Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
They are fossil fuelsSijasoma gas na mafuta lakini naweza kueleza kidogo kile nachokielewa.
jaribu kujifunza factors za oil and gas formation. Kajifunze temperature ya gas and oil formation, kajifunze aina ya organic matter inayotengeneza gas, kajifunze aina ya organic matter inayotengeneza mafuta.
Naomba Mungu tusipigwe,hii rasilimali mafuta ikawa laana kama ilivyo kwa nchi za Nigeria nk,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani leo Septembea 04,2021 amefanya mazungumzo kwa nija ya Mtandao na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Kimataifa ya Mafuta ya Royal Dutch Shell PLC) Bwana Ben Van Beurden
Viva Mama Samia
Viva CCM
Kazi Iendelee
===
Hizo nadharia mlizosoma,zinasaidiaje tusiibiwe?bila shaka Kuna watu Wana PHD zao za hiyo taaluma,lakini mbona tulipigwa kwenye mradi wa bomba la gesi??They are fossil fuels
Muhimu hapo ni wewe kusema ujasoma βoil and gasβ.
Nenda kasome sasa byproducts za crude oil/gas zinazopatikana kwenye distillation process.
Kwenye Gas unapata mafuta kidogo and vice versa. It is a process with so many byproducts bidhaa ya mwisho ni tar.
Acha kuwadanganya wanajamii forum ndugu. Geological condition ya Tanzania kwenye field zote ambazo gesi imegunduliwa hakuwezi kuwa na uwepo wa mafuta, ni gesi kavu kabisa. Ukitaka mafuta nenda kwenye field za Uganda huko huku kwetu sahau.They are fossil fuels
Muhimu hapo ni wewe kusema ujasoma βoil and gasβ.
Nenda kasome sasa byproducts za crude oil/gas zinazopatikana kwenye distillation process.
Kwenye Gas unapata mafuta kidogo and vice versa. It is a process with so many byproducts bidhaa ya mwisho ni tar in either crude.
Negotiation process ya oil and gas takes time.Hizo nadharia mlizosoma,zinasaidiaje tusiibiwe?bila shaka Kuna watu Wana PHD zao za hiyo taaluma,lakini mbona tulipigwa kwenye mradi wa bomba la gesi??
Hayo ma theory ya kukalili Ili kujibu mitiani hayana tija kabisa,leteni nondo zenje tija
Bora umelezwa ukweli mm kiufupi sijayapenda maswali yako ya kitoto. Tujadiri issue za mikataba sio upupu wa distillation usio maana yeyote.Negotiation process ya oil and gas takes time.
Lazima uelewe wakati sisi
πππππππEti ananiambia nikasome byproducts,Hizo nadharia mlizosoma,zinasaidiaje tusiibiwe?bila shaka Kuna watu Wana PHD zao za hiyo taaluma,lakini mbona tulipigwa kwenye mradi wa bomba la gesi??
Hayo ma theory ya kukalili Ili kujibu mitiani hayana tija kabisa,leteni nondo zenje tija
Mradi wa LNG ujenzi tu ni miaka 10 wakati JNHPP ni 3 yrs, je tungesubiri 10-15 yrs kuongeza uzalishaji wetu wa umeme?Chifu,
Hii ni miradi miwili TOFAUTI kwa 100%...
Bwawa la Nyerere is just for uzalishaji wa umeme...
Gesi inayozungumziwa hapa ni "tofauti" na ile gas ambayo kwa sasa ndo inautzalishia umeme (Gas ya Msimbati na Songosongo)!
Gas inayozungumziwa hapa bado haijaanza kuchimbwa, na ni mradi mkubwa sana! Ni ile gas ambayo, processing plant peke yake, as June 2015, ilikuwa ijengwe kwa USD 30 Billion!!
Ni ile gas ambayo Muhongo aliwaambia akina Mengi kwamba wana pesa ya kuuzia juice tu, lakini hawana ubavu wa kuwekeza kwenye gas!!
Sema mimi binafsi, nilikuwa in favor na huu mradi kuliko Mradi wa Bwawa la Nyerere kwa sababu Mradi huu unaweza kutupatia kile tutakachopata kutoka Bwawa la Nyerere lakini Bwawa la Nyerere haliwezi kutupa kila kinachoweza kupatikana kutoka kwenye mradi wa gesi!!
Uwekezaji wa CNG hata watanzania wenyewe wanaweza fanya, CNG haina tofauti kubwa na petrol stations, baada ya miaka 10 CNG stations zitaongezeka sana tu, LNG plant uwekezaji wake ni mkubwa, LNG ya Tz bajeti yake ni 30bn $, hii ni sawa na bajeti nzima ya Tz kwa miaka 2.Wanataka kuwekeza kwenye LNG au CNG?
Ingekuwa poa hao jamaa wawekeze na kwenye CNG, tumechoka kulipia petrol ambayo kila uchwao bei inapanda hatari...
Ndio maana nika kwambia kasome tena βoil and gasβ.Acha kuwadanganya wanajamii forum ndugu. Geological condition ya Tanzania kwenye field zote ambazo gesi imegunduliwa hakuwezi kuwa na uwepo wa mafuta, ni gesi kavu kabisa. Ukitaka mafuta nenda kwenye field za Uganda huko huku kwetu sahau.
Ni kwa sababu ulibisha kwenye Gas kuna mafuta na kwenye mafuta kuna gas. Viwango tu ndio vinapishana.Bora umelezwa ukweli mm kiufupi sijayapenda maswali yako ya kitoto. Tujadiri issue za mikataba sio upupu wa distillation usio maana yeyote.
They are fossil fuels
Muhimu hapo ni wewe kusema ujasoma βoil and gasβ.
Nenda kasome sasa byproducts za crude oil/gas zinazopatikana kwenye distillation process.
Kwenye Gas unapata mafuta kidogo and vice versa. It is a process with so many byproducts bidhaa ya mwisho ni tar in either crude.
Wanatumia neno gas reserve kwa sababu hiyo ndio product iliyonyingi commercially but there is always little amount of oil.Kwenye zile reservoir za offshore za Mtwara kule, ni gas tu inayopatikana, hakuna hata chembe ya mafuta...
Wanatumia neno gas reserve kwa sababu hiyo ndio product iliyonyingi commercially but there is always little amount of oil.
Hata kwenye mafuta watazungumzia product iliyo commercial, but there is always small amount of gas.
Ngoja nikubali tu sababu unaweza jikuta unadisclose mavitu yanayoweza kufanya mtu ujulikane π
Kwa kawaida, conceptual design and feasibility study (Pre- Front End Engineering Design alias Pre-FEED) inachukua miezi 18 hadi 24.Mradi wa LNG ujenzi tu ni miaka 10 wakati JNHPP ni 3 yrs, je tungesubiri 10-15 yrs kuongeza uzalishaji wetu wa umeme?
Kumbe wakati Gas By-Products, pamoja na mambo mengine inaweza ku-stimulate uwekezaji kwenye Methanol Plant, methanol inayozalishwa pia inaweza kuchochea uanzishwaji wa viwanda vingine kama vya kutengeneza plastics, paints, n.k!!About Methanol
Methanol β the simplest alcohol (CH3OH) β is a chemical building block for hundreds of everyday products, including plastics, paints, car parts and construction materials. Methanol also is a clean energy resource used to fuel cars, trucks, buses, ships, fuel cells, boilers and cook stoves.
Hiyo ni Gas Project, ambayo hata ikichukua miaka 10-15, outcome ndo hiyo hapo juu!!Industry Insights
The global methanol market size was estimated at USD 31.81 billion in 2018 and is projected to accelerate at a CAGR of 2.9% from 2019 to 2025. Increasing consumption of methanol for the production of dimethyl ether and Methyl tert-butyl ether (MTBE), utilized as the alternatives for gasoline, is expected to propel the growth. DME is used as a fuel (diesel) in the passenger vehicle and aerosol propellant and is also blended in Liquefied Natural Gas (LNG).
Yaani nimesoma naona wewe ni mshabiki tu usiyejitambua!Kwa kawaida, conceptual design and feasibility study (Pre- Front End Engineering Design alias Pre-FEED) inachukua miezi 18 hadi 24.
Baada ya Pre-FEED inafuata Front End Engineering Design (FEED) ambayo inachukua takribani 24 months.
Hapo utaona kuna a total of 4 years!!
Project execution inachukua a maximum of 5 years!!
That having been said, from Pre-FEED na kuanza kuzalisha gas kwa mara ya kwanza... inachukua a maximum of 10 Years!!
Lakini wakati umetumia a maximum of 10 years, the following benefits zinaanza kupatika:-
1. Gas kama gas for domestic and industrial use in the country
2. Gas kama gas (LNG) for export
3. Gas for power (electricity) production.
4. Gas by-products for industrial development... pale Mtwara peke yake, kuna investment ya USD 1.9 Billion kwa ajili ya kiwanda cha mbolea kinachotarajia kutumia gas by-products!
5. Gas by-products inatumika pia kwenye uzalishaji wa Ammonia, and hence having a possibility ya kuwa na Ammonia Production Plants!
6. Gas by-products pia inatumika kuzalisha Methanol, and na hivyo kuwa na uwezekano wa kuanzishwa kwa Methanol Production Plants!!
Kumbe wakati Gas By-Products, pamoja na mambo mengine inaweza ku-stimulate uwekezaji kwenye Methanol Plant, methanol inayozalishwa pia inaweza kuchochea uanzishwaji wa viwanda vingine kama vya kutengeneza plastics, paints, n.k!!
Hiyo ni Gas Project, ambayo hata ikichukua miaka 10-15, outcome ndo hiyo hapo juu!!
And in fact, hiyo ni sehemu tu kwa sababu mtu akitaka kuizungumzia Gas Industry kiuchumi na kwa mapana zaidi, basi atalazimika kutuilia na sio kwa kudandia posts kama hivi!!
Hapo itatakiwa kujadiliwa kiundani, especially, Midstream and Downstream industries na kuoanisha both industries (mid and downstream) with a LOCAL CONTENT!
Haya, nipe hapa mchanganuo wa kiuchumi wa Bwawa la Nyerere unaoweza kuleta angalau 10% of Multiplier Effect inayoweza kupatikana kwenye Gas Industry!!
Na kukumbusha tu ni kwamba, tunakaribia miaka 5 sasa tangu mradi wa Bwawa la Nyerere uanze, na bado hujakamilika, na ukamilikaji wake is subjected to fund kwa sababu tunategemea kukopa, unlike kampuni za mafuta na gas ambazo zina uwezo mkubwa zaidi ya kufanya funding kulinganisha na sisi!
Anyway, endeleeni kukejeli kila kitu kwa sababu tu Mungu Mtu wenu Magufuli hakutaka kufanya!!
Hapa ndo umeboronga uzi kabisa.Viva CCM
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani leo Septembea 04,2021 amefanya mazungumzo kwa nija ya Mtandao na Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Kimataifa ya Mafuta ya Royal Dutch Shell PLC) Bwana Ben Van Beurden
Viva Mama Samia
Viva CCM
Kazi Iendelee
===
Samia kama Samia, huwa anauzungumzia! Hata mwezi uliopita alikuwa na Contractor anayejenga Bwawa.Mwelekeo wa serikali huangaliwa kwa statements za viongozi.
Tangu Samia kaingia madarakani umewahi kumsikia akizungumzia bwawa la Nyerere ?
Kamuondoa Kalemani aliyekuwa anatia msukumo ujenzi wa bwawa lile kaweka Waziri ambaye kabadilisha mwelekeo kurudi kwenye gesi.
Hata bungeni baada ya Samia tu uliona jinsi msukumo wa kurudi kwenye umeme wa gesi ulivyoibuka.
Huenda bwawa hili likatelekezwa au likasimama kwa kisingizio cha kukosa fedha.
Bajeti ijayo itatoa mwelekeo lakini ukiona CCM wanapigia msukumo jambo fulani ujue kuna upigaji.
Angalia hata bodi mpya ya Tanesco