hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 7,235
- 7,392
- Thread starter
- #21
Tahila wewe , akikaa kimya itakuwa vizuri wataitaitishq mgomo nchi zima halafu hayo mavi8 ya misafara yake yakianza kukosa mafuta atawaomba akutane nao bila kupenda.
Mafuta yanatoka kariakoo?
Kwamba kariakoo wakifunga inchi inasimama?
Wafunge basi tuone