni mzanzbar,atakanganya Mambo na kuyafanya yawe magumu ,wakati ni rahisi.yeye ni rais wa Tanzania hivyo asahau mahaba ya uzanzbar ,na abaki kwenye protocol za uongozi.Yaani yeye kwa Sasa ni sawa na mwanamke ambaye baada ya kuolewa,hufitwa na ukoo wake,na kuwa registered kwa ukoo wa mumewe Hadi kifo,hata maiti yake huzikwa kwa ukoo wa mumewe.
 
Ndio marekebisho yenyewe haya Sasa yanatakikana, kuanzia kwenye katiba na sheria zinazolinda muungano.
 
Muulize mbunge wako uliyemchagua hayo maswali. na kwa Maneno ya Kiswahili Raisi ni Mkubwa kuliko makamo wa raisi hata ukubadilisha kwa lugha za kigeni, hata kwenye hafla za kimataifa ndio utaratibu
Acha ujinga,kasome katiba,rais wa zanzibar ni mjumbe wa baraza la mawaziri
 
Mtoa mada sijakuelewa, mwanzo umesema Rais Samia aambiwe....., yaani ni Kama vile hajui, arafu kwenye maelezo yako umehukum moja kwa moja kwamba tuwe makini huyu mama ana uzanzibar.

Binafsi mm nakuona una chuki zako binafs kwsbb unaonesha hisia zako direct.

Nakushauri uende ikulu umwambie mwenyewe. Hujui neno Raisi linalinganishwa Raisi, na makam inaenda na makum,

Hiki ni kipindi Cha kuangalia mambo makubwa ya nchi yetu kuliko kufuatilia vitu vidogo vidogo.

Bora ata ungesema Raisi Samia aambiwe au akumbushwe mei mosi inakaribia aongeze mishara.....
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
SWAUMU KALI AU K VANT
 
Napenda kuuliza,''Hivi kati ya Zanzibar na Tanzania bara ni nani anayeung'ang'ani Muungano?''.Kuna watu wanasota jela saa hii,wakisingiziwa kesi za ugaidi,sababu tu ya kuuhoji muungano.Wazanzibar hawana shida sana na Muungano!
 
Back
Top Bottom