Rais Samia aanza kutoa Fedha bilioni 75.98 kwa Vijana na Wanawake kupitia Halmashauri za Wilaya. Hii ni Fursa, tuchangamkie

Hizo ni pesa za wananchi haki sio za mtu mmoja.
Nifedha za wachangiaji.
Vyura99tu Ujumbe umeupata na itapendeza kama utakusanya vijana na kuwapa elimu juu ya mikopo hii ili waweze nufaika na hatimaye kuchangia kwenye ujenzi wa Taifa hili.
 
Tatizo urasimu mwingi sana. kupata hizo pesa ni kipengele kizito sana, zinaishiaga kwa wakubwa na wanao fahamiana huko juu
Mkuu National Anthem umeshaenda ukapata changamoto katika mikopo hii? mikopo hii kwa sasa inatolewa kupitia mfumo, hakuna urasimu wala usumbufu wowote, hakuna namna kiongozi yeyote yule anayekula hizo fedha. Maneno ya mtaani hayana ukweli
 
Mkuu National Anthem umeshaenda ukapata changamoto katika mikopo hii? mikopo hii kwa sasa inatolewa kupitia mfumo, hakuna urasimu wala usumbufu wowote, hakuna namna kiongozi yeyote yule anayekula hizo fedha. Maneno ya mtaani hayana ukweli
Naenda jumatatu nitaleta mrejesho.. naenda na vitendea kazi ( vinasa sauti na vipiga picha )
 
umetumia uhuru wako kutoa maoni yako, lakini haina sababu kuitana wapuuzi, unaweza jenga hoja na mtu akaelewa bila kumuita mpuuzi
We kaka unakera saaana.Kwanza kusema sa100 katoa fedha ni uchawa wa kiwango cha flyover au sgr.pili nenda mtaani tafuta vijana waloopata ndo ufungue Uzi vinginevyo unajiaibisha na kuiaibisha familia yako.tunajua kila kitu huwezi pata fedha kirahisi hivyo fedha ni ngumu.
 
Hii pesa kuipata ni kazi ngumu hadi haina maana tena. Niliwahi kufuatilia mwisho wa siku nikaona ni upumbavu tu nafanya.
 
Rais Samia Ni mkombozi wa vijana na zawadi kwa watanzania wote aliyedhamilia kubadilisha na kuinua maisha ya mtanzania mnyonge, Hakuna anayeachwa nyuma Wala kusahaulika na juhudi za Rais wetu mpendwa, kazi iendeleee
 
Kijana Execute uwe na Heshima, heshima ni kitu cha bure, mtu aliyestarabika ni yule anayeweza kuheshimu watu huku amejificha nyuma ya keyboard kama wewe, Nimesema Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan.
Jibu swali acha porojo Samia ametoa wapi pesa?
 
Kijana Execute uwe na Heshima, heshima ni kitu cha bure, mtu aliyestarabika ni yule anayeweza kuheshimu watu huku amejificha nyuma ya keyboard kama wewe, Nimesema Rais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan.
Ungekuwa na akili ungesema ni serikali ila kwa vile wewe ni mpumbavu unasema Sa100 katoa. Huu ni upumbavu mwingine
 
Wewe umechukua huo mkopo? Ungekuwa umechukua ungekuwa busy na wala usingekuwa unashinda humu kusifu na kuabudu as if utafanya kazi hii ya kusifu na kuabudu miaka yako yote. Serikali zinabadilika, walikuwepo wenzio kina Musiba, sasa yuko wapi?
 
Ivi ningependa niulize mfano mmepewa mkataba wa miaka miwili na muda umepita na deni halijaisha je hatua zipi zinafuata?
 
Ivi ningependa niulize mfano mmepewa mkataba wa miaka miwili na muda umepita na deni halijaisha je hatua zipi zinafuata?
 
Ivi ningependa niulize mfano mmepewa mkataba wa miaka miwili na muda umepita na deni halijaisha je hatua zipi zinafuata?
Ule mkopo mkataba wake ni mwaka mmoja tu. Inabidi mchaguane vijana mnaoaminiana ili mmalize kwa muda husika. Mkifanya hivyo mkopo wa pili mnapewa haraka. Kuna baadhi huwa wanakopeshwa hadi bajaji. Shida ya baadhi ya watanzania kile kipato cha siku anachukulia kama faida, anakula chote anaacha ya mafuta tu.
Mwisho wa siku chombo kinaharibika, unakuta mhusika hana hela ya matengenezo na marejesho yanahitajika.
 
Hizo fedha zinatolewa kwa UVCCM na siyo vijana wote nchi hii.
Nilishashuhudia wana-CCM wakiitana serikali ya mtaa Salasala,Dar es salaam wakimwita jamaa yangu akachukue pesa japo hana Biashara yoyote.
 
ndo maana mkuu nimeuliza je ikiwa upo nje ya mkataba halmashauri wanachukua hatua gani kwa wana kikundi?
 
Kusema kweli tatizo ni viongozi wa juu wanatia masharti ya ajabu kuchukua mikopo hasahasa afisa maendeleo kata ya segerea, yaani mtu unaunda kikundi unahangaika zaidi ya miezi 3 mpaka unakataa Tama kuomba mkopo.
System ni mbovu mno, bila connection au rushwa, sidhani kama unaweza pata mkopo.
Mi nimeghairi kabisa
 
Kusema kweli tatizo ni viongozi wa juu wanatia masharti ya ajabu kuchukua mikopo hasahasa afisa maendeleo kata ya segerea, yaani mtu unaunda kikundi unahangaika zaidi ya miezi 3 mpaka unakataa Tama kuomba mkopo.
System ni mbovu mno, bila connection au rushwa, sidhani kama unaweza pata mkopo.
Mi nimeghairi kabisa
 
@Unitman Huo ni mtazamo wako, Vijana wako mtaani huko wengi wamepata mikopo hii na Wanafanya mambo makubwa, acha kusikiliza maneno yasiyo na ukweli.
 
Hii pesa kuipata ni kazi ngumu hadi haina maana tena. Niliwahi kufuatilia mwisho wa siku nikaona ni upumbavu tu nafanya.
@Mgeni wa Jiji ya juzi siyo ya jana , mambo yamebadilika, saizi unaomba kwenye mfumo , hakuna ubabaishaji,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…