Rais Samia achana na wafanyabiashara wa Kariakoo, wasikupe presha!

Rais Samia achana na wafanyabiashara wa Kariakoo, wasikupe presha!

So ww unataka wafanyabiashara washinikize mambo Yao Kwa migomo

Kesho madr wagome

Kesho kutwa wavuvi wagome

So kila mtu akiona Jambo lake sio sawa anagoma

Au unatakaje?

Nakumpa mfano hai, Jana tumevuka Kwa elf tano kigamboni, sehemu ya kulipa Mia mbili kisa pantoni hamna usiku


Je na Sisi tugome?
Kabla ya kukujibu ,je Panton apo kigamboni siku zingine tofauti na jana huwa inafanya kazi usiku, ?
 
Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF

Me naona nimeseme neno moja Tu

Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi

Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?

Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu

Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?

Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?

Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena

Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
Comments reserved
 
Hawa watu wanakera, au ww hauna changamoto kwenye Eneo lako?

So na ww utagoma? Kila mtu agome?

Wakidekezwa hawa kesho wanakuja wafanyakazi wanataka more salary

No way

Wanatumia haki yao kikatiba. Kama wewe umeamua kitulia tulia hivo hivo
 
Bado huna facts kijana, unaandika mashahiri tu.
Izo ahadi zinatekelezeka? Mara ngapi imetoa ahadi zile zile na hawajafanyia kazi?

Hakuna point ya kuahidi kitu halafu utekelezi
Is not about kutoa ahadi,walipotoa huko nyuma walifanyia kazi?
Wafanyabiashara wamechoshwa na ahadi HEWA.
 
Madhara makubwa Kwa Nani? Serikali au wao wafanyabiashara?

Serikali si Jana imetoa tamko na mkuu wa mkoa ameenda?

Sasa wanataka nn zaidi si wafungue maduka?

Hata wafunge inchi mzima waachwee
Madhara makubwa kwa serikali na rais mwenyewe. Unapokuwa kiongozi unatakiwa kuwasikiliza na kutatua changamoto za wale unaowaongoza kuwapuuza na kujiita majina ya ajabuajabu ili kuonekana huguswi na kero zao ni kiburi cha madaraka na kujitoa ufahamu. Mara nyingi unapokosa ushawishi kwa unaowaongoza huwa ni dalili kubwa ya kupoteza mamlaka.

Ni madhara pia kwa serikali kwasababu itashindwa kukusanya kodi na mwisho wa siku kushindwa kutoa huduma za jamii kitu ambacho kitapelekea serikali kupoteza imani kwa inaowaongoza.

Madhara pia kwa wafanyabiashara kwasababu kuna namna familia zitashindwa kujiendesha japo ni hasara ya kusababishwa na serikali.

Madhara mengine makubwa ni kwa wananchi ukiwemo wewe mtoa mada kwani mgomo huu utasababisha ushindwe kupata huduma za muhimu zinazotolewa na wafanyabiashara hali itakayopelekea ushindwe kuhudumia family yako ipasavyo.

Kwahiyo ndugu madhara ni makubwa kuliko unavyofikiria na rais wako anatakiwa ajivue uchura na awe msikivu kwa anaowaongoza.
 
So we waona mtoa mada yupo sawa,? Ningekua ndo kiongozi wa nchi alafu nikajua wewe ndo mshauri wangu wa karibu ,hakuna namna ningekuweka under house arrest , alafu unifundishe maana ya utawala bora,
Hayuko sawa huwezi kubishana na mtu anaye ahirisha kufikiri Kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kutumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wake, (unyumbu) wengi wamesomea kuhusu biashara na siyo jinsi ya kufanya biashara, (entrepreneurship),na hili Somo kwenye ujasiriamali linaitwa the entrepreneur and his environments, (mjasiriamali na yanayomzinguka pamoja na yasiyoyatarajiwa
 
Madhara makubwa kwa serikali na rais mwenyewe. Unapokuwa kiongozi unatakiwa kuwasikiliza na kutatua changamoto za wale unaowaongoza kuwapuuza na kujiita majina ya ajabuajabu ili kuonekana huguswi na kero zao ni kiburi cha madaraka na kujitoa ufahamu. Mara nyingi unapokosa ushawishi kwa unaowaongoza huwa ni dalili kubwa ya kupoteza mamlaka.

Ni madhara pia kwa serikali kwasababu itashindwa kukusanya kodi na mwisho wa siku kushindwa kutoa huduma za jamii kitu ambacho kitapelekea serikali kupoteza imani kwa inaowaongoza.

Madhara pia kwa wafanyabiashara kwasababu kuna namna familia zitashindwa kujiendesha japo ni hasara ya kusababishwa na serikali.

Madhara mengine makubwa ni kwa wananchi ukiwemo wewe mtoa mada kwani mgomo huu utasababisha ushindwe kupata huduma za muhimu zinazotolewa na wafanyabiashara hali itakayopelekea ushindwe kuhudumia family yako ipasavyo.

Kwahiyo ndugu madhara ni makubwa kuliko unavyofikiria na rais wako anatakiwa ajivue uchura na awe msikivu kwa anaowaongoza.

Sasa kama wahusika hawataki unataka serikali ifanye nini?

Si Jana wameongea, si RC kaenda si waziri kaongea sasa busara si kusikiliza viongozi?

Kama vyote hawataki eeh serikali ifanye nn

Hayo maitaji tutapata sehemu ambazo hao watu wa kariakoo wataenda kununua
 
Hayuko sawa huwezi kubishana na mtu anaye ahirisha kufikiri Kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kutumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wake, (unyumbu) wengi wamesomea kuhusu biashara na siyo jinsi ya kufanya biashara, (entrepreneurship),na hili Somo kwenye ujasiriamali linaitwa the entrepreneur and his environments, (mjasiriamali na yanayomzinguka pamoja na yasiyoyatarajiwa
Nimekuelewa mkuu ,thanks
 
Sasa kama wahusika hawataki unataka serikali ifanye nini?

Si Jana wameongea, si RC kaenda si waziri kaongea sasa busara si kusikiliza viongozi?

Kama vyote hawataki eeh serikali ifanye nn

Hayo maitaji tutapata sehemu ambazo hao watu wa kariakoo wataenda kununua
Yani unauliza swali kwamba sasa serikali ifanye nini kama hawataki!

Jibu

Ikae chini , itulize akili ,mjadala uwe wa kitaifa ili kutafuta suruhu na ufumbuzi wa malalamiko yao period, sio ubabe
 
Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF

Me naona nimeseme neno moja Tu

Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi

Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?

Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu

Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?

Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?

Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena

Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
Ushauri mzuri sana huu, tena awapuuze kabisa atafute safari aende zake ughaibuni akale bata baada ya wiki mbili akirudi huu upepo mbaya utakuwa umepita. Asiumize kichwa kabisa awaambie na maofisa wake wapotezee kabisa hilo sakata litajimaliza lenyewe njaa ikiwashika hao wafanyabishara vichwa ngumu.
 
Tahila wewe , akikaa kimya itakuwa vizuri wataitaitishq mgomo nchi zima halafu hayo mavi8 ya misafara yake yakianza kukosa mafuta atawaomba akutane nao bila kupenda.
Wajina nashukuru umeliona hili ila all in all nakupongeza ,unajitambua sana kwa sasa ,
Michawa mizoefu inafikili endesha inchi ni kama endesha familia zao .tukisema uchawa ni laana ndani ya nchi yanatoa povu , bila kujua yanaipeleka shimoni serikali yao bila kujua ,alafu yanabaki sisi chawa wa mama ,pumbavu kabisa

Ndugu rais wapende watoto wa kambo wenda wakawa na mchango mkubwa kwako kuliko machawa yaliyokuzunguka ili umalizie kipindi chako kilichobaki.

Machawa wanaangalia leo sio kesho hasa hawa chawa wadogodogo,machawawa makubwa yameisha jiweka sawa hata wasiporudi kwenye siasa .

Sasa ndugu Rais tusikilize sie hutojuta utaki acha ,ikikupendeza sawa
 
Ni kwanini TRA wakishachukuwa kodi wagawe kwa halmashauri? Wao wanakamua na halmashauri inakamua, huyo ng'ombe si mtamtoa damu?
 
Kiufupi hiyo ni WAKE UP CALL, mama asiposhituka hapa 2025 hatoboi. Yani jinsi hali ilivyo kwa wafanya biashara ndivyo hali hiyo ipo kila sekta kama kilimo, elimu, nk. Wafanyabiashara wanagoma kwani hakuna wa kuwatisha kwani mitaji ni yao. Watumishi wangekuwa walishagoma zamani ila vitisho vya kufukuzwa kazi ndivyo vinawafanya wakose ushirikiano. Kuna kundi la vijana tusio na ajira tupo wengi, hadi mwezi wa nne tukadanganywa eti mama ametoa kibali cha ajira za ualimu 2023/2024. Hadi leo hii hola! Mama asipokubali kushughulikia hizo changamoto kisawasawa basi 2025 atapata tabu kushawishi watu wamwelewe!
 
Yani unauliza swali kwamba sasa serikali ifanye nini kama hawataki!

Jibu

Ikae chini , itulize akili ,mjadala uwe wa kitaifa ili kutafuta suruhu na ufumbuzi wa malalamiko yao period, sio ubabe

Chini wamekaa Jana Bungeni,

Mjadala wamefanya na waziri husika na mkuu wa mkoa ambae ni mwakilishi wa Rais

Eeh sasa kifanyike nini tena?

Au tusiende makazini tukae uwanja wa taifa tuongee? Ndio unavyotaka?
 
Kiufupi hiyo ni WAKE UP CALL, mama asiposhituka hapa 2025 hatoboi. Yani jinsi hali ilivyo kwa wafanya biashara ndivyo hali hiyo ipo kila sekta kama kilimo, elimu, nk. Wafanyabiashara wanagoma kwani hakuna wa kuwatisha kwani mitaji ni yao. Watumishi wangekuwa walishagoma zamani ila vitisho vya kufukuzwa kazi ndivyo vinawafanya wakose ushirikiano. Kuna kundi la vijana tusio na ajira tupo wengi, hadi mwezi wa nne tukadanganywa eti mama ametoa kibali cha ajira za ualimu 2023/2024. Hadi leo hii hola! Mama asipokubali kushughulikia hizo changamoto kisawasawa basi 2025 atapata tabu kushawishi watu wamwelewe!

Kama mitaji ni Yao then Ardhi ya serikali

Watoke na mitaji Yao waende congo au Rwanda wakafungue maduka huko

Hapa Kodi si nyingi?

Wahame basi mbona bado wapo
 
Back
Top Bottom