Umenikumbusha kitu
Mwaka 1994 Nyerere (aliona mbali sana huyu mzee) kupima nguvu ya Maalim kisiwani, ingewezekana 1995 angeukwaa urais wa smz, sasa kikatiba raisi wa smz ni makamo wa rais wa JMT kumaanisha in absence of Rais wa JMT (akiwa safarini, akifa) makamo wake anashika nchi. Hili wahafidhina wa ccm hawakulipenda yakafanyika marekebisho kumuondoa rais wa smz kama makamo.
Kichekesho ni kuwa maalim hakushinda (hakutangazwa) na wazanzibar hawakuidai nafasi yao tena tukawa na makamo asiye na kazi.
Maalim jabali la siasa Tanzania katiba ilibasilishwa kumzibiti mtu mmoja.