Rais Samia acha Kumtumia PM Majaliwa Kuelezea Jambo, kwani haeleweki, haaminiki tena na ana 'PhD' ya Kudanganya na Kukurupuka

Rais Samia acha Kumtumia PM Majaliwa Kuelezea Jambo, kwani haeleweki, haaminiki tena na ana 'PhD' ya Kudanganya na Kukurupuka

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amesema serikali inapopandisha mishahara inaangalia zaidi kima cha chini na kwamba asilimia 23 iliyosemwa na Rais Samia Suluhu siku ya Mei Mosi iliwalenga zaidi wenye kipato cha chini.
Majaliwa ameyasema hayo leo Julai 29, 2022 akitoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara ya watumishi wa serikali ambayo hivi karibuni imezua mjadala mkubwa.

Mei 14 mwaka huu Rais Samia aliridhia mapendekezo ya nyongeza ya mishahara kima cha chini kwa watumishi wa umma kwa asilimia 23.3 ambayo yameanza katika mshahara wa mwezi Julai.

Taarifa: habarileo_tz

Yaani Premier Majaliwa Yeye kila wakati ( 24/7 ) ni Mtu wa kutoa 'Maboko' tu kwa Watanzania utadhani labda kuna tulichomkosea hivyo anatulipizia Kisasi na Kinachoniuma na Kunisikitisha zaidi GENTAMYCINE ni kwamba huyu pia ni mwana Lunyasi FC Mwenzangu.

Premier Majaliwa hebu sometimes jishtukie basi na hata labda huwa Unalazimishwa Kuongea nasi ( Wananchi ) na ukiona huna uhakika au Data za maana nakushauri uwe Unajivunja ( Unadanganya ) tu kuwa Unaumwa na Jukumu hilo ( hili ) awe anapewa Mtu Mwingine na nionavyo Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa is better than you in either delivering or manouvering the Facts kiasi cha Kueleweka na kutuliza Sintofahamu ya Masuala Mtambuka ya nchini.

Premier Majaliwa Taarifa ya Awali iliyotolewa na Serikali ilisema hiyo 23.3% ni kwa Wafanyakazi wote cha Kushangaza tena kama Kawaida yako kupenda Kukurupuka kama ulivyokurupuka Siku Tatu kabla ya Tukio Kubwa la Nchi tarehe 17 Machi mwaka Jana ( 2021 ) na Kutudanganya Watanzania na Leo umefanya muendelezo wa kile kile.

Premier Majaliwa hebu badilika Kaka.
 
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amesema serikali inapopandisha mishahara inaangalia zaidi kima cha chini na kwamba asilimia 23 iliyosemwa na Rais Samia Suluhu siku ya Mei Mosi iliwalenga zaidi wenye kipato cha chini.
Majaliwa ameyasema hayo leo Julai 29, 2022 akitoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara ya watumishi wa serikali ambayo hivi karibuni imezua mjadala mkubwa.

Mei 14 mwaka huu Rais Samia aliridhia mapendekezo ya nyongeza ya mishahara kima cha chini kwa watumishi wa umma kwa asilimia 23.3 ambayo yameanza katika mshahara wa mwezi Julai.

Taarifa: habarileo_tz

Yaani Premier Majaliwa Yeye kila wakati ( 24/7 ) ni Mtu wa kutoa 'Maboko' tu kwa Watanzania utadhani labda kuna tulichomkosea hivyo anatulipizia Kisasi na Kinachoniuma na Kunisikitisha zaidi GENTAMYCINE ni kwamba huyu pia ni mwana Lunyasi FC Mwenzangu.

Premier Majaliwa hebu sometimes jishtukie basi na hata labda huwa Unalazimishwa Kuongea nasi ( Wananchi ) na ukiona huna uhakika au Data za maana nakushauri uwe Unajivunja ( Unadanganya ) tu kuwa Unaumwa na Jukumu hilo ( hili ) awe anapewa Mtu Mwingine na nionavyo Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa is better than you in either delivering or manouvering the Facts kiasi cha Kueleweka na kutuliza Sintofahamu ya Masuala Mtambuka ya nchini.

Premier Majaliwa Taarifa ya Awali iliyotolewa na Serikali ilisema hiyo 23.3% ni kwa Wafanyakazi wote cha Kushangaza tena kama Kawaida yako kupenda Kukurupuka kama ulivyokurupuka Siku Tatu kabla ya Tukio Kubwa la Nchi tarehe 17 Machi mwaka Jana ( 2021 ) na Kutudanganya Watanzania na Leo umefanya muendelezo wa kile kile.

Premier Majaliwa hebu badilika Kaka.
Seat ya mbele hapa!!
 
Majaliwa kawa wahovyo sana.

Hata yale makamati yake yakipuuzi huwa hayatimiliki na hayaeleweki yanafanya kazi gani.

Jamaa lenyewe huwa halijuwi kutetea hoja zake za uongo uongo.
Halafu ni mwana Lunyasi FC Mwenzangu huyu. Natamani 'Nimsilibe' ile mbaya tena kwa 'Kumchana' kabisa ila nikifikiria tu kuwa tunashabikia Timu Moja Kubwa hapa Tanzania Moyo wangu Unapoa na naona nimstahi tu.
 
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amesema serikali inapopandisha mishahara inaangalia zaidi kima cha chini na kwamba asilimia 23 iliyosemwa na Rais Samia Suluhu siku ya Mei Mosi iliwalenga zaidi wenye kipato cha chini.
Majaliwa ameyasema hayo leo Julai 29, 2022 akitoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara ya watumishi wa serikali ambayo hivi karibuni imezua mjadala mkubwa.

Mei 14 mwaka huu Rais Samia aliridhia mapendekezo ya nyongeza ya mishahara kima cha chini kwa watumishi wa umma kwa asilimia 23.3 ambayo yameanza katika mshahara wa mwezi Julai.

Taarifa: habarileo_tz

Yaani Premier Majaliwa Yeye kila wakati ( 24/7 ) ni Mtu wa kutoa 'Maboko' tu kwa Watanzania utadhani labda kuna tulichomkosea hivyo anatulipizia Kisasi na Kinachoniuma na Kunisikitisha zaidi GENTAMYCINE ni kwamba huyu pia ni mwana Lunyasi FC Mwenzangu.

Premier Majaliwa hebu sometimes jishtukie basi na hata labda huwa Unalazimishwa Kuongea nasi ( Wananchi ) na ukiona huna uhakika au Data za maana nakushauri uwe Unajivunja ( Unadanganya ) tu kuwa Unaumwa na Jukumu hilo ( hili ) awe anapewa Mtu Mwingine na nionavyo Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa is better than you in either delivering or manouvering the Facts kiasi cha Kueleweka na kutuliza Sintofahamu ya Masuala Mtambuka ya nchini.

Premier Majaliwa Taarifa ya Awali iliyotolewa na Serikali ilisema hiyo 23.3% ni kwa Wafanyakazi wote cha Kushangaza tena kama Kawaida yako kupenda Kukurupuka kama ulivyokurupuka Siku Tatu kabla ya Tukio Kubwa la Nchi tarehe 17 Machi mwaka Jana ( 2021 ) na Kutudanganya Watanzania na Leo umefanya muendelezo wa kile kile.

Premier Majaliwa hebu badilika Kaka.
Wewe jamaa huwa unajifanya ni great thinker,ila baada ya kupitia post zako nimegundua kuwa wewe ni pomole wa hli ya juu.
 
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amesema serikali inapopandisha mishahara inaangalia zaidi kima cha chini na kwamba asilimia 23 iliyosemwa na Rais Samia Suluhu siku ya Mei Mosi iliwalenga zaidi wenye kipato cha chini.
Majaliwa ameyasema hayo leo Julai 29, 2022 akitoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara ya watumishi wa serikali ambayo hivi karibuni imezua mjadala mkubwa.

Mei 14 mwaka huu Rais Samia aliridhia mapendekezo ya nyongeza ya mishahara kima cha chini kwa watumishi wa umma kwa asilimia 23.3 ambayo yameanza katika mshahara wa mwezi Julai.

Taarifa: habarileo_tz

Yaani Premier Majaliwa Yeye kila wakati ( 24/7 ) ni Mtu wa kutoa 'Maboko' tu kwa Watanzania utadhani labda kuna tulichomkosea hivyo anatulipizia Kisasi na Kinachoniuma na Kunisikitisha zaidi GENTAMYCINE ni kwamba huyu pia ni mwana Lunyasi FC Mwenzangu.

Premier Majaliwa hebu sometimes jishtukie basi na hata labda huwa Unalazimishwa Kuongea nasi ( Wananchi ) na ukiona huna uhakika au Data za maana nakushauri uwe Unajivunja ( Unadanganya ) tu kuwa Unaumwa na Jukumu hilo ( hili ) awe anapewa Mtu Mwingine na nionavyo Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa is better than you in either delivering or manouvering the Facts kiasi cha Kueleweka na kutuliza Sintofahamu ya Masuala Mtambuka ya nchini.

Premier Majaliwa Taarifa ya Awali iliyotolewa na Serikali ilisema hiyo 23.3% ni kwa Wafanyakazi wote cha Kushangaza tena kama Kawaida yako kupenda Kukurupuka kama ulivyokurupuka Siku Tatu kabla ya Tukio Kubwa la Nchi tarehe 17 Machi mwaka Jana ( 2021 ) na Kutudanganya Watanzania na Leo umefanya muendelezo wa kile kile.

Premier Majaliwa hebu badilika Kaka.
Asubuhi katoa boko la madereva wa malori, jioni kamalizia na nyongeza ya mishahara.
Yaani serikali ikitaka kusema Uongo inamuita Majaliwa!!
 
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amesema serikali inapopandisha mishahara inaangalia zaidi kima cha chini na kwamba asilimia 23 iliyosemwa na Rais Samia Suluhu siku ya Mei Mosi iliwalenga zaidi wenye kipato cha chini.
Majaliwa ameyasema hayo leo Julai 29, 2022 akitoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara ya watumishi wa serikali ambayo hivi karibuni imezua mjadala mkubwa.

Mei 14 mwaka huu Rais Samia aliridhia mapendekezo ya nyongeza ya mishahara kima cha chini kwa watumishi wa umma kwa asilimia 23.3 ambayo yameanza katika mshahara wa mwezi Julai.

Taarifa: habarileo_tz

Yaani Premier Majaliwa Yeye kila wakati ( 24/7 ) ni Mtu wa kutoa 'Maboko' tu kwa Watanzania utadhani labda kuna tulichomkosea hivyo anatulipizia Kisasi na Kinachoniuma na Kunisikitisha zaidi GENTAMYCINE ni kwamba huyu pia ni mwana Lunyasi FC Mwenzangu.

Premier Majaliwa hebu sometimes jishtukie basi na hata labda huwa Unalazimishwa Kuongea nasi ( Wananchi ) na ukiona huna uhakika au Data za maana nakushauri uwe Unajivunja ( Unadanganya ) tu kuwa Unaumwa na Jukumu hilo ( hili ) awe anapewa Mtu Mwingine na nionavyo Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa is better than you in either delivering or manouvering the Facts kiasi cha Kueleweka na kutuliza Sintofahamu ya Masuala Mtambuka ya nchini.

Premier Majaliwa Taarifa ya Awali iliyotolewa na Serikali ilisema hiyo 23.3% ni kwa Wafanyakazi wote cha Kushangaza tena kama Kawaida yako kupenda Kukurupuka kama ulivyokurupuka Siku Tatu kabla ya Tukio Kubwa la Nchi tarehe 17 Machi mwaka Jana ( 2021 ) na Kutudanganya Watanzania na Leo umefanya muendelezo wa kile kile.

Premier Majaliwa hebu badilika Kaka.
Kijana wa AAUT Hapa nakupongeza umejitahidi, ungeleta thesis yako kwangu ningekupa B
 
23% ni kwa kima cha CHINI jaman! mie pia nimeambulia 20 elfu ila walichokosea ni kuweka kiwango kigogo sana kwa wa mishahara kama 1.5M na kuendelea wakidhani wana mishahara mikubwa! maisha yaneenda kasi miaka 7 walitakiwa kufikiria hili kwa kuwa na wenyewe walikuwa sehemu ya serikali ile dhalimu
 
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa, amesema serikali inapopandisha mishahara inaangalia zaidi kima cha chini na kwamba asilimia 23 iliyosemwa na Rais Samia Suluhu siku ya Mei Mosi iliwalenga zaidi wenye kipato cha chini.
Majaliwa ameyasema hayo leo Julai 29, 2022 akitoa ufafanuzi kuhusu nyongeza ya mishahara ya watumishi wa serikali ambayo hivi karibuni imezua mjadala mkubwa.

Mei 14 mwaka huu Rais Samia aliridhia mapendekezo ya nyongeza ya mishahara kima cha chini kwa watumishi wa umma kwa asilimia 23.3 ambayo yameanza katika mshahara wa mwezi Julai.

Taarifa: habarileo_tz

Yaani Premier Majaliwa Yeye kila wakati ( 24/7 ) ni Mtu wa kutoa 'Maboko' tu kwa Watanzania utadhani labda kuna tulichomkosea hivyo anatulipizia Kisasi na Kinachoniuma na Kunisikitisha zaidi GENTAMYCINE ni kwamba huyu pia ni mwana Lunyasi FC Mwenzangu.

Premier Majaliwa hebu sometimes jishtukie basi na hata labda huwa Unalazimishwa Kuongea nasi ( Wananchi ) na ukiona huna uhakika au Data za maana nakushauri uwe Unajivunja ( Unadanganya ) tu kuwa Unaumwa na Jukumu hilo ( hili ) awe anapewa Mtu Mwingine na nionavyo Msemaji wa Serikali Gerson Msigwa is better than you in either delivering or manouvering the Facts kiasi cha Kueleweka na kutuliza Sintofahamu ya Masuala Mtambuka ya nchini.

Premier Majaliwa Taarifa ya Awali iliyotolewa na Serikali ilisema hiyo 23.3% ni kwa Wafanyakazi wote cha Kushangaza tena kama Kawaida yako kupenda Kukurupuka kama ulivyokurupuka Siku Tatu kabla ya Tukio Kubwa la Nchi tarehe 17 Machi mwaka Jana ( 2021 ) na Kutudanganya Watanzania na Leo umefanya muendelezo wa kile kile.

Premier Majaliwa hebu badilika Kaka.
We sukuma gang pimbi sana huwezi kumpangia Rais kitu..

PM atatumika Sana maana hiyo Ndio Kazi yake hasa..

Rais aliongeza eti anakosea,PM akiongea haaminiki,stupid zenu.
 
Si wanajua sisi watanzania maboya tutawafanya nn ndo maana wanatutukana, wanafanya hivi na vile.......kwa sababu wanajua sisi watanzania ni maboya
 
Asubuhi katoa boko la madereva wa malori, jioni kamalizia na nyongeza ya mishahara.
Yaani serikali ikitaka kusema Uongo inamuita Majaliwa!!
Na yawezekana hata Boss wake ( Rais ) ameshamdharau ila hana jinsi tu anaenda nae mdogo mdogo hadi 2025 ili aachane nae mazima.

Kumbe ndiyo maana hata aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Paul Makonda alikuwa akimdharau mno PM Majaliwa huenda alishajua jinsi alivyo Kituko na Kero.
 
Back
Top Bottom