Rais Samia afanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya mafuta ya Shell

Rais Samia afanya mazungumzo na Afisa Mtendaji Mkuu wa kampuni ya mafuta ya Shell

nimetafakari nkaona kuna watu wanazingua , hivi mtu analeta mada kama hii Tujadili nini sasa ???

Hii JF siku hizi ishakuwa FB ,nashauri waweke utaratibu kuanzia mtu mwenye degree ndo awe na uwezo wa kutoa uzi na si vingine

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Kuna kundi la watu maalum wapo hapa JF kuanzisha mada za 'Maza Mizinguo', bila kujali zinahoja yoyote au ni takataka tu. Mara nyingi mada za aina hizo sijihangaishi nazo, napita tu kama hazipo.
 
nimetafakari nkaona kuna watu wanazingua , hivi mtu analeta mada kama hii Tujadili nini sasa ???

Hii JF siku hizi ishakuwa FB ,nashauri waweke utaratibu kuanzia mtu mwenye degree ndo awe na uwezo wa kutoa uzi na si vingine

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
The issue is; LNG na uwazi wa mazungumzo! Unawekewa kila kitu wazi katika process ya huo mradi , kuanzia mazungumzo na mbia bado huelewi una laumu?

Ikija mikataba 'tinted' bado utalalamika! Furahia hii taarifa na ufuatilie maslahi ya nchi yako. Dah nchi hii ina baadhi ya watu vichwa vigumu kama majabali😀😀.
 
Hawa "chawa" wa Maza Mizinguo wanajaza ukumbi na takataka bila sababu.

Kwa hiyo hapa na mada hii kijadiliwe kitu gani?
Hivi maana yake sasa hivi tunahama kutoka bwawa la nyerere na kuingia kwenye gasi tena ?

CCM hawataifikisha nchi hii popote wallahi
 
nimetafakari nkaona kuna watu wanazingua , hivi mtu analeta mada kama hii Tujadili nini sasa ???

Hii JF siku hizi ishakuwa FB ,nashauri waweke utaratibu kuanzia mtu mwenye degree ndo awe na uwezo wa kutoa uzi na si vingine

Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Kuna watu hawana degree na wana uwezo mzuri tu wa kujenga hoja na kuziwasilisha mbele ya hadhira.

Ajabu[emoji848]
Pia Kuna watu na degree zao lakini hawana uwezo wa kupambanua maswala na kuelezea mambo hayo na kushikika akilini.

So hoja isiwe kiwango cha elimu ya makalatasi , Bali tuta waelimisha hapahapa taratibu ili wafuate mfumo!
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani leo Septembea 04,2021 amefanya mazungumzo kwa nija ya Mtandao na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Kimataifa ya Mafuta ya Royal Dutch Shell PLC) Bwana Ben Van Beurden

Viva Mama Samia
Viva CCM
Kazi Iendelee
===
FA2-bZzXEAIta-X

Na kwenye kusign mikataba tunaomba uwazi uwe hivihivi…maana JPM alishatuzoesha uwazi na tulimuamini bila mashaka yoyote..maana wasomi wetu tunaowaamini na resources za nchi yetu ndio wa kwanza kutusaliti..Mungu ibariki Tanzania
 
Wizara ya nishati sasa hivi inaongozwa na ‘chief Mangungo’ mwenyewe anaamini ni go-getter (huyu mtu hafai, kwenye sensitive position za nchi) he is just shallow.

Jibu la kwanini Tony Blair alikuja Tanzania, kuja kutengeneza mazingira sahihi.

Serikali ya UK wana interest kubwa na Shell kuliko kampuni yeyote ya mafuta duniani. Mafuta yao tu Shell pekee ndio mwenye exclusive rights ya kuchimba North Sea.

Shida sio kuingia mikataba but the ignorance display ya waziri in preparing for negotiations is something to be feared.

$30 billion plant, haya.
 
Shell nao wanataka deal la mafuta zenj ?Maana Total walipata deal la bomba la mafuta Tanga mpaka Uganda.
 
Shell nao wanataka deal la mafuta zenj ?Maana Total walipata deal la bomba la mafuta Tanga mpaka Uganda.
Acheni utani jamani, 😅😅😅😅😅😅. Hao shell wanashare kwenye mradi wa LNG wala sio kwaajili ya mafuta, Tanzania hamnaga issue za mafuta.
 
The issue is; LNG na uwazi wa mazungumzo! Unawekewa kila kitu wazi katika process ya huo mradi , kuanzia mazungumzo na mbia bado huelewi una laumu?

Ikija mikataba 'tinted' bado utalalamika! Furahia hii taarifa na ufuatilie maslahi ya nchi yako. Dah nchi hii ina baadhi ya watu vichwa vigumu kama majabali😀😀.
Uwazi ndio muhimu, hasa kwa mradi mkubwa kama huo wa LNG,lakini cha zaidi kampuni kongwe,maarufu na kubwa duniani. SHELL kwenye mradi huu.
SHELL ina uwezo na uzoefu wa miradi sampuli hii karibu kila pembe ya dunia.Tunachosubiri ni kuona maslahi mapana ya taifa letu yamezingatiwa kabla ya mradi kuanza.
 
Sasa umeleta hapa kama taarifa au tujadili hii mada. Jamii forum ya siku hz , hata mtu akiongea na rafiki take/ mtoto/ wake wameleta huku, mbona zamani ilikuwa ni mada za kujenga. Jf walipeni watu fedha wawe wanaleta mada za maana sio hz za ujinga ujinga
 
Back
Top Bottom