Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 28,722
- 20,610
- Thread starter
- #81
Dawa za zahanati zipo kwa wingi na zimenunuliwa kwa kodi za wananchi.Hiyo hela angenunua dawa kwenye Zahanati ingekuwa na maana sn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dawa za zahanati zipo kwa wingi na zimenunuliwa kwa kodi za wananchi.Hiyo hela angenunua dawa kwenye Zahanati ingekuwa na maana sn
Huku kazila sioni kafanya nini cha maanaNiambie ni wapi ambako Rais Samia hajafikisha mkono wake na kugusa maisha ya watu, kwa kuyapatia matumaini na nuru.
Wewe ndiye huna mvuto.Hana mvuto
UVCCM tupu walijaa, asubuhi nilikuwa pale stationNimependa sana huo ukarimu wa mama.
Napenda kujua namna alivyowalipia.Jee walikuwa wameshakata tiketi wakarudishiwa pesa au lilitoka tangazo kabla ya kukata tiketi kuwa watalipiwa.
Nahofia lingetoka tangazo la kulipiwa mwanzo watu wengi wasio na jamaa huko waendako wangejaza treni nzima na wenye shida ya kusafiri wangeshindwa kwa kiminyano cha kupata viti.
Umeziona wewe kauzu?Dawa za zahanati zipo kwa wingi na zimenunuliwa kwa kodi za wananchi.
Nyuzi za KisengeremaNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha Watanzania Daktari Samia Suluhu Hasssan ameibua shangwe na kuteka hisia za watanzania wengi sana, baada ya Rais wetu mpendwa kwa moyo wake wa upendo, huruma, ukarimu na unyenyekevu.
kuamua kwa dhati ya Moyo wake na kwa pesa zake binafsi zinazotokana na jasho lake. Kuamua kuwalipia tiketi abiria wote waliokuwa wamefanya safari kwa mara ya kwanza na treni ya kisasa kabisa kutoka Dar kwenda Morogoro na Morogoro kwenda Dar.
Rais wetu anafanya hivyo kuwapa hamasa Watanzania kutumia usafiri huo wa kisasa, mzuri,salama,nafuu,wa haraka na wenye utulivu wa hali ya juu sana .ambao watu watakaa vizuri pasipo kuchoka wala uchovu wala bughudha wala hofu huku wakifurahia mazingira mazurii ya njiani na hali ya hewa nzuri na safi sana kwa afya ya Mwanadamu..
Rais wetu Anaendelea kugusa na kuteka mioyo ya Watanzania ,kwa matendo yake ya huruma na upendo kwa watu wote . Niambie ni kiasi gani furaha waliyo nayo abiria hao ambao wamepewa ofa hiyo buree kabisa na mama yao mpendwa mwenye moyo wa huruma kwa watu wake. Wameokoa kiasi gani cha pesa ndugu zangu Watanzania?
Hii ndio raha ya kuongozwa na Mama, raha ya kuwa na kiongozi mwenye upendo na ukarimu kwa watu,raha ya kuwa na kiongozi anayewajali na kuwathamini watu wake. Najisikia fahari sana na mwenye bahati sana kuongozwa na Rais Samia .ni historia kwagu nitakayoisimulia miaka ya baadaye panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Imefika wakati watanzania raha zimewazidi mpaka wakifika mahali na wakiona mabango ya Rais wetu njiani yenye picha yake ,wanasimama kwa bashasha na tabasamu na kujipiga picha mbele ya mabango hayo huku wakifurahia na kumuombea Maisha marefu yeye heri na baraka tele kwake..
Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
UWT mnatakiwa kuvaa uniform mpk baada ya uchaguzi mkuuWewe ndiye huna mvuto.
Sure ukiwa na akili timamu huwezi kuleta nyuzi ya kijinga kama hiiNyuzi za Kisengerema
Ni utapeli tupu wala hakuna loloteHuku kazila sioni kafanya nini cha maana
Anawalipia kwani hawana helaKwann asiongezee bidii kwa kujitolea na hizo pesa za mfukoni kwake ili kuokoa maisha ya wananchi wake?? Kuliko kulipia nauli watu ambao wana uwezo wa kuandaa safari ili wakashangae treni
Acha kutuingiza mkengeDawa za zahanati zipo kwa wingi na zimenunuliwa kwa kodi za wananchi.
Angejikita kwenye kuboresha huduma za afya..nenda kwenye hospital za SERIKALI kajionee..Kamlete na huyo mtanzania naye aje apande bure ili moyo wako utulie . Mkono wa Rais Samia unamfikia kila mtanzania kwa wakati wake.
Vipi unataka umtafute nini?Siku hizi mbona huweki no ako ya cm, au ushapigiwa na wahitaji?
Wahi buku 7 yako.Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha Watanzania Daktari Samia Suluhu Hasssan ameibua shangwe na kuteka hisia za watanzania wengi sana, baada ya Rais wetu mpendwa kwa moyo wake wa upendo, huruma, ukarimu na unyenyekevu.
kuamua kwa dhati ya Moyo wake na kwa pesa zake binafsi zinazotokana na jasho lake. Kuamua kuwalipia tiketi abiria wote waliokuwa wamefanya safari kwa mara ya kwanza na treni ya kisasa kabisa kutoka Dar kwenda Morogoro na Morogoro kwenda Dar.
Rais wetu anafanya hivyo kuwapa hamasa Watanzania kutumia usafiri huo wa kisasa, mzuri,salama,nafuu,wa haraka na wenye utulivu wa hali ya juu sana .ambao watu watakaa vizuri pasipo kuchoka wala uchovu wala bughudha wala hofu huku wakifurahia mazingira mazurii ya njiani na hali ya hewa nzuri na safi sana kwa afya ya Mwanadamu..
Rais wetu Anaendelea kugusa na kuteka mioyo ya Watanzania ,kwa matendo yake ya huruma na upendo kwa watu wote . Niambie ni kiasi gani furaha waliyo nayo abiria hao ambao wamepewa ofa hiyo buree kabisa na mama yao mpendwa mwenye moyo wa huruma kwa watu wake. Wameokoa kiasi gani cha pesa ndugu zangu Watanzania?
Hii ndio raha ya kuongozwa na Mama, raha ya kuwa na kiongozi mwenye upendo na ukarimu kwa watu,raha ya kuwa na kiongozi anayewajali na kuwathamini watu wake. Najisikia fahari sana na mwenye bahati sana kuongozwa na Rais Samia .ni historia kwagu nitakayoisimulia miaka ya baadaye panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Imefika wakati watanzania raha zimewazidi mpaka wakifika mahali na wakiona mabango ya Rais wetu njiani yenye picha yake ,wanasimama kwa bashasha na tabasamu na kujipiga picha mbele ya mabango hayo huku wakifurahia na kumuombea Maisha marefu yeye heri na baraka tele kwake..
Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Machozi yawabubujika abiria na kusema mitano tena kwa mama samia!Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha Watanzania Daktari Samia Suluhu Hasssan ameibua shangwe na kuteka hisia za watanzania wengi sana, baada ya Rais wetu mpendwa kwa moyo wake wa upendo, huruma, ukarimu na unyenyekevu.
kuamua kwa dhati ya Moyo wake na kwa pesa zake binafsi zinazotokana na jasho lake. Kuamua kuwalipia tiketi abiria wote waliokuwa wamefanya safari kwa mara ya kwanza na treni ya kisasa kabisa kutoka Dar kwenda Morogoro na Morogoro kwenda Dar.
Rais wetu anafanya hivyo kuwapa hamasa Watanzania kutumia usafiri huo wa kisasa, mzuri,salama,nafuu,wa haraka na wenye utulivu wa hali ya juu sana .ambao watu watakaa vizuri pasipo kuchoka wala uchovu wala bughudha wala hofu huku wakifurahia mazingira mazurii ya njiani na hali ya hewa nzuri na safi sana kwa afya ya Mwanadamu..
Rais wetu Anaendelea kugusa na kuteka mioyo ya Watanzania ,kwa matendo yake ya huruma na upendo kwa watu wote . Niambie ni kiasi gani furaha waliyo nayo abiria hao ambao wamepewa ofa hiyo buree kabisa na mama yao mpendwa mwenye moyo wa huruma kwa watu wake. Wameokoa kiasi gani cha pesa ndugu zangu Watanzania?
Hii ndio raha ya kuongozwa na Mama, raha ya kuwa na kiongozi mwenye upendo na ukarimu kwa watu,raha ya kuwa na kiongozi anayewajali na kuwathamini watu wake. Najisikia fahari sana na mwenye bahati sana kuongozwa na Rais Samia .ni historia kwagu nitakayoisimulia miaka ya baadaye panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Imefika wakati watanzania raha zimewazidi mpaka wakifika mahali na wakiona mabango ya Rais wetu njiani yenye picha yake ,wanasimama kwa bashasha na tabasamu na kujipiga picha mbele ya mabango hayo huku wakifurahia na kumuombea Maisha marefu yeye heri na baraka tele kwake..
Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Wanazo ila kaamua kuchagua sifa kuliko Afya za wananchi wakeAnawalipia kwani hawana hela
Kwahiyo kaka Luca unajizima data huoni kabisaa!! Wananchi wanalalamika dawa hakuna na bima za afya ni changamoto afu wewe unajitoa ufahamu??Niambie ni wapi ambako Rais Samia hajafikisha mkono wake na kugusa maisha ya watu, kwa kuyapatia matumaini na nuru.
Ndugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha Watanzania Daktari Samia Suluhu Hasssan ameibua shangwe na kuteka hisia za watanzania wengi sana, baada ya Rais wetu mpendwa kwa moyo wake wa upendo, huruma, ukarimu na unyenyekevu.
kuamua kwa dhati ya Moyo wake na kwa pesa zake binafsi zinazotokana na jasho lake. Kuamua kuwalipia tiketi abiria wote waliokuwa wamefanya safari kwa mara ya kwanza na treni ya kisasa kabisa kutoka Dar kwenda Morogoro na Morogoro kwenda Dar.
Rais wetu anafanya hivyo kuwapa hamasa Watanzania kutumia usafiri huo wa kisasa, mzuri,salama,nafuu,wa haraka na wenye utulivu wa hali ya juu sana .ambao watu watakaa vizuri pasipo kuchoka wala uchovu wala bughudha wala hofu huku wakifurahia mazingira mazurii ya njiani na hali ya hewa nzuri na safi sana kwa afya ya Mwanadamu..
Rais wetu Anaendelea kugusa na kuteka mioyo ya Watanzania ,kwa matendo yake ya huruma na upendo kwa watu wote . Niambie ni kiasi gani furaha waliyo nayo abiria hao ambao wamepewa ofa hiyo buree kabisa na mama yao mpendwa mwenye moyo wa huruma kwa watu wake. Wameokoa kiasi gani cha pesa ndugu zangu Watanzania?
Hii ndio raha ya kuongozwa na Mama, raha ya kuwa na kiongozi mwenye upendo na ukarimu kwa watu,raha ya kuwa na kiongozi anayewajali na kuwathamini watu wake. Najisikia fahari sana na mwenye bahati sana kuongozwa na Rais Samia .ni historia kwagu nitakayoisimulia miaka ya baadaye panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Imefika wakati watanzania raha zimewazidi mpaka wakifika mahali na wakiona mabango ya Rais wetu njiani yenye picha yake ,wanasimama kwa bashasha na tabasamu na kujipiga picha mbele ya mabango hayo huku wakifurahia na kumuombea Maisha marefu yeye heri na baraka tele kwake..
Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Una*go*ngwNdugu zangu Watanzania,
Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi cha Watanzania Daktari Samia Suluhu Hasssan ameibua shangwe na kuteka hisia za watanzania wengi sana, baada ya Rais wetu mpendwa kwa moyo wake wa upendo, huruma, ukarimu na unyenyekevu.
kuamua kwa dhati ya Moyo wake na kwa pesa zake binafsi zinazotokana na jasho lake. Kuamua kuwalipia tiketi abiria wote waliokuwa wamefanya safari kwa mara ya kwanza na treni ya kisasa kabisa kutoka Dar kwenda Morogoro na Morogoro kwenda Dar.
Rais wetu anafanya hivyo kuwapa hamasa Watanzania kutumia usafiri huo wa kisasa, mzuri,salama,nafuu,wa haraka na wenye utulivu wa hali ya juu sana .ambao watu watakaa vizuri pasipo kuchoka wala uchovu wala bughudha wala hofu huku wakifurahia mazingira mazurii ya njiani na hali ya hewa nzuri na safi sana kwa afya ya Mwanadamu..
Rais wetu Anaendelea kugusa na kuteka mioyo ya Watanzania ,kwa matendo yake ya huruma na upendo kwa watu wote . Niambie ni kiasi gani furaha waliyo nayo abiria hao ambao wamepewa ofa hiyo buree kabisa na mama yao mpendwa mwenye moyo wa huruma kwa watu wake. Wameokoa kiasi gani cha pesa ndugu zangu Watanzania?
Hii ndio raha ya kuongozwa na Mama, raha ya kuwa na kiongozi mwenye upendo na ukarimu kwa watu,raha ya kuwa na kiongozi anayewajali na kuwathamini watu wake. Najisikia fahari sana na mwenye bahati sana kuongozwa na Rais Samia .ni historia kwagu nitakayoisimulia miaka ya baadaye panapo majaliwa ya Mwenyezi Mungu.
Imefika wakati watanzania raha zimewazidi mpaka wakifika mahali na wakiona mabango ya Rais wetu njiani yenye picha yake ,wanasimama kwa bashasha na tabasamu na kujipiga picha mbele ya mabango hayo huku wakifurahia na kumuombea Maisha marefu yeye heri na baraka tele kwake..
Kazi iendelee, mama ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa.Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.