Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Inategemeana na shughuli husika bwashee.

Kuna wakati Rais wa Zanzibar anashiriki tukio kama Rais siyo Waziri.

Mpango anakuwa mkubwa kwa Dr Mwinyi kwenye mambo ya muungano tu.
Wakati mwingine sio lazima kila kitu ucoment,kama hujui chochote juu ya mada inayojadiliwa,ni vzr ukakaa kimya,kwanza kikatiba hakuna rais wa zanzibar,ila kuna mwenyekiti wa baraza la mapinduzi zanzibar,
 
Yaani unataka rais wa nchi inayounda muungano awe nyuma kiprotokali kwa Makamu wa Rais?

Mwishowe mtasema hata Majaliwa Kiprotokali ni mkubwa kuliko rais wa Zanzibar eti kwa kuwa ni waziri mkuu wa nchi nzima ya Tanzania
Ni kweli,majaliwa ni mkubwa kuliko rais wa zanzibar kikatiba,na zanzibar hakuna rais,ila kuna mwenyekiti wa baraza la mapinduzi zanzibar
 
Mwisho wa haya yote utafika tu,Ukweli muungano sio ishu kwa kzaz iki cha sasa zaid uko mbeleni utatuletea migogolo 2
 
Kipindi kile mzee wetu anajaribu kuipigania chato mlipiga sana kelele kana kwamba chato ilikiwa somalia,sasa mwaka huu munalo
 
Hahah ndiyo kaw wa baridi coz haamini kama yeye ndiye VP,
anaona amepewa nafasi ya hisani!
nafasi ya upendeleo,
hawezi hata kuhoji chochote coz anawaza 2025 to 30,
hataki ajiharibie anahisi ana safari ndefu!
watu wana mahesabu makali sana.
Wazee Wa Road Trip Wataita Kuchungulia Kabla Huja ~~Overtake 😅😆😁😀
 
Umenikumbusha kitu
Mwaka 1994 Nyerere (aliona mbali sana huyu mzee) kupima nguvu ya Maalim kisiwani, ingewezekana 1995 angeukwaa urais wa smz, sasa kikatiba raisi wa smz ni makamo wa rais wa JMT kumaanisha in absence of Rais wa JMT (akiwa safarini, akifa) makamo wake anashika nchi. Hili wahafidhina wa ccm hawakulipenda yakafanyika marekebisho kumuondoa rais wa smz kama makamo.
Kichekesho ni kuwa maalim hakushinda (hakutangazwa) na wazanzibar hawakuidai nafasi yao tena tukawa na makamo asiye na kazi.
Maalim jabali la siasa Tanzania katiba ilibasilishwa kumzibiti mtu mmoja.
Umeinajisi hoja yako bro,umeanza vzr sana,Ni kwamba kilichofanyika ni kufuata mfumo wa kimalikani,(rune mate),huwezi kuwa makamu wa rais kwenye eneo ambalo hujapigiwa kura,lkn pia kama rais wa jmt ni wa chadema,na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi zanzibar ni cuf,vipi rais wa jmt akifariki?,
 
hapa haihitaji kukurupuka,ingawa kichwa na contents vinatofautiana sana contents zimejaa hidden chuki's kimtindo....Tanganyika na Zanzibar ni nchi moja ya Tanzania tusibaguane kama ulivosema atuachie nchi yetu!
tutaulinda Muungano kwa nguvu zote asieutaka na ahame tu kiroho safi
 
Umenikumbusha kitu
Mwaka 1994 Nyerere (aliona mbali sana huyu mzee) kupima nguvu ya Maalim kisiwani, ingewezekana 1995 angeukwaa urais wa smz, sasa kikatiba raisi wa smz ni makamo wa rais wa JMT kumaanisha in absence of Rais wa JMT (akiwa safarini, akifa) makamo wake anashika nchi. Hili wahafidhina wa ccm hawakulipenda yakafanyika marekebisho kumuondoa rais wa smz kama makamo.
Kichekesho ni kuwa maalim hakushinda (hakutangazwa) na wazanzibar hawakuidai nafasi yao tena tukawa na makamo asiye na kazi.
Maalim jabali la siasa Tanzania katiba ilibasilishwa kumzibiti mtu mmoja.
Usilete hoja ambazo hazikuwemo kwenye hoja za kamati ya mhe sherukindo
 
1. Na wewe unakosea, hakuna nchi inaitwa Tanzania...

Tuna nchi inatwa JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA ama kwa kiingereza THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA..

2. Kwa muktadha huu, Makamu wa Rais wa JMT is truly bigger than The president of Zanzibar. Kwa hiyo kiprotokali hilo linapaswa kuzingatiwa...

3. Nakubaliana na wewe kuwa Rais hukosea kiprotokali anapompa nafasi ya kwanza Rais wa Zanzibar kabla ya VP wa JMT...
Lkn pia hakuna rais wa zanzibar,kuna mwenyekiti wa baraza la mapinduzi zanzibar,
 
Wewe ndio kiazi sema unajiona mjanja, kama hujui ni vyema ukae kimya
Wewe nawe ni zero brain. Mmoja anaitwa Rais na mwingine makamu wa rais bado huoni tofauti?
Makamu wa rais analinganishwa na makamu mwenzake.
 
Hili mbona ni dogo, natamani huyo mama achote pesa tena za Tanganyika akajenge miradi ya nguvu huko Zanzibar. Na kwenye kuchota hizo pesa asijadiliane chochote na wapuuzi wa huku Bara. Na huyo mama akifanya hivyo tutamuita mzalendo na kutaka aongezewe muda wa kukaa madarakani.
Mmmm maono yako yanatisha mkuu
 
Zanzibar ni kama Mwanza tu, ni sehemu ya Jamhuri ya Muungano, hayo mengine ni mablahblah ya siasa
Ili kupata maelezo sahihi kwanza ni lazima kujibu swali je Zanziba NI NCHI? Jibu la swali hilo ndo linaamua protocol iweje.
 
Sasa huko Zanzibar utanunua ardhi gani kama unaweza "zunguka nchi nzima kwa baiskeli" "ukipiga filimbi Zanzibar nzima wanasikia" kwa mujibu wa Ally Kessy mbunge wa Nkasi.
 
Back
Top Bottom