Pre GE2025 Rais Samia aamsha shangwe baada ya kuwalipia tiketi abiria wote waliosafiri kwa treni ya kisasa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Km watu wenyewe wa kumsemea mama ndo kina kaka Luka kwann tusitawaliwe kwa miaka mingine zaidi ya 100?!!
CCM itaendelea kuongoza Taifa letu kwa ni miaka mingi kwa kadri ya uhai wa Taifa letu.huwezi na haiwezekani kuitenganisha Tanzania na CCM.
 
Papaa kizimkazi pedejeeeh



KAZI ni kipimo cha UTU
 
Mtu anafurahia kulipiwa sh. 13,000/- na rais.
 
Unahisi kwa kile alichokifanya ni Uzalendo?!
 
Wivu utawaueni mwaka huu .kutoa ni moyo na siyo utajiri. Rais wetu ana moyo wa upendo na huruma na ndio maana anasaidia sana watu mbalimbali kwa kadri awezavyo
Jamaaa unajua kujikomba hd bx huenda kuna siku unalala bila mlo lkn ....
 
Anakimaa kuomba mikopo ili aje awalipie watu nauli ya train, nchi ngumu hii!!
 
Wivu utawaueni mwaka huu .kutoa ni moyo na siyo utajiri. Rais wetu ana moyo wa upendo na huruma na ndio maana anasaidia sana watu mbalimbali kwa kadri awezavyo
Hivi we jamaa mbona hupati uteuzi,au ni kwa sababu huna elimu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…