NDABANINGI SITHOLE
JF-Expert Member
- Dec 2, 2020
- 529
- 530
Wakati mwingine sio lazima kila kitu ucoment,kama hujui chochote juu ya mada inayojadiliwa,ni vzr ukakaa kimya,kwanza kikatiba hakuna rais wa zanzibar,ila kuna mwenyekiti wa baraza la mapinduzi zanzibar,Inategemeana na shughuli husika bwashee.
Kuna wakati Rais wa Zanzibar anashiriki tukio kama Rais siyo Waziri.
Mpango anakuwa mkubwa kwa Dr Mwinyi kwenye mambo ya muungano tu.
Ni kweli,majaliwa ni mkubwa kuliko rais wa zanzibar kikatiba,na zanzibar hakuna rais,ila kuna mwenyekiti wa baraza la mapinduzi zanzibarYaani unataka rais wa nchi inayounda muungano awe nyuma kiprotokali kwa Makamu wa Rais?
Mwishowe mtasema hata Majaliwa Kiprotokali ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar eti kwa kuwa ni waziri mkuu wa nchi nzima ya Tanzania
Subiri siku wanatajwa Wapiga kura.Wanyonge tupo wapi hapo?
Wazee Wa Road Trip Wataita Kuchungulia Kabla Huja ~~Overtake 😅😆😁😀Hahah ndiyo kaw wa baridi coz haamini kama yeye ndiye VP,
anaona amepewa nafasi ya hisani!
nafasi ya upendeleo,
hawezi hata kuhoji chochote coz anawaza 2025 to 30,
hataki ajiharibie anahisi ana safari ndefu!
watu wana mahesabu makali sana.
Umeinajisi hoja yako bro,umeanza vzr sana,Ni kwamba kilichofanyika ni kufuata mfumo wa kimalikani,(rune mate),huwezi kuwa makamu wa rais kwenye eneo ambalo hujapigiwa kura,lkn pia kama rais wa jmt ni wa chadema,na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi zanzibar ni cuf,vipi rais wa jmt akifariki?,Umenikumbusha kitu
Mwaka 1994 Nyerere (aliona mbali sana huyu mzee) kupima nguvu ya Maalim kisiwani, ingewezekana 1995 angeukwaa urais wa smz, sasa kikatiba raisi wa smz ni makamo wa rais wa JMT kumaanisha in absence of Rais wa JMT (akiwa safarini, akifa) makamo wake anashika nchi. Hili wahafidhina wa ccm hawakulipenda yakafanyika marekebisho kumuondoa rais wa smz kama makamo.
Kichekesho ni kuwa maalim hakushinda (hakutangazwa) na wazanzibar hawakuidai nafasi yao tena tukawa na makamo asiye na kazi.
Maalim jabali la siasa Tanzania katiba ilibasilishwa kumzibiti mtu mmoja.
Usilete hoja ambazo hazikuwemo kwenye hoja za kamati ya mhe sherukindoUmenikumbusha kitu
Mwaka 1994 Nyerere (aliona mbali sana huyu mzee) kupima nguvu ya Maalim kisiwani, ingewezekana 1995 angeukwaa urais wa smz, sasa kikatiba raisi wa smz ni makamo wa rais wa JMT kumaanisha in absence of Rais wa JMT (akiwa safarini, akifa) makamo wake anashika nchi. Hili wahafidhina wa ccm hawakulipenda yakafanyika marekebisho kumuondoa rais wa smz kama makamo.
Kichekesho ni kuwa maalim hakushinda (hakutangazwa) na wazanzibar hawakuidai nafasi yao tena tukawa na makamo asiye na kazi.
Maalim jabali la siasa Tanzania katiba ilibasilishwa kumzibiti mtu mmoja.
Lkn pia hakuna rais wa zanzibar,kuna mwenyekiti wa baraza la mapinduzi zanzibar,1. Na wewe unakosea, hakuna nchi inaitwa Tanzania...
Tuna nchi inatwa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ama kwa kiingereza THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA..
2. Kwa muktadha huu, Makamu wa Rais wa JMT is truly bigger than The president of Zanzibar. Kwa hiyo kiprotokali hilo linapaswa kuzingatiwa...
3. Nakubaliana na wewe kuwa Rais hukosea kiprotokali anapompa nafasi ya kwanza Rais wa Zanzibar kabla ya VP wa JMT...
Wewe nawe ni zero brain. Mmoja anaitwa Rais na mwingine makamu wa rais bado huoni tofauti?
Makamu wa rais analinganishwa na makamu mwenzake.
Mmmm maono yako yanatisha mkuuHili mbona ni dogo, natamani huyo mama achote pesa tena za Tanganyika akajenge miradi ya nguvu huko Zanzibar. Na kwenye kuchota hizo pesa asijadiliane chochote na wapuuzi wa huku Bara. Na huyo mama akifanya hivyo tutamuita mzalendo na kutaka aongezewe muda wa kukaa madarakani.
Inategemeana na shughuli husika bwashee.
Kuna wakati Rais wa Zanzibar anashiriki tukio kama Rais siyo Waziri.
Mpango anakuwa mkubwa kwa Dr Mwinyi kwenye mambo ya muungano tu.
Ile ni hotuba ya Rais Samia kwa wananchi kupitia kwa wabunge.Sasa hotuba ya Bunge ilikua ya wapi
Ili kupata maelezo sahihi kwanza ni lazima kujibu swali je Zanziba NI NCHI? Jibu la swali hilo ndo linaamua protocol iweje.
Kuna Mabibi na mabwanaWanyonge tupo wapi hapo?
Vuta ulewe bashiteUmeandika ugoro!
Hata kama haijamalizwa, inaleta shida gani? Imezuia usiku kuwa mchana?Kwa hiyo imemalizwa ?