Rais Samia aendelea kupandikiza tabasamu katika mioyo ya Watanzania

Rais Samia aendelea kupandikiza tabasamu katika mioyo ya Watanzania

Lucas Mwashambwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2022
Posts
28,722
Reaction score
20,610
Ndungu zangu watanzania,

Rais Samia Amewateka watanzania,Amegusa mioyo ya watanzania, Amepanda mbegu ya Uzalendo katika mioyo ya watanzania,Amewasha furaha katika mioyo ya wote, Watanzania Wana Tabasamu muda wote,wanacheka na kufurahi bila kujari itikadi za kisiasa.

Nchi Ina Tabasamu na kuchanua kila Kona ,amani kila eneo na usalama kila sehemu, Hakuna kushutumiana Wala kulaumiana,kila mtu anaona kuwa Tanzania Ni yetu sote na lolote lifanyikalo ni kwa Nia njema kwa Taifa letu,watu wanabishana kwa hoja na kukosoana kwa hoja na kuachana kwa amani baada ya mazungumzo.

Rais Samia kawaunganisha watanzania Kama zege lililokauka,Ni Samia kila mahali Ni mama kila mahali Ni Rais wetu kila Kona,Nchi inapendeza kwa furaha na vicheko, Nchi inasonga kwa amani,hakuna anayeachwa nyuma katika meza ya chakula Cha Taifa.

Rais Samia Ni mpakwa mafuta aliye pewa kibali na Mwenyezi MUNGU kututumikia watanzania, Mwenyezi MUNGU kampa Rais Samia Maarifa na Njia ya kuliongoza Taifa hili ndio sababu ya kuona umoja wa kitaifa ukiwa imara na madhubuti na kuwa na utulivu wakati wote.

IPO Siku watanzania kwa umoja wetu bila kujali itikadi zetu za kisiasa tutaandamana kila pembe ya Taifa Hili kumsindikiza Rais Samia kuchukua fomu ya kugombea Urais huku tukisukuma gari lake kwa mikono yetu na kuimba nyimbo za kumsifu kwa ujasiri,uhodari , ushupavu umadhubuti na uzalendo wake katika kuliongoza Taifa letu wakati wote.

Wabarikiwe Sanaa wazazi walio mzaa ,kumlea ,kumkuza na kumfundisha mama Samia utu na upendo kwa binadamu wote, Hakika Rais Samia alizaliwa Tanzania Kama zawadi kwetu watanzania katika kutuletea Tabasamu na furaha mioyoni mwetu na kujenga umoja wetu wa kitaifa ulio imara na madhubuti. Hatuna budi kumuunga mkono na kumtia moyo na kumpa faraja kwa kazi nguma na ya kizalendo anayoifanya katika kuijenga nchi yetu.

Tuendelee kumwombea Rais wetu Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania. Tuendelee kwa unyenyekevu mkubwa kumwomba Mwenyezi Mungu ili awe mlinzi wa maisha ya Rais wetu na kumlinda na kumpigania wakati wote.


Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
 
Acha upumbavu mkuu
20230105_112106.jpg
 
Kilimo Ni biashara,shika jembe ukalime maana ardhi IPO ya kutosha,acha wakulima wafaidike na jasho lao maana wamenyonywa kwa muda mrefu na kuteseka Sana, migongo Yao imeinama kutokana na suluba za jembe lakini wakawa wanaendelea kuwa wanyonge na wapweke katika Taifa lao,Sasa Rais mama Samia amekuja kuwakomboa na kuwafuta machozi Yao kwa kuwakwamua kiuchumi na kuwapa thamani wanayostahili
 
Kilimo Ni biashara,shika jembe ukalime maana ardhi IPO ya kutosha,acha wakulima wafaidike na jasho lao maana wamenyonywa kwa muda mrefu na kuteseka Sana, migongo Yao imeinama kutokana na suluba za jembe lakini wakawa wanaendelea kuwa wanyonge na wapweke katika Taifa lao,Sasa Rais mama Samia amekuja kuwakomboa na kuwafuta machozi Yao kwa kuwakwamua kiuchumi na kuwapa thamani wanayostahili
Yaani kwa akili yako ndogo hapo unafikiri anaepata faida kwa hizo bei ni mkulima. Mpuuzi mmoja wewe inajua hata bei ya mbolea kwa sasa? Unajua madawa ya kuulia wadudu yalivopanda bei? Unaajua hata jinsi athari za kutegemea kilimo cha mvua pekee kinavoshusha mavuno ya wakulima? Kwa taarifa yako hapo anaefaidika sio mkulima ni mjanja mmoja wa mjini anaejiita dalali. Serikali yako unayoisifia kila siku imeshindwa kumlinda mkulima. Endelea kutafuta uteuzi, mama hateui vilaza dizaini yako.
 
Lakini uzalendo ameupandaje?.
Ameupanda kutokana na matendo na kauli zake kwa kuongoza njia na kuwa mfano kimatendo na kimaneno katika kukupenda Taifa letu,Ndio sababu ya kuona watanzania bila kujali itikadi za vyama vyetu wakihubiri Aman na mshikamano miongoni mwetu,kila mtu analitanguliza mbele Taifa kabla ya maslahi yetu binafsi,Hii yote ni kutokana na Rais Samia kujenga uchumi unaomgusa kila mtu,kuimarisha na kusitawisha demokrasia hapa nchini,kusikiliza sauti za watu wote,kutenda haki kwa haki kwa watu wote.
 
Yaani kwa akili yako ndogo hapo unafikiri anaepata faida kwa hizo bei ni mkulima. Mpuuzi mmoja wewe inajua hata bei ya mbolea kwa sasa? Unajua madawa ya kuulia wadudu yalivopanda bei? Unaajua hata jinsi athari za kutegemea kilimo cha mvua pekee kinavoshusha mavuno ya wakulima? Kwa taarifa yako hapo anaefaidika sio mkulima ni mjanja mmoja wa mjini anaejiita dalali. Serikali yako unayoisifia kila siku imeshindwa kumlinda mkulima. Endelea kutafuta uteuzi, mama hateui vilaza dizaini yako.
Bila Shaka wewe siyo mkulima na hujuwi chochote kile kinachoendelea katika secta yetu ya kilimo,Rais Samia amefanya juhudi kubwa Sana za kumsaidia mkulima katika suala la mfumuko wa Bei ya mbolea kwa kutoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea, mfano katika msimu uliopita wakulima walinunua mfuko wa DAP shilingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu sokoni,Sasa kwa akili yako huoni kuwa mh Rais kawasaidia wakulima? Huoni kuwa kawapunguzia mzigo wa gharama? Huoni kuwa kawatua mzigo wa uliwahenyesha msimu uliopita?

Kuhusu Bei ya mazao napenda kukwambia kuwa Bei ya mazao ilikuwa nzuri Sana Tangia wakati wa mavuno ambapo mkulima alipata nafasi ya kuuza mahali popote palipo na Bei nzuri na haikuwa Rahisi kumuonea au kumnyonya mkulima kwa kuwa Bei zilikuwa zinajulikana,

Ndio sababu ya Rais Samia na serikali yake Kuendelea kuungwa mkono na wakulima wote kutokana na kurudisha Tabasamu na furaha mioyoni mwao
 
Ndungu zangu watanzania,

Rais Samia Amewateka watanzania,Amegusa mioyo ya watanzania, Amepanda mbegu ya Uzalendo katika mioyo ya watanzania,Amewasha furaha katika mioyo ya wote, Watanzania Wana Tabasamu muda wote,wanacheka na kufurahi bila kujari itikadi za kisiasa.

Nchi Ina Tabasamu na kuchanua kila Kona ,amani kila eneo na usalama kila sehemu, Hakuna kushutumiana Wala kulaumiana,kila mtu anaona kuwa Tanzania Ni yetu sote na lolote lifanyikalo ni kwa Nia njema kwa Taifa letu,watu wanabishana kwa hoja na kukosoana kwa hoja na kuachana kwa amani baada ya mazungumzo.

Rais Samia kawaunganisha watanzania Kama zege lililokauka,Ni Samia kila mahali Ni mama kila mahali Ni Rais wetu kila Kona,Nchi inapendeza kwa furaha na vicheko, Nchi inasonga kwa amani,hakuna anayeachwa nyuma katika meza ya chakula Cha Taifa.

Rais Samia Ni mpakwa mafuta aliye pewa kibali na Mwenyezi MUNGU kututumikia watanzania, Mwenyezi MUNGU kampa Rais Samia Maarifa na Njia ya kuliongoza Taifa hili ndio sababu ya kuona umoja wa kitaifa ukiwa imara na madhubuti na kuwa na utulivu wakati wote.

IPO Siku watanzania kwa umoja wetu bila kujali itikadi zetu za kisiasa tutaandamana kila pembe ya Taifa Hili kumsindikiza Rais Samia kuchukua fomu ya kugombea Urais huku tukisukuma gari lake kwa mikono yetu na kuimba nyimbo za kumsifu kwa ujasiri,uhodari , ushupavu umadhubuti na uzalendo wake katika kuliongoza Taifa letu wakati wote.

Wabarikiwe Sanaa wazazi walio mzaa ,kumlea ,kumkuza na kumfundisha mama Samia utu na upendo kwa binadamu wote, Hakika Rais Samia alizaliwa Tanzania Kama zawadi kwetu watanzania katika kutuletea Tabasamu na furaha mioyoni mwetu na kujenga umoja wetu wa kitaifa ulio imara na madhubuti. Hatuna budi kumuunga mkono na kumtia moyo na kumpa faraja kwa kazi nguma na ya kizalendo anayoifanya katika kuijenga nchi yetu.

Tuendelee kumwombea Rais wetu Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania. Tuendelee kwa unyenyekevu mkubwa kumwomba Mwenyezi Mungu ili awe mlinzi wa maisha ya Rais wetu na kumlinda na kumpigania wakati wote.


Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Upuuzi huu ndiyo maana mkeka umekupitia pembeni, Samia hatoi teuzi za kishamba
 
Ndungu zangu watanzania,

Rais Samia Amewateka watanzania,Amegusa mioyo ya watanzania, Amepanda mbegu ya Uzalendo katika mioyo ya watanzania,Amewasha furaha katika mioyo ya wote, Watanzania Wana Tabasamu muda wote,wanacheka na kufurahi bila kujari itikadi za kisiasa.

Nchi Ina Tabasamu na kuchanua kila Kona ,amani kila eneo na usalama kila sehemu, Hakuna kushutumiana Wala kulaumiana,kila mtu anaona kuwa Tanzania Ni yetu sote na lolote lifanyikalo ni kwa Nia njema kwa Taifa letu,watu wanabishana kwa hoja na kukosoana kwa hoja na kuachana kwa amani baada ya mazungumzo.

Rais Samia kawaunganisha watanzania Kama zege lililokauka,Ni Samia kila mahali Ni mama kila mahali Ni Rais wetu kila Kona,Nchi inapendeza kwa furaha na vicheko, Nchi inasonga kwa amani,hakuna anayeachwa nyuma katika meza ya chakula Cha Taifa.

Rais Samia Ni mpakwa mafuta aliye pewa kibali na Mwenyezi MUNGU kututumikia watanzania, Mwenyezi MUNGU kampa Rais Samia Maarifa na Njia ya kuliongoza Taifa hili ndio sababu ya kuona umoja wa kitaifa ukiwa imara na madhubuti na kuwa na utulivu wakati wote.

IPO Siku watanzania kwa umoja wetu bila kujali itikadi zetu za kisiasa tutaandamana kila pembe ya Taifa Hili kumsindikiza Rais Samia kuchukua fomu ya kugombea Urais huku tukisukuma gari lake kwa mikono yetu na kuimba nyimbo za kumsifu kwa ujasiri,uhodari , ushupavu umadhubuti na uzalendo wake katika kuliongoza Taifa letu wakati wote.

Wabarikiwe Sanaa wazazi walio mzaa ,kumlea ,kumkuza na kumfundisha mama Samia utu na upendo kwa binadamu wote, Hakika Rais Samia alizaliwa Tanzania Kama zawadi kwetu watanzania katika kutuletea Tabasamu na furaha mioyoni mwetu na kujenga umoja wetu wa kitaifa ulio imara na madhubuti. Hatuna budi kumuunga mkono na kumtia moyo na kumpa faraja kwa kazi nguma na ya kizalendo anayoifanya katika kuijenga nchi yetu.

Tuendelee kumwombea Rais wetu Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania. Tuendelee kwa unyenyekevu mkubwa kumwomba Mwenyezi Mungu ili awe mlinzi wa maisha ya Rais wetu na kumlinda na kumpigania wakati wote.


Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
CCM number one
 
Ndungu zangu watanzania,

Rais Samia Amewateka watanzania,Amegusa mioyo ya watanzania, Amepanda mbegu ya Uzalendo katika mioyo ya watanzania,Amewasha furaha katika mioyo ya wote, Watanzania Wana Tabasamu muda wote,wanacheka na kufurahi bila kujari itikadi za kisiasa.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Naunga mkono hoja
P
 
Ndungu zangu watanzania,

Rais Samia Amewateka watanzania,Amegusa mioyo ya watanzania, Amepanda mbegu ya Uzalendo katika mioyo ya watanzania,Amewasha furaha katika mioyo ya wote, Watanzania Wana Tabasamu muda wote,wanacheka na kufurahi bila kujari itikadi za kisiasa.

Nchi Ina Tabasamu na kuchanua kila Kona ,amani kila eneo na usalama kila sehemu, Hakuna kushutumiana Wala kulaumiana,kila mtu anaona kuwa Tanzania Ni yetu sote na lolote lifanyikalo ni kwa Nia njema kwa Taifa letu,watu wanabishana kwa hoja na kukosoana kwa hoja na kuachana kwa amani baada ya mazungumzo.

Rais Samia kawaunganisha watanzania Kama zege lililokauka,Ni Samia kila mahali Ni mama kila mahali Ni Rais wetu kila Kona,Nchi inapendeza kwa furaha na vicheko, Nchi inasonga kwa amani,hakuna anayeachwa nyuma katika meza ya chakula Cha Taifa.

Rais Samia Ni mpakwa mafuta aliye pewa kibali na Mwenyezi MUNGU kututumikia watanzania, Mwenyezi MUNGU kampa Rais Samia Maarifa na Njia ya kuliongoza Taifa hili ndio sababu ya kuona umoja wa kitaifa ukiwa imara na madhubuti na kuwa na utulivu wakati wote.

IPO Siku watanzania kwa umoja wetu bila kujali itikadi zetu za kisiasa tutaandamana kila pembe ya Taifa Hili kumsindikiza Rais Samia kuchukua fomu ya kugombea Urais huku tukisukuma gari lake kwa mikono yetu na kuimba nyimbo za kumsifu kwa ujasiri,uhodari , ushupavu umadhubuti na uzalendo wake katika kuliongoza Taifa letu wakati wote.

Wabarikiwe Sanaa wazazi walio mzaa ,kumlea ,kumkuza na kumfundisha mama Samia utu na upendo kwa binadamu wote, Hakika Rais Samia alizaliwa Tanzania Kama zawadi kwetu watanzania katika kutuletea Tabasamu na furaha mioyoni mwetu na kujenga umoja wetu wa kitaifa ulio imara na madhubuti. Hatuna budi kumuunga mkono na kumtia moyo na kumpa faraja kwa kazi nguma na ya kizalendo anayoifanya katika kuijenga nchi yetu.

Tuendelee kumwombea Rais wetu Afya njema na nguvu za Kuendelea kututumikia watanzania. Tuendelee kwa unyenyekevu mkubwa kumwomba Mwenyezi Mungu ili awe mlinzi wa maisha ya Rais wetu na kumlinda na kumpigania wakati wote.


Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Tujitume kufanya kazi ,nchi yetu bado ina safari ndefu sana kufikia sehemu ya kusifiana kiasi hiki .
 
Tujitume kufanya kazi ,nchi yetu bado ina safari ndefu sana kufikia sehemu ya kusifiana kiasi hiki .
Ndio maana Mimi ninayefanya kazi nampongeza Sana Rais Samia kwa kuwa naona juhudi zake katika kutukwamua kiuchumi watanzania hasa sisi wakulima,ambapo kwa Sasa kilimo Ni biashara yenye kuleta tija,ndio maana watu wanaotafuta ardhi ili walime kwa kuwa wanajuwa kwa Sasa kilimo kinalipa na linaweza kukuinua kiuchumi ukizingatia hatua zote za kitaalamu
 
Kadi ya Nini ndugu yangu , Tuendelee kukijenga Chama chetu kwa uzalendo na moyo wa kujitolea na wakati wote tujiulize tutaifanyia Nini CCM na siyo CCM itatufanyia nini
Unajiita mwana CCM hata kadi ya chama huna una mchango gani sasa wewe kwenye ccm? Kanjanjaa
 
Huyu chawa ameamua namba yake ya simu ijulikane ili siku ya uteuzi apigiwe simu.
 
Sisi wavuvi huku ni KILIO, tunaula wa chuya

Mabilioni ya ufugaji wa samaki yameliwa na serikali yake ya CCM

Capture-Uvuvi.PNG

Capture- Uvuvi2.PNG
 
Back
Top Bottom