Rais Samia achana na wafanyabiashara wa Kariakoo, wasikupe presha!

Rais Samia achana na wafanyabiashara wa Kariakoo, wasikupe presha!

Wenzio walipewa akili wakaweka kichwani wewe ukazifanya makalio ona sasa
 
Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF

Me naona nimeseme neno moja tu

Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi

Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?

Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu

Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?

Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?

Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena

Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
siamini kama una akili timamu
 
kichaa namba moja ni wewe mkuu. unastahili kufanyiwa ya kenya
watu wana kero zao wewe unawakebehi

Nani Hana kero?

Kero za nyumbani kwako umemaliza?

Wazazi wako walimaliza kero zote ?

Kuna inchi duniani imeamaliza kero zote?

Serikali ingewaacha wagome mwisho wa siku wenyewe wangerudi kufungua maduka
 
Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF

Me naona nimeseme neno moja tu

Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi

Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?

Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu

Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?

Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?

Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena

Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
Unamlipa Rais mshahara,then unajipa kazi ya kumshauri bure?

Afanye kazi yake tunamlipia mshahara wake on,mengine kumshauri bure ni ujinga unajitafutia,otherwise ulipwe
 
Unamlipa Rais mshahara,then unajipa kazi ya kumshauri bure?

Afanye kazi yake tunamlipia mshahara wake on,mengine kumshauri bure ni ujinga unajitafutia,otherwise ulipwe

Ndio maana anaitwa Rais wa Tanzania, means na Mimi nipo
 
Ndio maana anaitwa Rais wa Tanzania, means na Mimi nipo
Rais ni muajiriwa

Wewe na mimi ndio tunaomlipa mshahara na stahiki zake za ufanyakazi

Sisi ni maboss wake

Wewe kujipa kazi tena ya kumshauri wakati hiyo kazi tumeshampa atupe majawabu ni ukichaa.

Ushampa kazi,then unaifanya tena wewe wewe,maana yake huna akili sasa.
 
Rais ni muajiriwa

Wewe na mimi ndio tunaomlipa mshahara na stahiki zake za ufanyakazi

Sisi ni maboss wake

Wewe kujipa kazi tena ya kumshauri wakati hiyo kazi tumeshampa atupe majawabu ni ukichaa.

Ushampa kazi,then unaifanya tena wewe wewe,maana yake huna akili sasa.

Na kazi yake anaifanya vizuri

Ushauri ni Jambo la kawaida Tu

Hata wewe unaweza kumshauri Mzee wako

Haimaanishi Kwa vile yeye ndio amekuleta duniani basi asiambiwe chochote

Na mambo hubadilika
 
Na kazi yake anaifanya vizuri

Ushauri ni Jambo la kawaida Tu

Hata wewe unaweza kumshauri Mzee wako

Haimaanishi Kwa vile yeye ndio amekuleta duniani basi asiambiwe chochote

Na mambo hubadilika
Wewe umemuajiri kwa kazi ya kufikiri na kuleta solutions ili wewe ufanye mambo mengine

Cha ajabu unarudi nyuma eti wewe ndio "mshauri"...kazi zako utafanya lini?

Stop this lamba matako politics!
 
Wewe umemuajiri kwa kazi ya kufikiri na kuleta solutions ili wewe ufanye mambo mengine

Cha ajabu unarudi nyuma eti wewe ndio "mshauri"...kazi zako utafanya lini?

Stop this lamba matako politics!

Namshauri achaane na wazee wa migomo isiyo na maana
 
Namshauri achaane na wazee wa migomo isiyo na maana
Hiyo kazi ya ushauri sasa ndio tuna tatizo nayo

Badala ujishauri mwenyewe maana huku tayari ushatoa kazi na mshahara unalipa

Migomo isiyo na maana kwako wewe sio kwa anaegoma

Maajabu unapangia wanaogoma anaegomewa cha kufanya
 
Hiyo kazi ya ushauri sasa ndio tuna tatizo nayo

Badala ujishauri mwenyewe maana huku tayari ushatoa kazi na mshahara unalipa

Migomo isiyo na maana kwako wewe sio kwa anaegoma

Maajabu unapangia wanaogoma anaegomewa cha kufanya

Rais alituma mwakili wake mkuu wa mkoa,

Then akatuma waziri wa secta husika

Kamati zikakaaa but still watu wanagoma

Eeh unataka serikali ifanye nn?

Let's say ww ni Rais ungefanya Jambo gani?

Yan Rais atoke ikulu aende kariakoo? No way
 
Wafanya biashara wa Kariakoo sijui sehemu ni wajanja au wakwepaji kodi wazuri sana, hivyo kelele zao ni vizuri kuziangalia kwa umakini mkubwa; Mimi nimewahi kikutana na mfanya biashara anasema bila aibu kuwa bei ninayokuuzia ni nimekupunguzia, ukweli sio, sababu bei hiyo atakayokuuzia utapata kwa bei rejareja. Wananchi msikubali kauli hizo la divyo acha nenda kwingine utapata kitu hicho kwa bei hiyo.
Hakuna m/ biashara atakuuzia kwa hasara
Serikalinavhooajidi tekelezeni ahadi lakini kelele zao zingine ni ujanja tu.
Kwanini wanapiga kelele baada ya kuanzia kuwafuatilia.
TRA acha rushwa!
 
Back
Top Bottom