Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Rais Samia afanya mabadiliko Wakuu wa Mikoa. Ally Hapi, Kigaigai, Kafulila na Eng. Robert Gabriel watemwa

Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa nchini huku akiingiza majina mapya tisa akiwemo Albert Chalamila aliyeteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Kagera.

Wakuu wa mikoa 10 wamebaki kwenye vituo vyao vya kazi vya awali huku 7 wakihamishwa.

Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara, Ally Hapi ameachwa katika orodha mpya, dhahma hiyo pia imewakumba aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila.

Pia aliyekuwa katibu mkuu wa Bunge na baadae kupewa mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kigaigai nae ametemwa.


======

Mkeka wa wakuu wa mikoa.
View attachment 2306342View attachment 2306343
View attachment 2306345
 
Rais Samia Suluhu amefanya mabadiliko ya wakuu wa mikoa nchini huku akiingiza majina mapya tisa akiwemo Albert Chalamila aliyeteuliwa kuwa mkuu wa mkoa wa Kagera.

Wakuu wa mikoa 10 wamebaki kwenye vituo vyao vya kazi vya awali huku 7 wakihamishwa.

Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Mara, Ally Hapi ameachwa katika orodha mpya, dhahma hiyo pia imewakumba aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Simiyu, David Kafulila.

Pia aliyekuwa katibu mkuu wa Bunge na baadae kupewa mkoa wa Kilimanjaro, Stephen Kigaigai nae ametemwa.


======

Mkeka wa wakuu wa mikoa.
View attachment 2306342View attachment 2306343
View attachment 2306345
Ally Hapi he did nothing huku, bora wamemsepesha
 
Habari za chini ya kapeti eng.Robert Gabriel kaondolewa kwa mambo makuu matatu kama yafuatavyo
1. Kupiga simu kwa waziri mkuu kwa kila jambo linaloendelea Mwanza, bila kumtaarifu aliyempa ulaji mfano madudu ya kwenye ujenzi wa meli wa mv mwanza hapa kazi tu, pamoja na muendelezo mbovu wa daraja la kigongo busisi.

2.Kwanini anapokuja Rais samia Mwanza wananchi wanakuwa wachache na shamrashamra zinakuwa kidogo kuliko jinsi Kasimu majaliwa alivyopokewa kwa shangwe na wananchi wengi walijitokeza kuja kumsikiliza.

3. Kampeni ya kujenga madarasa 11000 kwa nguvu ya wananchi hapa kinamdhalilisha rais kwani hela za covid 19 za kujenga madarasa hazikutosha😂😂😂
 
Mjanja mjanja tu kaspecialize kwenye ukuu wa wilaya na mkoa tu na technics & sarakasi zote za kubaki katika nafasi hizo anazijua vizuri ndo mana kila mtu akitaja wakuu wa mikoa hawakosi kumuimba yey

Watanzania bado tuna undi ndi ndi
 
Brigadier General Wilbert A. Ibuge:

Mwanajeshi
ambaye ni mwanazuoni, mwalimu wa sayansi ya siasa pia mwanadiplomasia mahiri balozi brigedia jenerali Wilbert Ibuge akiongea na madiwani

26 June 2022

“SIVAI KOMBATI KWA KUIGIZA MIMI NI MWANAJESHI,TUCHAPE KAZI”,RC IBUGE



Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Brigedia Jenerali Wilbert Ibuge amewaeleza madiwani wa Halmashauri za Mkoa wa Ruvuma kwa nyakati tofauti kuwa jukumu alilopewa na Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ni kusimamia utendaji kazi ili kusukuma gurudumu la maendeleo kwa wananchi wa Ruvuma kwa kutekeleza Ilani ya CCM ya 2020 hadi 2025 na kwamba hana mpango wa kuingia kwenye Siasa.

Source : Nyasa DC online

WASIFU:

Brig.Jenerali Wilbert Augustine Ibuge

WORK EXPERIENCE

  • 15 May, 2021 to-date-Regional Commissioner, Ruvuma Region.
  • 06 February, 2020 - 15 May, 2021 - Permanent Secretary, Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation.
  • 01 October, 2019 to 06 February, 2020 – Ambassador, Director and Chief of Protocol, Ministry of Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation.
  • April to September, 2019 – Brigade Operations and Training Officer, 2002(Western) Infantry Brigade Group, Tanzania People’s Defence Forces (TPDF).
  • 18 January, 2016 to 30 March, 2019 – Head of Defence Affairs and Planning in the Organ on Politics, Defence and Security Cooperation Directorate at the Southern African Development Community (SADC) Secretariat Headquarters, Gaborone, Botswana.
  • June, 2007 to December, 2015 – Minister Plenipotentiary and Military Adviser, Permanent Mission of the United Republic of Tanzania to the United Nations, New York, USA.
  • 2003 to 2005 – Assistant Lecturer (International Relations and International Law) in the Department of Political Science and Public Administration, University of Dar es Salaam, Tanzania.
  • 1993 through to 2020 – (various): Military career promotions, from Commission as an Officer Cadet (1993), Second Lieutenant (1995) up to Brigadier General (2020). Gen. Ibuge has also held numerous command and senior staff officer appointments on various units, operational deployments and Headquarters with in the Tanzania People’s Defence Forces. He remains in active service.
  • ACADEMIC QUALIFICATIONS
  • Ambassador Brig. Gen. Ibuge is currently a Ph.D. Candidate at the Department of Political Science and Public Administration of the University of Dodoma.
  • Gen. Ibuge also holds a Bachelor of Arts (BA) in Political Science and Public Administration (Honours, First Class) and a Master of Arts (MA) in Political Science and International Relations from the University of Dar es Salaam.
  • The General is also a graduate of the South African National War College (SANWC) and holder of a National Diploma (Postgraduate) in Defence and Security Studies, SANWC, Pretoria Republic of South Africa.
  • NATIONALITY: Tanzanian.
Source : Wilbert Augustine Ibuge
Source: REMARKS BY AMB. BRIG. GEN. WILBERT IBUGE - ForeignPolicyWatchdog.com

Afande Ibuge kumbe kafika PhD level duuh sikuwahi jua kabla, hongera sana kwake..
 
Wametumbuliwa bhana, siyo kwamba wanahitajika jeshini. Kwa uspesho gani wali nao ??

Wamevurunda warudi wakabebe magobore huko jeshini walikotoka. Usianze kuwapamba hapa.
Usikatae mkuu wamepanda cheo na kuwa Major General kwa majukumu mapya katika makao makuu ya jeshi.
 
Hao Brigedia warudi jeshini. Ukuu wa mkoa wapewe makanali. Sio brigedia. Brigedia warudi jeshini, wapande vyeo kuwq Major, wapewe uongozi wa kamandi na Idara jeshini. Kuna vyuo vya kijeshi, kuna hospitali za jeshi, kuna balozi, kuna kamandi, kuna vitengo vya makao makuu.
Pengine CDF Mkunda ndio kawahitaji kwa ajili ya re-organisation yake jeshini.
Lakini pia majors wanastaafu. Wao waende kuziba mapengo.
Wengi wameandika andika upuuzi tu kuwahusu hao maafande ila wasipoelewa pia huu ufafanuzi wako ni kuwapuuza tu Sasa. Maana ukweli halisi ndiyo huo umeuweka hapo.
 
Back
Top Bottom