Rais Samia Aambiwe Ukweli, Hana Mamlaka ya Kuzuia Au Kuruhusu Mikutano ya Vyama Vya Siasa

Rais Samia Aambiwe Ukweli, Hana Mamlaka ya Kuzuia Au Kuruhusu Mikutano ya Vyama Vya Siasa

Issue Raisi Samia kama mlinzi wa katiba anajaribu kuwaambia upinzani kuwa Tanzania inahitaji upinzani wenye tija wenye hoja za kitaifa sio za personal Interest za ohh Mama Abdul hajanipa Pesa zangu nimemwambia Abdul kamwambia mama Yako anipe Pesa zangu washenzi nyie wewe Abdul na mama yako
 
Katiba ndio msingi yeye hayo maneno anatoa wapi?? Nyerere alikosea sana setting ya nchi useless kabisa fikiria katiba ya ccm mgombea wa bara lazima awe na mzanzibar ,tunataka katiba mpya ambayo itasema Rais aliyeko madarakani akifariki lazima tufanye uchaguzi mpya lakini katiba hii inampa mende,samaki,mlawiti kuongoza Raia.
 
Acha upofu wako wa akili hapa wewe .awamu ya Hayati Daktari Dkt Magufuli mlifanyi wapi hiyo mikutano?mbona mlinywea na kufunga midomo yenu kwa gundi? Mbona hamkunya chochote? Mbona mliishia kuweka mikono nyuma kama mahalifu? Mkifanya nini cha kuitisha serikali? Nani aliwaunga mkono au kuwapigania?

Hata leo Rais Samia alitaka kupiga marufuku mikutano yote ya hadhara anaweza kufanya hivyo na wala hakuna mmachoweza kufanya wala kuitikisa serikali. Kwani nchi kama Marekani iliyoendelea kidemokrasia ni wapi mliona ikifanya mikutano muda wote?

Mikutano yenyewe mnashindwa kujenga hoja nakushia kutunga uzushi na uongo tu .ndio maana mnapuuzwa sana.
Ukisikia ujinga wa kipaji ndio huo, alichokuwa akifanya Magufuli ni kuvunja katiba, na alitengeneza mazingira ya wengine kutokutii katiba. Pamoja na dhalimu magu kuvunja katiba, aliishia kunyenyekewa na watu wa aina yako hadi akaishia kupora uchaguzi.

Huyu mama akitaka naye anaweza kufuata ushauri wenu wa kuzuia mikutano, lakini hakuna atakayemnyenyekea, sana sana nyie chawa ndio mtaishia kumsifia maana hamuwezi kumudu spana. Ni hivi, mikutano haiko kwa hisani ya rais, labda kwa watu wajinga ndio hudhani hiyo ni hisani ya rais.
 
Issue Raisi Samia kama mlinzi wa katiba anajaribu kuwaambia upinzani kuwa Tanzania inahitaji upinzani wenye tija wenye hoja za kitaifa sio za personal Interest za ohh Mama Abdul hajanipa Pesa zangu nimemwambia Abdul kamwambia mama Yako anipe Pesa zangu washenzi nyie wewe Abdul na mama yako
Hata angekutana na hoja za msingi kama utakavyo, hakuna lolote angefanya kuleta mabadiliko, maana tatizo sio hoja za msingi, bali ni kugoma kubadilika ama kutoka madarakani kwa hiari.
 
Leo amesikika Rais Samia akisema kuwa aliruhusu mikutano ya vyama vya siasa. Hiyo sentensi moja tu inamaanisha Rais Samia hajui katiba inasema nini juu ya mikutano ya vyama vya siasa?

Mikutano ya vyama vya siasa kwa vyama vyote vya siasa ni haki ya kikatiba, na wala siyo hisani ya Rais au CCM.

Tunachojua ni kuwa ofisi ya Rais ilikengeuka na kukiuka katiba ya nchi kwa kuzuia mikutano ya vyama vya siasa, baadaye ofisi hiyo ya Rais ilerejewa na ufahamu na kufuta amri batili.

Kama anaamini ana mamlaka ya kufuta haki za kikatiba, afute, afanye kila kitu kwa matakwa na utashi wake. Watu nao wapambane kwa namna wanazojua dhidi ya mkiukaji wa katiba.

Rais anasema kuwa eti wenzake ndani ya CCM walimshauri asiruhusu mikutano ya vyama vya siasa. Kama kweli kuna majitu ya namna hiyo ndani ya CCM basi hayo ni majuha na maadui wakubwa wa Taifa. Kila mzalendo, bila ya kujali ni wa chama gani au hana chama, ni lazima apiganie utekelezaji wa haki za kikatiba.

Kama Rais anaona kweli anatukanwa kupitia mikutano ya vyama vya siasa, sheria zipo. Kwa nini wanaomtukana wasishtakiwe? Lakini kamwe asiseme kuwa eti yeye ndiye ameruhusu mikutano ya vyama vya kisiasa. Mikutano ya kisiasa imeruhusiwa na katiba, haijaruhusiwa na Rais. Marehemu kwa ubabe tu aliamua kukiuka katiba, na Samia alipochukua madaraka akaendeleza ukiukaji wa katiba kwa muda.

Labda kwa sababu Rais alisema kuwa katiba ni kajitabu tu, ndiyo maana anaona yupo juu ya katiba.

Tukikubali kauli potofu kama aliyoitoa leo Rais Samia, kuna siku tutaweza hata kuambiwa kuwa, nimewaruhusu muendelee kuishi, lakini mnanikosoa!!
Viongozi wa ccm wanajionaga kama Makamu wa Mungu
 
Acha upofu wako wa akili hapa wewe .awamu ya Hayati Daktari Dkt Magufuli mlifanyi wapi hiyo mikutano?mbona mlinywea na kufunga midomo yenu kwa gundi? Mbona hamkunya chochote? Mbona mliishia kuweka mikono nyuma kama mahalifu? Mkifanya nini cha kuitisha serikali? Nani aliwaunga mkono au kuwapigania?

Hata leo Rais Samia alitaka kupiga marufuku mikutano yote ya hadhara anaweza kufanya hivyo na wala hakuna mmachoweza kufanya wala kuitikisa serikali. Kwani nchi kama Marekani iliyoendelea kidemokrasia ni wapi mliona ikifanya mikutano muda wote?

Mikutano yenyewe mnashindwa kujenga hoja nakushia kutunga uzushi na uongo tu .ndio maana mnapuuzwa sana.
Wewe unataka chama kilichokufa CDM kijenge hoja gani?
 
Leo amesikika Rais Samia akisema kuwa aliruhusu mikutano ya vyama vya siasa. Hiyo sentensi moja tu inamaanisha Rais Samia hajui katiba inasema nini juu ya mikutano ya vyama vya siasa?

Mikutano ya vyama vya siasa kwa vyama vyote vya siasa ni haki ya kikatiba, na wala siyo hisani ya Rais au CCM.

Tunachojua ni kuwa ofisi ya Rais ilikengeuka na kukiuka katiba ya nchi kwa kuzuia mikutano ya vyama vya siasa, baadaye ofisi hiyo ya Rais ilerejewa na ufahamu na kufuta amri batili.

Kama anaamini ana mamlaka ya kufuta haki za kikatiba, afute, afanye kila kitu kwa matakwa na utashi wake. Watu nao wapambane kwa namna wanazojua dhidi ya mkiukaji wa katiba.

Rais anasema kuwa eti wenzake ndani ya CCM walimshauri asiruhusu mikutano ya vyama vya siasa. Kama kweli kuna majitu ya namna hiyo ndani ya CCM basi hayo ni majuha na maadui wakubwa wa Taifa. Kila mzalendo, bila ya kujali ni wa chama gani au hana chama, ni lazima apiganie utekelezaji wa haki za kikatiba.

Kama Rais anaona kweli anatukanwa kupitia mikutano ya vyama vya siasa, sheria zipo. Kwa nini wanaomtukana wasishtakiwe? Lakini kamwe asiseme kuwa eti yeye ndiye ameruhusu mikutano ya vyama vya kisiasa. Mikutano ya kisiasa imeruhusiwa na katiba, haijaruhusiwa na Rais. Marehemu kwa ubabe tu aliamua kukiuka katiba, na Samia alipochukua madaraka akaendeleza ukiukaji wa katiba kwa muda.

Labda kwa sababu Rais alisema kuwa katiba ni kajitabu tu, ndiyo maana anaona yupo juu ya katiba.

Tukikubali kauli potofu kama aliyoitoa leo Rais Samia, kuna siku tutaweza hata kuambiwa kuwa, nimewaruhusu muendelee kuishi, lakini mnanikosoa!!
Mikutano ya kisiasa imeruhusiwa na katiba ya TZ simple tu
 
Leo amesikika Rais Samia akisema kuwa aliruhusu mikutano ya vyama vya siasa. Hiyo sentensi moja tu inamaanisha Rais Samia hajui katiba inasema nini juu ya mikutano ya vyama vya siasa?

Mikutano ya vyama vya siasa kwa vyama vyote vya siasa ni haki ya kikatiba, na wala siyo hisani ya Rais au CCM.

Tunachojua ni kuwa ofisi ya Rais ilikengeuka na kukiuka katiba ya nchi kwa kuzuia mikutano ya vyama vya siasa, baadaye ofisi hiyo ya Rais ilerejewa na ufahamu na kufuta amri batili.

Kama anaamini ana mamlaka ya kufuta haki za kikatiba, afute, afanye kila kitu kwa matakwa na utashi wake. Watu nao wapambane kwa namna wanazojua dhidi ya mkiukaji wa katiba.

Rais anasema kuwa eti wenzake ndani ya CCM walimshauri asiruhusu mikutano ya vyama vya siasa. Kama kweli kuna majitu ya namna hiyo ndani ya CCM basi hayo ni majuha na maadui wakubwa wa Taifa. Kila mzalendo, bila ya kujali ni wa chama gani au hana chama, ni lazima apiganie utekelezaji wa haki za kikatiba.

Kama Rais anaona kweli anatukanwa kupitia mikutano ya vyama vya siasa, sheria zipo. Kwa nini wanaomtukana wasishtakiwe? Lakini kamwe asiseme kuwa eti yeye ndiye ameruhusu mikutano ya vyama vya kisiasa. Mikutano ya kisiasa imeruhusiwa na katiba, haijaruhusiwa na Rais. Marehemu kwa ubabe tu aliamua kukiuka katiba, na Samia alipochukua madaraka akaendeleza ukiukaji wa katiba kwa muda.

Labda kwa sababu Rais alisema kuwa katiba ni kajitabu tu, ndiyo maana anaona yupo juu ya katiba.

Tukikubali kauli potofu kama aliyoitoa leo Rais Samia, kuna siku tutaweza hata kuambiwa kuwa, nimewaruhusu muendelee kuishi, lakini mnanikosoa!!
Mamlaka ndio yeye sasa
 
yaaani uzi mreeeefu hivyo pumba tupu hana uwezo wa kuzuia mbona jpm alipozuia hamkufanya mikutano hiyo ndiyo maana ya kuwa anao uwezo wa kuzuia na usimfanye kitu chochote
Muambieni huyu naye azuie maana hakuna atakalofanywa.
 
Binaadamu hamna shukurani, kuna viongozi hata haki yako anakunyima pia anakufunga na kukufunga.......let us appreciate our madam president.
Kusimamia katiba ni wajibu wa kila mtu! Personally nita- appreciate akikubali mchakato kwa katiba mpya.
 
Leo amesikika Rais Samia akisema kuwa aliruhusu mikutano ya vyama vya siasa. Hiyo sentensi moja tu inamaanisha Rais Samia hajui katiba inasema nini juu ya mikutano ya vyama vya siasa?

Mikutano ya vyama vya siasa kwa vyama vyote vya siasa ni haki ya kikatiba, na wala siyo hisani ya Rais au CCM.

Tunachojua ni kuwa ofisi ya Rais ilikengeuka na kukiuka katiba ya nchi kwa kuzuia mikutano ya vyama vya siasa, baadaye ofisi hiyo ya Rais ilerejewa na ufahamu na kufuta amri batili.

Kama anaamini ana mamlaka ya kufuta haki za kikatiba, afute, afanye kila kitu kwa matakwa na utashi wake. Watu nao wapambane kwa namna wanazojua dhidi ya mkiukaji wa katiba.

Rais anasema kuwa eti wenzake ndani ya CCM walimshauri asiruhusu mikutano ya vyama vya siasa. Kama kweli kuna majitu ya namna hiyo ndani ya CCM basi hayo ni majuha na maadui wakubwa wa Taifa. Kila mzalendo, bila ya kujali ni wa chama gani au hana chama, ni lazima apiganie utekelezaji wa haki za kikatiba.

Kama Rais anaona kweli anatukanwa kupitia mikutano ya vyama vya siasa, sheria zipo. Kwa nini wanaomtukana wasishtakiwe? Lakini kamwe asiseme kuwa eti yeye ndiye ameruhusu mikutano ya vyama vya kisiasa. Mikutano ya kisiasa imeruhusiwa na katiba, haijaruhusiwa na Rais. Marehemu kwa ubabe tu aliamua kukiuka katiba, na Samia alipochukua madaraka akaendeleza ukiukaji wa katiba kwa muda.

Labda kwa sababu Rais alisema kuwa katiba ni kajitabu tu, ndiyo maana anaona yupo juu ya katiba.

Tukikubali kauli potofu kama aliyoitoa leo Rais Samia, kuna siku tutaweza hata kuambiwa kuwa, nimewaruhusu muendelee kuishi, lakini mnanikosoa!!
mkuu ccm ni janga la taifa hili
 
Donald Trump kasha wahi sema kwamba "shida kubwa ambayo dunia inapitia kwa sasa ni kuwa na viongozi wajinga"

Kauli hii iko sambamba na nguri wa fasihi Afrika Mashariki hayati Shaaban Robert kuwa
"Kuna karne itakuja kwa wajinga kuwa viongozi na werevu kuwa wafuasi,Nadhani karne yenyewe ndo hii"

Kuna nyakati ukisikiliza maneno ya viongozi wetu,unatamani kutapika,kwa namna ambavyo wanavyo jinasibisha kwa kulewa madaraka na upumbavu.
 
😅😂😂😂😂

Mamluki na vibaraka wa mabeberu wanateseka sana. CHADEMA ikiwa namba moja.

Yashindwe na yalegehe.
=================

Mikutano imeruhusiwa, wamesema nini huko majukwaani zaidi ya uzushi, kebehi, na siasa za majitaka?

Mwenye clip yeyote ile ikionyesha CHADEMA ikitoa sera zake mbadala na CCM aiweke hapa-ni HAKUNA.
 
Binaadamu hamna shukurani, kuna viongozi hata haki yako anakunyima pia anakufunga na kukufunga.......let us appreciate our madam president.
Let us appreciate kwa Rais kujitambua kuwa anatakiwa kuitii katiba kuhusiana na haki ya mikutano kwa vyama vya siasa, na siyo kwa kutoa ruhusa. Hana mamlaka ya kutoa au kuzuia haki ambazo tayari katiba imekwishazitoa.

Hivi mtu akiwa jambazi, akawa anapora mali za watu. Siku akiacha, na akasema kuwa nimewapa upendeleo wa kutoiba mali zenu kuanzia sasa, mnatakiwa kumshukuru na kumsifu maana amewapa upendeleo wa kutoiba mali zenu?
 
Back
Top Bottom