Rais Samia afanya mabadiliko madogo ya Baraza la Mawaziri. Angellah Kairuki aenda TAMISEMI, Balozi Mulamula atemwa, Bashungwa ahamishwa

Mganga wa Dk. Mwigulu Nchemba si wa mchezo mchezo kwani Kaupiga mwingi kwa Ndumba na Mama Kamsahau kabisa Kumtumbua.
 
TAMISEMI kaamua kuwabadilishia mzembe mwingine tu wakuruhusu uwizi zaidi.

Maana yake wizi unao endelea TAMISEMI una baraka zote wa ‘Bi Tozo‘ sote tunajua uwezo wa Angela Kairuki sasa kumuweka hapo ni sawa na kusema ibeni zaidi.

Huo ndio ukweli wenyewe
 
sjui ni kwanini ila tangu enzi za jpm sielewi mantiki ya hizi teuzi za miezi sita sita. ukikaa ukitazama kwa umakini zimekaa kama nafasi ya kumtega mtu kimahaba kisha mkichukizana umuweke pemebni upate marafiki wengine wa kuwatega
 
Na hizo kucha tunyofolewe lini atatangaza agombei 2025 tupate nafasi za kuwapima wanayoitaka hiyo nafasi.

Atutaki tena biashara ya kuuziwa mbuzi kwenye gunia.
 
sjui ni kwanini ila tangu enzi za jpm sielewi mantiki ya hizi teuzi za miezi sita sita. ukikaa ukitazama kwa umakini zimekaa kama nafasi ya kumtega mtu kimahaba kisha mkichukizana umuweke pemebni upate marafiki wengine wa kuwatega
Uteuzi wa mama ni wa hovyo hovyo sana.
Mawaziri wenye nafuu ni;
1. Maji
2. Kilimo
Basi wengine sijui wanafanya kitu gani.
Tunaibiwa sana kwani wanalipwa kodi zetu
 
Huyo Dr TAX katokea huko huko Civil Services ni mtu wao; Wala hakuna shida kuwa waziri wa mambo nje ni njagu wa zamani.

Wizara ya ulinzi huyu mtu ata hatujui shughuli yake haswa, ila Bashungwa kasomeshwa na serikali nje ya nchi na kurudi kapewa kazi serikalini sasa kama hujui hawa watu huwa ni wa aina gani kazi kwako (tatizo labda wapewe wizara ngumu).

Hila huyu Kairuki TAMISEMI ni maza kutuletea utani tena watanzania.

Huyu Kairuki wa kumpa TAMISEMI hizi sasa dharau.
 

Tz hakuna kiongozi anayefuata katiba ,kikatiba ni 10 ila anaweza akateua hata 20 hakuna mtu atakayemzuia.
 
Huyo mama Mulamula alikuwa hawashi kiukweli. Yule mama sio mwanasiasa wala sio mwanadiplomasia anafaa kuwa mwanazuo (Academician).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…