Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Rais Samia aambiwe Makamu wa Rais ni Mkubwa kwa Rais wa Zanzibar, au anafanya makusudi!?

Wakati wa sherehe za Mapinduzi Zanzibar rais wa SMZ huingia uwanja wa Amaani Unguja wa mwisho huku Rais JMT na Makamu wa rais JMT wakiwa tayari uwanjani.

Shughuli ikiisha rais wa serikali ya SMZ huondoka wa kwanza uwanjani akiwaacha rais wa Muungano na makamu wa rais wa JMT uwanjani.

Protokali hii ina maanisha rais wa SMZ ni mkubwa kuliko makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ukitaka kujua rais wa Zanzibar si kitu nenda kwenye katiba uone ni watu gani wanaweza kushika madaraka iwapo rais wa muungano hayupo madarakani, hakuna sehemu waliyomtaja rais wa Zanzibar
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Tatizo lenu mnalaumu matawi mnaacha shina cccm

Sent from my Nokia 8.1 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo unaongea kiushabiki hujui chochote kuhusu nini ilikuwa lengo la Muungano huu na ni nini kimeufanya mpaka leo uwepo pamoja na mapungufu yake.

hayo unayozungumza wewe wenye akili zao walishayaona na kuyafanyia kazi, lakini sio kwa namna unavyoshabikia wewe, kwa sababu waliona hatari yake,

kikubwa waliutaka muungano lakini sio kwa Zanzibar kumezwa na Bara, ndio maana Zanzibar ikiachwa na uhuru wake kidogo,

unachokitaka wewe kwamba Zanzibar iwe kama mkoa tu, usizani kinakubalika huko Zanzibar,

ila kuna clip alizungumza vizuri sana Mwal Nyerere, nadhani ni kipindi anapangua hoja za lile group la 55 ambalo lilikuwa linadai serikali ya Tanganyika na wakaufyata mpaka leo.

mwenye ujuzi wa kutowekea hiyo clip anawaeza kuweka hapa
Karume alitaka nchi iwe moja, Nyerere alikataa kwani hakutaka.kuona Zanzibar inapoteza asili yake. Pia alitaka kizazi cha nne cha muungano baada ya kuona faida za muungano waje kudai kuwepo nq serikali moja. Kwa bahati mbaya maono yake yamekuwa tofauti kwani wanasiasa wamekuwa wanatumia muungano kama turufu ya kisiasa kwani Zanzibar ni sehemu yenye eneo dogo na pia limekuwa likimezwa na bahari kwa hiyo ilitegemewa kitendo cha wazanzibar kupata fursa ya kujenga, kulima na kufanya biashara lakini wazanzibar ndio walalamishi wakubwa.
 
Usilolijua zanzibar ni nchi kule hata ukitaka fungua kampun wana system kampun sahau kabisa habar za TRA.TBS nk wana ZRA na ZBS nk

Ila kijesh bado wanategemea JWTZ

Ki utawala katika UN ni part ya tanzania so popote pale ukisikia Tanzania imealikwa UN jua zanzibar himo umo

Wana katiba yao wale japo ki protocol wapo chin ya tanzania

Na kwa kukudokeza tu Rais wa zanzibar hawez kutumbuliwa ila makamu wa rais anaweza kutumbuliwa kwa mantiki io tu Rais wa zanzibar ni mkubwa
Huwezi mtumbua Makamu wa Rais, hata jaji mkuu huwezi mtumbua.. Hata Spika
 
Mimi ni mbara lakini maoni yako ni ZERO kabisa. Kisa uilitaka kununua kiwanja Zanzibar ukaambiwa uoneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi!!! Acha chuki kwa mama na wazanzibar kwa ujumla. Ungejua wazanzibar maisha wanayoishi wala usingeongea chochote, wanaishi kama yatima.
Tukiza matakle
 
Kasome tena historia ndugu. Serekali ya zanzibar ipo na inatambulika. Labda tu niwahabarishe kuwa, kiti cha Umoja wa mataifa cha JMT ni mali ya SMZ. Na ilikipata kupitia muungano huu mnaouongelea. Tanganyika haina kiti UN. Na tanganyika ndo mnafunga'ang'ania muungano na si zanzibar. Ndo mana hapo mwanzo nilisema mkitaka tanganyika muungano uvunjike wekeni kura za maoni zanzibar musikie wanasema nn kuhusu huu muungano mana mnaona sisi ndo unatunufaisha sana!!!!
Mshamba wewe
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.
Mama anajisahau mapema mno ni vyema Bunge kumkemea kabla hajakemewa . Huu ni muendelezo wa Zanzibar Kwanza
 
Tunaona kuwa Rais wa Zanzibar ana mamlaka ya kuwateua maofisa wa TPDF / JWTZ kuongoza vikosi maalum vya usalama, ulinzi na valantia. Makamu wa Rais wa Muungano hana nafasi hiyo bila kukasimiwa na Rais wa Muungano



President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar
Toggle navigation
President's Office and Chairman of Revolutionary Council, Zanzibar

MEDIA » NEWS AND EVENTS​

Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka Makamanda wapya aliowateua waende wakajenge na kurudisha nidhamu katika vikosi hivyo​

  • 24 Apr 2021
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimuapisha Commodore Azana Hassan Msingiri kuwa Mkuu wa Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo (KMKM) hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka Makamanda wapya aliowateua kuwa Wakuu wa Vikosi Maalum vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,waende wakajenge na kurudisha nidhamu katika vikosi hivyo.Hafla hiyo ilifanyika Ikulu Jijini Zanzibar na kuhudhuriwa na viongozi mbali mbali akiwemo Makamo wa Kwanza wa Rais Othman Masoud, Spika wa Baraza la Wawakilishi Zubeir Ali Maulid, Jaji Mkuu wa Zanzibar Othman Makungu, Wakuu wa Vikosi vya Ulinzi na Usalama, viongozi wa dini, watendaji wa Serikali na wanafamilia.

Alisema kwamba Jeshi ni nidhamu na ikikosekana nidhamu hakuna Jeshi, hivyo, nidhamu ilitetereka katika vikosi na ndipo alipoamua kuwachangua Makamanda hao ili walete uzoefu wao wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania.Rais Dk. Mwinyi alisema kuwa aliona haja na sababu ya kuwatumia Maafisa wa Jeshi la Ulinzi la Tanzania ili waweze kuiweka nidhamu katika vikosi vya SMZ.

Aliwapongeza Wakuu wote wa Vikosi aliowaapisha hivi leo na kutaka wakafanye kazi kwa bidii na kuwataka askari na Maafisa wote wa vikosi vya SMZ kutokuwa na wasiwasi kwani lengo lake ni kujenga ili vikosi viwe madhubuti, vilivyowezeshwa na kuwa na mafunzo ya kutosha.Mapema Rais Dk. Mwinyi ambaye pia, ni Mkuu wa Vikosi hivyo kabla ya kuwaapisha Wakuu hao kwa mujibu wa Sheria aliwapaindisha vyeo vya Ukuu wa Vikosi hivyo ya SMZ.

Pia, alitumia fusra hiyo kumshukuru Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama Jenerali Venance Mabeyo pamoja na Mkuu wa Jeshi la Polisi Kamanda Simon Siro kwa kukubali pendekezo lake la kuwateua Makamanda hao na kusisitiza kwamba yeye alikuwa na lengo la kutafuta viongozi na sio wataalamu kwani anachotaka ni viongozi na si fani zao.

Walioapishwa katika hafla hiyo ni Kanali Azana Hassan Msingiri kuwa Mkuu wa Kikosi Maalum cha Kuzuia Magendo (KMKM), Kanali Makame Abdallah Daima kuwa Mkuu wa Kikosi cha Jeshi la Kujenga Uchumi (JKU), Kanali Rashid Mzee Abdallah kuwa Kamishna wa Kikosi cha Zimamoto na Ukozi.

Wengine ni Luteni Kanali Khamis Bakari Khamis kuwa Kamishna wa Vyuo vya Mafunzo, Luteni Kanali Burhani Zubeir Nassoro kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Tume ya Uratibu na Udhibiti wa Dawa za Kulevya pamoja na ACP Ahmed Hamis Makarani kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Kuzuia Rushwa na Uhujumu Uchumi (ZAECA)
Source : Dk. Hussein Ali Mwinyi amewataka Makamanda wapya aliowateua waende wakajenge na kurudisha nidhamu katika vikosi hivyo | Presidents Office Zanzibar
Siyo jeshi hilo. Hao kmk
 
Wakati wa sherehe za Mapinduzi Zanzibar rais wa SMZ huingia uwanja wa Amaani Unguja wa mwisho huku Rais JMT na Makamu wa rais JMT wakiwa tayari uwanjani.

Shughuli ikiisha rais wa serikali ya SMZ huondoka wa kwanza uwanjani akiwaacha rais wa Muungano na makamu wa rais wa JMT uwanjani.

Protokali hii ina maanisha rais wa SMZ ni mkubwa kuliko makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Ndani ya Zanzibar
 
Nimesikiliza hotuba zake nyingi sana! Kubwa ile ya bungeni juzi.
Mama nadhani kwa makusudi anataka kulazimisha Rais wa Zanzibar ni mkubwa kiutawala kwa Makamu wa Rais.
Kwenye hotuba zake nyingi
Anaanza kumuaddress Rais Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Hii siyo sawa hata kidogo. Huwezi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Tanzania. Ni dharau na fedhea kwa Muungano.

Rais wa Zanzibar ni mjumbe tu Baraza la Mawaziri hana nguvu yeyote!

Leo unataka pesa za Sherehe za Muungano ziende kwa usawa Zanzibar na Tanganyika.
Hivi hizo pesa zimetoka Bara leo ziende Zanzibar.
Zanzibar yenye watu million 1 ipate sawa na Tanganyika yenye watu million 60.

Watanganyika tuwe makini na mwendo wa Mama.
Yupo kwa ajili ya Zanzibar zaidi kuliko Tanzania.
Sisi Tanganyika hatuna agenda ya pamoja tupo tu hatujui tunataka nini.
Leo mimi mbara siruhusiwi kwenda Zanzibar kununua kiwanja wala kufanya kazi kwenye serikali yao.
Wazanzibar kibao wapo serikalini kwenye ofisi hata zisizo za Muungano na free wao kununua ardhi.

Watanganyika mmelala ngojeni mambo ndio yanaanza.

Kiprotoko hutakiwi kutambua uwepo wa Rais wa Zanzibar kabla ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano.

Tanganyika hatuna agenda kila siku Zanzibar wanalalamika kuhusu mambo kadhaa kwenye Muungano Bara kimya.

Mimi nilitaka kununua kiwanja Zanzibar nikaambiwa nioneshe kitambulisho cha Zanzibar mkazi.
Mama ana asili ya wapemba alizaliwa huko baba ake alihamia Unguja.

Watanganyika tupo na akili chache sana.. Agenda zetu wabunge wa covid 19..utopolo tu

Tunadhani Mwinyi ni mwenzetu.. Mwinyi siyo mwenzetu.

Mama umekua Rais kwa muujibu wa katiba bila katiba usingepata Urais wa dezo Tafadhali heshimu katiba.

Rais wa Zanzibar kiprotoko ni mdogo kuliko hata Waziri Mkuu.
Siku ya mashindano ya kusoma Quran eti Rais wa Zanzibar anaondoka uwanjani kabla ya Waziri Mkuu. Ndani ya eneo la Tanganyika Rais wa Zanzibar hana nguvu ni km mm tu.
Mama acha uzanzibar tunajua nyie wapemba wabaguzi sana.

Kipindi flani walikuzushia unataka Rais unataka kugombea Urais Zanzibar ulikataa ukasema Urais Zanzibar ni mdogo kuliko cheo chako cha Makamu Rais naona leo umesahau..! Maliza miaka 4 iloyobaki tuachie Nchi yetu.

Its Zanzibar time BARA IMELALA FOFO... LINI MBUNGE WA BARA ALIWAHI KUHOJI WHY WABARA HAWARUHUSIWI KUNUNUA ARDHI ZANZIBAR.

Kiprotokali, Rais wa Zanzibar na mwenyekiti wa baraza la mapinduzi ni mkubwa kuliko waziri mkuu wa jamhuri ya muungano wa Tanzania

Ila ni kweli makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ni mkubwa kuliko Rais wa Zanzibar, ila kimajukumu Rais wa Zanzibar ana majukumu makubwa zaidi kuliko makamu wa Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania
 
Wewe nawe ni zero brain. Mmoja anaitwa Rais na mwingine makamu wa rais bado huoni tofauti?
Makamu wa rais analinganishwa na makamu mwenzake.
Acha bangi..., kukimbilia kujibu tu bila hata kuwa na mantiki, eti majina...? Kwa Tanzania Makamu wa TANZANIA ni mkuu kiprotokali kuliko Rais wa Zanzibar
 
Karume alitaka nchi iwe moja, Nyerere alikataa kwani hakutaka.kuona Zanzibar inapoteza asili yake. Pia alitaka kizazi cha nne cha muungano baada ya kuona faida za muungano waje kudai kuwepo nq serikali moja. Kwa bahati mbaya maono yake yamekuwa tofauti kwani wanasiasa wamekuwa wanatumia muungano kama turufu ya kisiasa kwani Zanzibar ni sehemu yenye eneo dogo na pia limekuwa likimezwa na bahari kwa hiyo ilitegemewa kitendo cha wazanzibar kupata fursa ya kujenga, kulima na kufanya biashara lakini wazanzibar ndio walalamishi wakubwa.
Umeeleza vizuri sana, hawa washabiki hawaelewi, kazi kupiga domo tu,

Muungano umekuwepo kwa sababu ambazo zipo wazi, haukujitokea tu, ndio maana tunaambiwa Muungano wetu ni wa kipekee duniani,kuna sababu nyingi na za maana kwa nini Muungano huu uliundwa,

Walipohitokeza wale wabunge 55 walioitaka Tanganyika Nyerere aliwambia kitu kimoja tu,HIYO SIO SERA YA CCM,kama wanataka serikali tatu watoke CCM waanzishe chama chao chenye sera ya serikali tatu, halafu warnde kuuza hiyo sera kwa wananchi, Kama watakubalika basi watashinda na hiyo sera yao ndio serkali itaifuata,
Mbona waliufyata mpaka leo kimya.

hivi huko Zanzibar si kuna vyama vya upinzani mbona hatuoni kunadi sera ya serkali moja au tatu na wananchi waiunge mkono, sini rahisi tu,

maana kikundi cha wabwabwaji wachache wanataka kuaminisha kuwa wananchi wote wapo nyuma yao
 
Umeeleza vizuri sana, hawa washabiki hawaelewi, kazi kupiga domo tu,

Muungano umekuwepo kwa sababu ambazo zipo wazi, haukujitokea tu, ndio maana tunaambiwa Muungano wetu ni wa kipekee duniani,kuna sababu nyingi na za maana kwa nini Muungano huu uliundwa,

Walipohitokeza wale wabunge 55 walioitaka Tanganyika Nyerere aliwambia kitu kimoja tu,HIYO SIO SERA YA CCM,kama wanataka serikali tatu watoke CCM waanzishe chama chao chenye sera ya serikali tatu, halafu warnde kuuza hiyo sera kwa wananchi, Kama watakubalika basi watashinda na hiyo sera yao ndio serkali itaifuata,
Mbona waliufyata mpaka leo kimya.

hivi huko Zanzibar si kuna vyama vya upinzani mbona hatuoni kunadi sera ya serkali moja au tatu na wananchi waiunge mkono, sini rahisi tu,

maana kikundi cha wabwabwaji wachache wanataka kuaminisha kuwa wananchi wote wapo nyuma yao
Tatizo kubwa ccm wanachukua wanachama ambao hata sera za chama hawazijui mfano polepole anasema ni muumini wa serikali tatu kiukweli hakutakiwa kuwa kiongozi wa ccm
 
Wakati wa sherehe za Mapinduzi Zanzibar rais wa SMZ huingia uwanja wa Amaani Unguja wa mwisho huku Rais JMT na Makamu wa rais JMT wakiwa tayari uwanjani.

Shughuli ikiisha rais wa serikali ya SMZ huondoka wa kwanza uwanjani akiwaacha rais wa Muungano na makamu wa rais wa JMT uwanjani.

Protokali hii ina maanisha rais wa SMZ ni mkubwa kuliko makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
in common sense it's very confusing.

Kuna shida mahali.
 
Back
Top Bottom