Rais Samia Aambiwe Ukweli, Hana Mamlaka ya Kuzuia Au Kuruhusu Mikutano ya Vyama Vya Siasa

Rais Samia Aambiwe Ukweli, Hana Mamlaka ya Kuzuia Au Kuruhusu Mikutano ya Vyama Vya Siasa

Kikatiba sawa,
Ila kwa Tz raisi akiamua hakuna mkutano wa siasa utakaofanyika,
Refer kipind cha JPM,

Kila nyakati na mambo yake.

Alichokifanya marehemu wakati ule, ni ushetani, hatitakiwi kumung'unya maneno. Na Rais Samia alipopewa uongozi, aliuendeleza ushetani ule alipufanya marehemu kwa muda. Lakini nikuhakikishie, muda ulovyoenda, Samia hakuwa na chaguo jingine zaidi ya kutii takwa la katiba. Na kama unadhani ni rahisi kuishi kwenye ushetani ule, mshauri azuie sasa hivi.
 
yaaani uzi mreeeefu hivyo pumba tupu hana uwezo wa kuzuia mbona jpm alipozuia hamkufanya mikutano hiyo ndiyo maana ya kuwa anao uwezo wa kuzuia na usimfanye kitu chochote

Mwambie azuie. Usiishi kwa kukariri.
 
Kama Rais mtu mkubwa hajui hayo watu wake inakuwaje. Mpaka naogopa, akiambiwa ignorant anasema katukanwa
Sasa subiri mapigo atakayo pata kwa kauli za kijinga namna ile. Hivyo vimaneno vyake vitadadavuliwa vizuri kwa wananchi nao wauone ujinga alionao rais wa nchi yao.

Mikutano ya CHADEMA imepata 'case study' nzuri ya kuitumia kuwafundisha wananchi waondokane na ujinga.
 
yaaani uzi mreeeefu hivyo pumba tupu hana uwezo wa kuzuia mbona jpm alipozuia hamkufanya mikutano hiyo ndiyo maana ya kuwa anao uwezo wa kuzuia na usimfanye kitu chochote
Najuwa mama yenu hana akili kama mlivyo nyinyi, lakini msije mkamdanganya aige aliyofanya Magufuli.
Kwanza elewa wazi Samia hafanani na Magufuli kwa njia yoyote ile, si katika ukatili, wala katika kutapanya mali za Taifa hili.
Samia amekwisha jipambanua yeye ni adui wa taifa hili, wakati Magufuli (hata kama ilikuwa ni kwa kuigiza), alijifanya kuwa mtetezi wa taifa hili, na watu kwa upande huo walimwelewa vizuri.
Na kama bado huelewi: endelea kumuhimiza Samia ajimalize mwenyewe haraka sana, kwa kumwiga Magufuli.
 
Rais anasema kuwa eti wenzake ndani ya CCM walimshauri asiruhusu mikutano ya vyama vya siasa. Kama kweli kuna majitu ya namna hiyo ndani ya CCM basi hayo ni majuha na maadui wakubwa wa Taifa. Kila mzalendo, bila ya kujali ni wa chama gani au hana chama, ni lazima apiganie utekelezaji wa haki za kikatiba.
Kwenye hili, naamini anasema kweli, ingawa simpi sifa ya kuwakatalia hao majambazi ndani ya chama chake, kwani naye aliitumia hila hiyo akidhani itamletea manufaa na sifa, siyo hapa nchini tu, bali hata nje ya nchi.
Sasa amegundua kuwa hapati chochote kila upande, na nina hakika hawezi kurudi nyuma tena. Akirogwa kufanya hivyo ndio utakaokuwa mwisho wake, na hata CCM kama tuijuavyo.
 
Akili hizo za SSH ni sawa na za ccm kote nchini! Ndivyo walivyo!
 
Binaadamu hamna shukurani, kuna viongozi hata haki yako anakunyima pia anakufunga na kukufunga.......let us appreciate our madam president.
Kushukuru kwa kurudishiwa haki yako ulioporwa ni utumwa. CCM iliiaga demokrasia miaka mingi tangu enzi za TANU, na jamii yote ikiwa kama wewe ya kumwona mdhurumu haki yako yuko sahihi tutaishi utumwani milele.
 
Back
Top Bottom