Rais Samia aanza kutoa Fedha bilioni 75.98 kwa Vijana na Wanawake kupitia Halmashauri za Wilaya. Hii ni Fursa, tuchangamkie

Special requirements
Tufanye general tu.
Hao vijana katika kundi wawe na vingezo gani?
Au kila halimashauri na jambo lake
 
Tatizo urasimu mwingi sana. kupata hizo pesa ni kipengele kizito sana, zinaishiaga kwa wakubwa na wanao fahamiana huko juu
National Anthem mikopo hii kwa sasa inasimamiwa vizuri, utaratibu mpya wa kutoa mikopo hii umeanza toka mwaka wa fedha uliopita, mikopo hii inatolewa bila upendeleo wowote, hakuna mkubwa wala nani anayeweza kula fedha hizi, nenda ofisi ya Halmashauri ulipo, utapewa utaratibu na utakuja hapa kushuhudia ukweli.
 

Ni kweli mimi sijaenda na wala sina hamu ya kwenda maana huo usumbufu huwa naufahamu. Isitoshe sina card ya ccm. Ngoja niwajulishe vijana wa CCM wakachukue hizo hela. Acha mimi niendelee kutafuta zangu za halali.
 
Special requirements
Tufanye general tu.
Hao vijana katika kundi wawe na vingezo gani?
Au kila halimashauri na jambo lake

Special requirements
Tufanye general tu.
Hao vijana katika kundi wawe na vingezo gani?
Au kila halimashauri na jambo lake
Ni mnajiunga kwenye kikundi kisichopungua watu watano (Kama sio watu wenye ulemavu), kisha mnajisajili katika mfumo wa PPL MIS, then mtapata cheti cha usajili na baada ya hapo mnaweza fanya maombi ya mkopo kwenye mfumo, ni rahisi hakuna ubabaishaji, kikubwa ni mkopo mnao omba uwe ni kwa ajili ya ujasiliamali, fedha hizi ni mkopo usio na riba hivyo lazima zirudishwe ili waweze kunufaika na vijana wengine.
 
Ni kweli mimi sijaenda na wala sina hamu ya kwenda maana huo usumbufu huwa naufahamu. Isitoshe sina card ya ccm. Ngoja niwajulishe vijana wa CCM wakachukue hizo hela. Acha mimi niendelee kutafuta zangu za halali.
Tindo mikopo hii haina uhusiano na mambo ya chama wala siasa, hakuna kigezo cha kadi ya chama wala hayo mambo yenu, kama hujaenda wala hujawahi kwenda unasemaje kuna usumbufu, lets be positive, tuache kuamini mambo ya mtaani yasiyo na ukweli
 
sawa acha nifike nione
 
Tindo mikopo hii haina uhusiano na mambo ya chama wala siasa, hakuna kigezo cha kadi ya chama wala hayo mambo yenu, kama hujaenda wala hujawahi kwenda unasemaje kuna usumbufu, lets be positive, tuache kuamini mambo ya mtaani yasiyo na ukweli

Mimi sihitaji hiyo mikopo ya serikali, sijui CCM au ya mama Samia. Ngoja niwajulishe wenye uhitaji wa hiyo mikopo boss, ambao wengi ni wanaccm.
 
Wanamkopesha mwanafunzi wa chuo mpaka milioni 20. Wanashindwa mkopesha Mwanafunzi milioni 5 huyo huyo uraiani akajiajiri.
 
Kwahiyo ametoa huyo Samia au ni fedha za serikali zinazotolewa kwa kufuata bajeti iliyopitishwa na bunge?
Heshimu mamlaka. Samia ni Amiri jeshi mkuu na ndiye kiongozi wa serikali. Ikitoa serikali,ametoa yeye. Tumempa majukumu hayo kikatiba.
Usiandike upuuzi kwa kumkashifu Rais wa nchi ukadhani jf ni mbinguni.
By the way baadhi ya mods humu JF ni watu wa deep state....utachomolewa kama jino bovu na hutarudi kuja kumnanga Mh.Rais humu. Watch out
 
Wewe kichaa hivi vitisho umevitoa kwenye sheria ipi? Shwain pumbavu.
 
Tindo mikopo hii haina uhusiano na mambo ya chama wala siasa, hakuna kigezo cha kadi ya chama wala hayo mambo yenu, kama hujaenda wala hujawahi kwenda unasemaje kuna usumbufu, lets be positive, tuache kuamini mambo ya mtaani yasiyo na ukweli
Je, hao vijana wanatakiwa wawe tayari na shughuli ya ujasiriamali wanayoifanya au hata kama hawana shughuli watapewa tu hizo hela..?
 
Wewe kichaa hivi vitisho umevitoa kwenye sheria ipi? Shwain pumbavu.
Jidanganye. Naona unalichuma janga....utalila mwenyewe. Endelea kufikiria Rais ni MTU wa kumtukana hivyo kila ukishiba makande. You not very far nor safe. Trust me.
 
Jidanganye. Naona unalichuma janga....utalila mwenyewe. Endelea kufikiria Rais ni MTU wa kumtukana hivyo kila ukishiba makande. You not very far nor safe. Trust me.
Wewe mpumbavu nioneshe sehemu nimemtukana Samia.
 
Chawa wa kizungu wewe, ametoa kwenye mshahara wake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…