Kwa nini wafanyakazi hawajitetei wenyewe?Kuna kitu najiuliza sana ..
Hivi hawa wafanya biashara wanajua wafanyakazi zigo la kodi wanalobeba...!??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa nini wafanyakazi hawajitetei wenyewe?Kuna kitu najiuliza sana ..
Hivi hawa wafanya biashara wanajua wafanyakazi zigo la kodi wanalobeba...!??
Watanganyika ni kondoo!Ubabe haukuwai shinda popote ,tulipofika ili swala serikali isilibebe kimia kimia , linaitaji mjadala wa kitaifa ili tujue tunatoka vipi katika mkwamo huu , wafanyabiashara wana hoja zao , tukae kama taifa na kutoka na majibu
Ingekuwa hivyo wafanyabiashara wote wangeshafunga maduka kitambo.Faida ipo ila haimfanyi asogee mbele anabaki tu pale pale kama ilivyo Kwa mshahara wa mtumishi wa ummaVaa viatu vya mfanyabiashara, pewa pesa yako yote ya mshahara upeleke mwisho wa mwezi PAYE ukichelewa lipa fine na ukinunua chochote chukua 18% uipe serikali ukichelewa dk 1 fine.
Wafanyabiashara wanalia Kodi kubwa sana kuliko watumishi wa umaKuna kitu najiuliza sana ..
Hivi hawa wafanya biashara wanajua wafanyakazi zigo la kodi wanalobeba...!??
Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF
Me naona nimeseme neno moja tu
Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi
Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?
Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu
Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?
Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?
Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena
Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
Ingekuwa hivyo wafanyabiashara wote wangeshafunga maduka kitambo.Faida ipo ila haimfanyi asogee mbele anabaki tu pale pale kama ilivyo Kwa mshahara wa mtumishi wa umma
Ujeuri wa serikali halitakiwa jibu la kutatua tatizo. Wananchi wa 2024 siyo wa 1947Sawa mwisho umefika wafunge maduka yote mwaka mzima
Kila serikali hapa duniani inatoa ahadi
Hata wafanyakazi wamepewa ahadi
Ahadi means tunajua shida yenu tunashughulikia
Sasa wakigoma ndio serikali inafanya?
Achana nae tujadili mambo ya msingi . Huenda anakula Kwa shemeji😂😂😂😂😂. Nchi ataendesha kwa kodi za bodaboda?
Machawa ni wahujumu uchumi wa taifa ,yanyongweWatanganyika ni kondoo!
Mama yako akiendelea kusikiliza ushauri wa kilaza mwigulu atakumbana na yanayotokea huko kenyaMheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF
Me naona nimeseme neno moja tu
Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi
Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?
Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu
Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?
Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?
Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena
Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
Pumbavu huna akili,uchawa ndo unakutesaThat's why nashauri serikali ikae kimyaaa isifanye anything
Mpaka wenyewe wakiamua kurudi au kutokurudi kabisa
We chawa wa nyota 0.5Hizo ndio fact hakuna uchawa hapo
kwani kuna shida shida wafayakazi wakidai nyongeza ya mshahara toka kwa mwajiri?Hawa watu wanakera, au ww hauna changamoto kwenye Eneo lako?
So na ww utagoma? Kila mtu agome?
Wakidekezwa hawa kesho wanakuja wafanyakazi wanataka more salary
No way
Kwaiyo kuwa nachangamoto zinazoweza kutatulika maeneo yakazi nahazitatuliki unaona nijambo lakujisifia?? Acha upambafu dogoHawa watu wanakera, au ww hauna changamoto kwenye Eneo lako?
So na ww utagoma? Kila mtu agome?
Wakidekezwa hawa kesho wanakuja wafanyakazi wanataka more salary
No way
𝐂𝐡𝐚𝐦𝐬𝐢𝐧𝐠𝐢 𝐬𝐞𝐫𝐢𝐤𝐚𝐥𝐢 𝐢𝐚𝐧𝐠𝐚𝐥𝐢𝐞 𝐦𝐛𝐢𝐧𝐮 𝐧𝐚 𝐧𝐣𝐢𝐚𝐛𝐚𝐝𝐚𝐥𝐚 𝐰𝐚 𝐤𝐮𝐬𝐮𝐥𝐮𝐡𝐢𝐬𝐡𝐚 𝐡𝐢𝐢 𝐦𝐢𝐠𝐨𝐠𝐨𝐫𝐨Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF
Me naona nimeseme neno moja tu
Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi
Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?
Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu
Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?
Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?
Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena
Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale