Rais Samia achana na wafanyabiashara wa Kariakoo, wasikupe presha!

Rais Samia achana na wafanyabiashara wa Kariakoo, wasikupe presha!

Ubabe haukuwai shinda popote ,tulipofika ili swala serikali isilibebe kimia kimia , linaitaji mjadala wa kitaifa ili tujue tunatoka vipi katika mkwamo huu , wafanyabiashara wana hoja zao , tukae kama taifa na kutoka na majibu
Watanganyika ni kondoo!
 
Vaa viatu vya mfanyabiashara, pewa pesa yako yote ya mshahara upeleke mwisho wa mwezi PAYE ukichelewa lipa fine na ukinunua chochote chukua 18% uipe serikali ukichelewa dk 1 fine.
Ingekuwa hivyo wafanyabiashara wote wangeshafunga maduka kitambo.Faida ipo ila haimfanyi asogee mbele anabaki tu pale pale kama ilivyo Kwa mshahara wa mtumishi wa umma
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF

Me naona nimeseme neno moja tu

Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi

Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?

Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu

Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?

Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?

Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena

Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale

😂😂😂😂😂. Nchi ataendesha kwa kodi za bodaboda?
 
Ingekuwa hivyo wafanyabiashara wote wangeshafunga maduka kitambo.Faida ipo ila haimfanyi asogee mbele anabaki tu pale pale kama ilivyo Kwa mshahara wa mtumishi wa umma

Akili za wafanyakazi wa umma za kutaka wao na wafanyabiashara wafanane.

Roho mbaya haijengi. Ila haki ikitamalaki, Taifa litabarikiwa.
 
Sawa mwisho umefika wafunge maduka yote mwaka mzima

Kila serikali hapa duniani inatoa ahadi

Hata wafanyakazi wamepewa ahadi

Ahadi means tunajua shida yenu tunashughulikia

Sasa wakigoma ndio serikali inafanya?
Ujeuri wa serikali halitakiwa jibu la kutatua tatizo. Wananchi wa 2024 siyo wa 1947
 
Ujeuri wa serikali halitakiwa jibu la kutatua tatizo. Wananchi wa 2024 siyo wa 1947

That's why nashauri serikali ikae kimyaaa isifanye anything

Mpaka wenyewe wakiamua kurudi au kutokurudi kabisa
 
Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF

Me naona nimeseme neno moja tu

Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi

Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?

Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu

Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?

Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?

Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena

Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
Mama yako akiendelea kusikiliza ushauri wa kilaza mwigulu atakumbana na yanayotokea huko kenya
 
Hawa watu wanakera, au ww hauna changamoto kwenye Eneo lako?

So na ww utagoma? Kila mtu agome?

Wakidekezwa hawa kesho wanakuja wafanyakazi wanataka more salary

No way
kwani kuna shida shida wafayakazi wakidai nyongeza ya mshahara toka kwa mwajiri?
 
Hawa watu wanakera, au ww hauna changamoto kwenye Eneo lako?

So na ww utagoma? Kila mtu agome?

Wakidekezwa hawa kesho wanakuja wafanyakazi wanataka more salary

No way
Kwaiyo kuwa nachangamoto zinazoweza kutatulika maeneo yakazi nahazitatuliki unaona nijambo lakujisifia?? Acha upambafu dogo
 
Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF

Me naona nimeseme neno moja tu

Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi

Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?

Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu

Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?

Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?

Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena

Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
𝐂𝐡𝐚𝐦𝐬𝐢𝐧𝐠𝐢 𝐬𝐞𝐫𝐢𝐤𝐚𝐥𝐢 𝐢𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐢𝐞 𝐦𝐛𝐢𝐧𝐮 𝐧𝐚 𝐧𝐣𝐢𝐚𝐛𝐚𝐝𝐚𝐥𝐚 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐦𝐢𝐠𝐨𝐠𝐨𝐫𝐨
 
𝐂𝐡𝐚𝐦𝐬𝐢𝐧𝐠𝐢 𝐬𝐞𝐫𝐢𝐤𝐚𝐥𝐢 𝐢𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐢𝐞 𝐦𝐛𝐢𝐧𝐮 𝐧𝐚 𝐧𝐣𝐢𝐚𝐛𝐚𝐝𝐚𝐥𝐚 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐦𝐢𝐠𝐨𝐠𝐨𝐫𝐨

Done juzi bungeni, sasa wangekuwa ni waelewa wangefungua
 
Back
Top Bottom