Supu ya kokoto
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,194
- 7,602
Wewe kibwengo wa ufipa mlishaambiwa muhamie Burundi kama ni chungu.Vijana wa lumumba mmejaa ujingaujinga na woga. Misukule kabisa nyie.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe kibwengo wa ufipa mlishaambiwa muhamie Burundi kama ni chungu.Vijana wa lumumba mmejaa ujingaujinga na woga. Misukule kabisa nyie.
Sasa mbona mkaogopa na kupunguza tozo?Wewe kibwengo wa ufipa mlishaambiwa muhamie Burundi kama ni chungu.
Kwa sababu Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ni Serikali sikivu|Sasa mbona mkaogopa na kupunguza tozo?
Wewe umeleta hii habari kiuchawachawa ndio maana lazima tuwasulubu. Samia hana pesa yoyote ya kumpa mtu isipokuwa sisi wananchi ndio tunamlipa yeye hela.Execute Punguza hasira mkuu, unaweza kujenga hoja bila kutaja maneno ya kuudhi kama neno ujingaujinga, by the way uzi huu ni juu ya Mikopo ya uwezeshaji Wananchi kiuchumi, kuna uhusiano na Chadema wala CCM au ACT, yafaa nini kwenye kila jambo kuleta mambo ya siasa?
Unatengeneza tatizo halafu ukiliondoa unajiita unazo akili.. nyie lumumba buku saba ni matakataka kabisa.Kwa sababu Serikali inayoongozwa na Rais Samia Suluhu Hassan ni Serikali sikivu|
Umeeleweka kaka.Ni mnajiunga kwenye kikundi kisichopungua watu watano( Kama sio watu wenye ulemavu), kisha mnajisajili katika mfumo wa PPL MIS, then mtapata cheti cha usajili na baada ya hapo mnaweza fanya maombi ya mkopo kwenye mfumo, ni rahisi hakuna ubabaishaji, kikubwa ni mkopo mnao omba uwe ni kwa ajili ya ujasiliamali, fedha hizi ni mkopo usio na riba hivyo lazima zirudishwe ili waweze kunufaika na vijana wengine.
Uko sahihi Kaka pembe , Watanzania lazima tujifunze kuipenda nchi yetu, Watanzania lazima tujifunze kuheshimu viongozi waliopo madarakani kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya nchi, hakuna Tanzania nyingine zaidi ya hii tuliyonayo sasaTaifa na watu wake lazima wawe na Sera ya kuiheshimu serikali na mamlaka yake. Tuweni wazalendo....Tanzania ni moja na Tanzania ni yetu site.
Chivundu Halmashauri zinakopesha vikundi mpaka milioni 100, nenda Halmashauri utapata elimu kuhusu hiliWanamkopesha mwanafunzi wa chuo mpaka milioni 20. Wanashindwa mkopesha Mwanafunzi milioni 5 huyo huyo uraiani akajiajiri.
Uko sahaihi kabisa Kaka pembe , lazima watu wajifunze kuheshimu mamlaka, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndiye nembo ya Nchi, ndiye utambulisho wa nchi, ndiye alama ya Tanzania. Unapotaja Tanzania unataja Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Heshimu mamlaka. Samia ni Amiri jeshi mkuu na ndiye kiongozi wa serikali. Ikitoa serikali,ametoa yeye. Tumempa majukumu hayo kikatiba.
Usiandike upuuzi kwa kumkashifu Rais wa nchi ukadhani jf ni mbinguni.
By the way baadhi ya mods humu JF ni watu wa deep state....utachomolewa kama jino bovu na hutarudi kuja kumnanga Mh.Rais humu. Watch out
Arusha kuna Mkurugenzi wa halmashauri alizitafuna hizi pesa mwaka jana wakati Samia na awamu yake ya sita wakiwepo. Huko Temeke pia zilitafunwa.Mkuu Slowly, Serikali ya awamu ya sitakupitia OR-TAMISEMI imejitahidi saana kuboresha na kusimamia mikopo hii, hakuna Mkubwa wala nani anayekula fedha hizi kwa sasa, mikopo yote sasa ni kupitia mfumo. Kwahiyo Washauri vijana waende Halmashauri wakapate mikopo hii haina upendeleo wowote.
Ngoja nijaribu kufuatilia, tatizo watendaji halmashaur tangu Magufuli atutoke wananyodo ka miungu watu.Uko sahihi Kaka pembe , Watanzania lazima tujifunze kuipenda nchi yetu, Watanzania lazima tujifunze kuheshimu viongozi waliopo madarakani kwa mujibu wa Sheria na Katiba ya nchi, hakuna Tanzania nyingine zaidi ya hii tuliyonayo sasa
Chivundu Halmashauri zinakopesha vikundi mpaka milioni 100, nenda Halmashauri utapata elimu kuhusu hili
Hakuna aliyetengeneza tatizo, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria ya bajeti, lakini baada ya kusikia maoni ya watu, na kwa kuwa Serikali ya awamu ya Sita ipo kwa ajili ya Watu,imesikiliza maoni ya watuUnatengeneza tatizo halafu ukiliondoa unajiita unazo akili.. nyie lumumba buku saba ni matakataka kabisa.
Wabunge wale ni wa ccm, hilo wazo walilitoa wapi la kuanzisha tozo?Hakuna aliyetengeneza tatizo, Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania lilipitisha sheria ya bajeti, lakini baada ya kusikia maoni ya watu, na kwa kuwa Serikali ya awamu ya Sita ipo kwa ajili ya Watu,imesikiliza maoni ya watu
Mkuu Trinity fuatilia, haya mambo ya kusikia kwa watu hayana ukweli, Mkuu ukifika Halmashauri usipolizika namna ulivyohudumiwa nenda kwa Mkurugenzi au kwa DC jambo lako litatatuliwa, kuna weza kuwa kuna matatizo ya kibinadamu lakini ukweli Wakurugenzi na Wakuu wa Wilaya wanajitahidi saana kuwahudumia WananchiNgoja nijaribu kufuatilia, tatizo watendaji halmashaur tangu Magufuli atutoke wananyodo ka miungu watu.
Ukiingia kwenye ofisi zao wanakuona ka nuksi.
Si zitakuwa kama zile za Halmashauri ya Temeke waligawana wenyewe viongozi wa CCM na hawajarejesha hata senti!!Tatizo la ajira kwa Vijana ni tatizo la dunia nzima kwa sasa, tatizo hili linachangiwa pia na hali ya uchumi wa dunia kwa sasa, licha ya jitihada za Serikali inayoongozwa na Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kuhakikisha uchumi unaimarika bado tatizo la ajira ni changamoto ya dunia nzima.
Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa mwaka wa fedha 2022/2023 amepanga kutoa mikopo isiyo na riba kwa Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu jumla ya shilingi bilion 75.98 kupitia Halmashauri za Wilaya, fedha hizi zitasaidia saana Vijana kuazisha miradi ili kujikwamua na kuoongeza fursa mbalimbali, Vijana watakaopata fedha hizi wanaweza kuajiri vijana wenzao na kuchangia kwenye pato la nchi.
Fedha hizi za mikopo zimeshaanza kutolewa kwenyebHalmashauri zote kupitia Maafisa Maendeleo wa Halmashauri husika katika Ofisi za Wakurugenzi. Vijana twende tukapate mikopo hii isiyo na masharti magumu na haina riba. Vijana wenzangu tukipata mikopo hii tukumbuke kurejesha ili kuwezesha Vijana wenzetu pia waweze kunufaika na Mikopo hii.
Kwa mwaka wa fedha uliopita (2021/2022) Mh. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania alitoa jumla ya shilingi bilioni 59,236,353,909.00 kama Mikopo isiyo na riba kwa Vijana, Wanawake na Watu wenye ulemavu,. Kupitia fedha hizo tumeshuhudia Vikundi vingi vikifanikiwa kuazisha miradi mbali mbali na kuweza kutoa ajira kwa vijana wenzao ikiwa ni pamoja na kuchangia katika pato la nchi,
Kuna kikundi cha vijana Dar Es Salaam kilipata mkopo na kufanikiwa kuazisha Kituo cha Afya/ Zahanati ambacho kwa sasa sio kinasaidia tu kutoa huduma kwa Watanzania bali kimetoa ajira kwa Vijana hao na wenzao.
Ukienda Wilaya ya Rufiji maeneo ya Ikwiriri kuna kikundi kilinufaika na mikopo hii kinajihusisha na uselemala, kimekuwa kikundi kikubwa kwa sasa, wanatengeneza fanicha kama pale keko, nimeshuhudia si mara moja Wafanyabiashara wa keko wa fanicha wakienda kuchukua vitanda na fanicha nyingine bora kabisa pale ikwiriri kutoka kwenye kikundi hiki, kikundi hiki kimeweza kutoa ajira kwa vijana wengi (sina takwimu halisi) lakini ukifika kwenye eneo la kazi yao utakuta zaidi ya vijana 100 wakiwa wamejiajiri kutoka na uwezeshwaji wa mikopo hii isiyo na riba.
Niliwahi kuona pia kikundi cha Vijana waliojiajiri na kilimo cha umwagiliaji hapo Rufiji, Vijana hao ni Wasomi kabisa na wanafanya vizuri, wamepata elimu nzuri kutoka kwa Watalaamu kutoka ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Rufiji, sio rahisi kutaja vikundi vyote lakini ni wazi mikopo hii imekuwa mkombozi kwa Vijana wengi.
Kuna kijiji nilienda huko Rufiji kila kijana ana piki piki anayotumia kwa shughuli zake za kilimo na wengine wanatumia kwa shughuli za biashara, lakini nilipouliza nini kipo nyuma ya mafanikio haya nikaambiwa ni kutokana na uwezeshaji wa kiuchumi kwa Wananchi unaofanywa na Serikali kupitia mikopo isiyo na riba, vijana wanamashamaba ya korosho na ufuta.
Huko kusini, kuna kikundi cha Mazingira kupitia mikopo hii Wameweza kununua mpaka gari (Scania) la zaidi ya milioni 120 kutokana na mikopo hii ya kuwezesha Wananchi kiuchumi.
Manufaa ya mikopo hii ni mengi, Vijana twende Halmashauri tukapate Elimu, Halmashauri zina Watalaamu wa kila nyanja, Halmashauri zinaweza saidia kupata vifaa kama vya kuazishia viwanda vya tofali etc..
Vijana tutoke kwenye mitandao kwenye kutukana watu na kukejeli, wale wanaokejeli na kupinga kila jitihada za Serikali msiwasikilize wana watu wanaowalipa kwa kazi hizo, Serikali iko macho, inaona.
Mungu ibariki Tanzania.
Mungu mbariki Raisi wa Jamhuri wa Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassan.
Hizo ni pesa za wananchi haki sio za mtu mmoja.Ni fedha za asilimia kumi zitokanazo na makusanyo ya Halmashauri.
Execute Lile sio bunge la CCM, ni bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Wabunge wale ni wa ccm, hilo wazo walilitoa wapi la kuanzisha tozo?
Turudi pale Rau Madukani umetoa ushuhuda mzuri saana, ni kweli huwa kuna kuwa na changamoto muda mwingine wakati wa kurejesha mikopo hii hasa pale amabapo baadhi ya wajumbe wanakikundi wanapotumia mikopo hiyo sio kwa malengo waliyoombea, Serikali imeendelea kuwawezesha Maafisa Maendeleo na Maafisa Biashara katika ngazi za Wilaya ili waweze kutoa elimu kwa Wanufaika wa mikopo hii namna bora ya kuweza kuhakikisha mikopo wanayotoa inakuwa na manufaa na hatimaye vikundi viweze kurejeshaNimeshawahi kunufaika na huo mkopo. Tatizo mkichukua hamfanikiwi wote. Mfano sisi tulikuwaga watano, tukafanikiwa wawili. Watatu walifeli kwa sababu
- Walianzisha biashara mpya ambazo hawakuwa na uzoefu nazo
- Gharama za kuanzisha biashara kama kodi zilitegemea mkopo
- Licha ya kuwa biashara zilikuwa changa, lakini ndio ziligeuka kuwa chanzo cha mapato ya kuendeshea maisha kwa 100%
MAONI YANGU
Kijana ukiona una uwezo na una biashara hata kama ni ndogo, tafuta vijana wenzako ambao tayari wana vibiashara. Hii itawasaidia ninyi wote kulipa mkopo kwa wakati au kabla ya wakati na hatimaye kupata mkopo mkubwa zaidi tena kwa haraka.
Tulia we kilaza unamtishia nani mpuuzi mmoja tu huna lolote. Wapi kamtukana Rais?Jidanganye. Naona unalichuma janga....utalila mwenyewe. Endelea kufikiria Rais ni MTU wa kumtukana hivyo kila ukishiba makande. You not very far nor safe. Trust me.
Si zitakuwa kama zile za Halmashauri ya Temeke waligawana wenyewe viongozi wa CCM na hawajarejesha hata senti!!