Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili za hivi hazifai kwa chochote.Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF
Me naona nimeseme neno moja Tu
Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi
Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?
Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu
Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?
Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?
Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena
Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
Kuongea nao si hoja, hoja ni wanaongea nini?Tindo serikali imeshaongea nao Jana Bungeni, mwakilishi wa Rais ameenda Jana na Leo
And bado wamegoma hawa sio wa kuwaendekeza?
Kesho watagoma wanataka jf ifungwe inawachafulia biashara zao
Kwani kawa Luca😂Umesahau kuweka namba yako mkuu
Huyo kasahau kuangusha namba ya simu hapo.Akitoka hapo awagomee na wafanyakazi asiwaongezee mishahara, afu aje pia kwenye katiba mpya aigomee na akitoka hapo aende kwenye report za CAG azigomee, si ndio mleta mada?
Serikali anaweza kuumba ardhi?Mungu unamjua? Umewahi kumuona akiumba?
Jambo hili la madai ya marekebisho ya kodi ngazi ya mwisho lilikuwa kwa waziri mkuu waliyoahidiwa hayajatekelezwa, ni sawa tena kurudi kwa waziri au mkuu wa mkoa???Chini wamekaa Jana Bungeni,
Mjadala wamefanya na waziri husika na mkuu wa mkoa ambae ni mwakilishi wa Rais
Eeh sasa kifanyike nini tena?
Au tusiende makazini tukae uwanja wa taifa tuongee? Ndio unavyotaka?
Jambo hili la madai ya marekebisho ya kodi ngazi ya mwisho lilikuwa kwa waziri mkuu waliyoahidiwa hayajatekelezwa, ni sawa tena kurudi kwa waziri au mkuu wa mkoa???
Sio kurudi ndio maana hawajafungua, aende mwenye maamuzi..umeelewa?Sasa mnataka kurudi wapi?
Mnadhania PM alichokuja kuongea alitunga yeye mwenyewe?
Yale ndio majibu ya serikali hata kama mkienda mbinguni
Ombi lako Rais Samia kamwe hawezi Kulisikiliza kwani kuelekea 2025 anawahitaji hawa Wagomaji kuliko Mnafiki na Chawa wa Kujipendekeza Kwake Wewe.Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF
Me naona nimeseme neno moja tu
Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi
Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?
Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu
Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?
Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?
Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena
Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
Ndio wanataka yeye alitamke hilo wanalosema anaowatumaMwenye maamuzi ndio kawatuma hao wawakilishi wake so hata yy akija neno lake ni Hilo Hilo
Umevuka kwa njia gani? Ilikua salama? Je hiyo bei ni sawa? Ambaye hana hiyo 5000 ulimvusha au ulimwacha alale hapo hapo mpaka alfajiri? Kwanini vivuko vyote vilale na abiria bado wapo? ninachojua usiku huo kinabaki kimoja kufanya kazi.Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF
Me naona nimeseme neno moja tu
Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi
Serikali ishasema inashughulikia Jambo Lao na bado wamegoma kufungua maduka sasa unahangaika nao wa kazi gani?
Kuwadekeza hawa kutaibua migomo mingi sana ya kila sehemu
Kila mtu anachangamoto kwenye Eneo lake la kazi sasa kila mtu agome?
Jana usiku tumevuka kigamboni kwa sh elf 5, because usiku pantoni haikuwepo mpaka saa kumi alfajiri kwaiyo na Sisi tugome?
Mheshimiwa kaa kimya kabisa waache na wasifungue tena
Tena kama inawezekana tuvunje maduka yote tujenge stend ya mikoani pale
Kichwa kinaongea bila kiwiliwili..Basi ataenda mwaka 2030