Rais Samia Afanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC)

Rais Samia Afanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Reli Tanzania (TRC)

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzay Mheshimiwa Samia Suluhu leo Mei 22, 2021 amekutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania ( TRC) Masanja Kadogosa

Katika mazungumzo hayo muhimu yaliyofanyika Ikulu pamoja na mambo mengine walijadili maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa ( SGR)

Mkurugenzi Mkuu wa TRC alimshukuru sana Mama Samia kwa kuidhinisha fedha tshs bilion 372 kwa ajili ya ujenzi wa reli ya SGR kipande cha kuanzia Mwanza Hadi Isaka chenye urefu wa kilometa 341

Rais Samia alimueleza Mkurugenzi wa TRC kuwa Serikali itahakikisha kuwa Mradi wa SGR utakaounganisha Bandari ya Dar es salaam na Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibi na Nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na DRC unakamilika kwa wakati
Nikimkumbuka huyu mwamba Kadogosa,nakumbuka siku JPM alipokuwa anafanya kampeni kanda ya ziwa,alimtumia huyu jamaa kuwarubuni wasukuma wampe kura kwa vile mtoto wao Kadogosa ndiye anayejenga reli ya kwenda Kanda ya ziwa,
Jiwe alikuwa taperi sana,
 
Rais Samia alimueleza Mkurugenzi wa TRC kuwa Serikali itahakikisha kuwa Mradi wa SGR utakaounganisha Bandari ya Dar es salaam na Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibi na Nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na DRC unakamilika kwa wakat
Hili likiwezekana katika miaka minne hii litaleta heshima kubwa kwa mama.

Lakini hiki kipande cha Dar hadi Morogoro kinaweka sura mbaya. Ujenzi ukiendelea hivi, hata miaka kumi ijayo hiyo reli itakuwa haijafika popote.
 
Nikimkumbuka huyu mwamba Kadogosa,nakumbuka siku JPM alipokuwa anafanya kampeni kanda ya ziwa,alimtumia huyu jamaa kuwarubuni wasukuma wampe kura kwa vile mtoto wao Kadogosa ndiye anayejenga reli ya kwenda Kanda ya ziwa,
Jiwe alikuwa taperi sana,
Kuna jamaa la Hai tapeli la kisiasa jizi na limayalaya nasikia linajinyea kitandani limboye linajinyea kitandani
 
We

Wewe unaishi dunia gani? Umeambiwa mkurugenzi kashukuru kwa kiasi alichotoa Mheshimiwa Rais ili kujenga SGR kutoka Mwanza-Isaka wewe unaanza kufikiria negatively, kwa nini watu mnatawaliwa na hisia hasi kipindi hiki. Stop it. It is really embarrassing.
Wewe unataka tufanane mawazo ?Dunia haijaumbwa hivyo
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzay Mheshimiwa Samia Suluhu leo Mei 22, 2021 amekutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania ( TRC) Masanja Kadogosa

Katika mazungumzo hayo muhimu yaliyofanyika Ikulu pamoja na mambo mengine walijadili maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa ( SGR)

Mkurugenzi Mkuu wa TRC alimshukuru sana Mama Samia kwa kuidhinisha fedha tshs bilion 372 kwa ajili ya ujenzi wa reli ya SGR kipande cha kuanzia Mwanza Hadi Isaka chenye urefu wa kilometa 341

Rais Samia alimueleza Mkurugenzi wa TRC kuwa Serikali itahakikisha kuwa Mradi wa SGR utakaounganisha Bandari ya Dar es salaam na Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibi na Nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na DRC unakamilika kwa wakati

Kipande hiki kitasafirisha mizigo toka Mombasa nchini Kenya mpaka Isaka Tanzania.

Isaka Tanzania kuelekwa Rwanda.
15 May 2021 : The 260km Malaba-Kampala line rehabilitation is expected to end in less than 12 months.
The signing of the deal seems to further derail Kampala’s plan to have an SGR line from the border to Kampala and possibly to Rwanda, even as it seeks to have faster evacuation of cargo from Mombasa.
In January this year, Kenya began the $35 million rehabilitation of the 460km Longonot to Malaba line, which it expects to be ready by the end of the year. Upon completion of repairs on the old line, it will then link to the SGR at Naivasha. This will enable seamless transport of cargo containers from Mombasa to Kisumu and Malaba border into Uganda.
Already, Kenya Railways is constructing a link line between the Naivasha ICD and the existing Longonot railway station, to ensure this interchange is successfully executed.
The 24.3km link will ensure cargo from the SGR moves to the MGR line at the interchange in Naivasha for onward movement to Kampala.
In May last year, President Museveni argued that increasingly cargo should be shifted from road to the railway, because of its low cost and the high maintenance costs of road network
 
Hii reli pamoja na kurahisha usafiri hasa kwa majiji ya Dar es salaam,Dodoma na Mwanza pia kitakuwa chanzo mojawapo kikubwa sana cha ajira kwa watanzania ambapo tumeanza kunufaika tangu ujenzi ulipoanza na kama ulivyosikia hayo mabilioni yaliyotengwa ambapo pesa za mradi wanufaika Wakubwa ni watanzania wanaofanya kazi katika ujenzi wa Reli hiyo,awamu ya sita ni awamu ya vitendo na amani kubwa kwa watanzania wapenda mabadiliko,hongera kwa serikali yetu chini ya uongozi wa MH. Raisi wetu mama Samia Suluhu HASANI.
 
Ingekuwa jambo la Msingi kupeleka SGR kigoma kuliko mwanza
Kipande cha kigoma ni cha kimkakati kuliko mwanza
Si vizuri kufanya mambo kama mwendazake kwamba kila kitu lazima kiende Mwanza hata kama hakina tija
 
wewe kaburu kakosea nini? au kwaa sababu tunimsukuma? nyie wajinga endelezeni tu huo ukaburu ipo siku mtaelewa maana yake.
Wanautaka ukabila muda si mrefu wataupata na msije kulalamika kuwa wasukuma wanajipendelea. Kabila kubwa ni wasukuma sijui watakuja kuwadhibitije endeleeni
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzay Mheshimiwa Samia Suluhu leo Mei 22, 2021 amekutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania ( TRC) Masanja Kadogosa

Katika mazungumzo hayo muhimu yaliyofanyika Ikulu pamoja na mambo mengine walijadili maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa ( SGR)

Mkurugenzi Mkuu wa TRC alimshukuru sana Mama Samia kwa kuidhinisha fedha tshs bilion 372 kwa ajili ya ujenzi wa reli ya SGR kipande cha kuanzia Mwanza Hadi Isaka chenye urefu wa kilometa 341

Rais Samia alimueleza Mkurugenzi wa TRC kuwa Serikali itahakikisha kuwa Mradi wa SGR utakaounganisha Bandari ya Dar es salaam na Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibi na Nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na DRC unakamilika kwa wakati

Mbona hakuna kipande cha reli kinacho pitia Mkoa wa Kagera kwenda Uganda via Kikagati!! Mkoa wa Kagera utasahulika mpaka lini? Hakuna kituo cha mabasi chenye adhi, soko lenyewe tangu enzi za ukoloni wa Kijerumani, Mkoa wa Kagera una wakazi wanaokaribia million tano lakini hakuna Hospitali ya rufaa, Govt Hospital tangu enzi za Kijerumani, barabara za mjini vumbi tupu mkuu wa mkoa na wasaidizi wake wanapita hapo hapo kila siku wanaona sawa tu - wakati Mikoa mingi hapa Yanzania wamejenga Regional Blocks za kupendeza lakini Mkoa wa Kagera una majengo yaliyo achwa na wakoloni including Mahakama ebu jaribu kulinganisha mahakama ya Bukoba mjini na mahakama ya Kigoma - kwani wakazi wa mkoa wa Kigoma ni wangapi? Binafsi namuomba Madam President ajaribu kuangalia upya viongozi anao wapeleka Mkoa wa Kagera wengi wao for some reasons hawana nia dhabiti ya kuendeleza Mkoa huo.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzay Mheshimiwa Samia Suluhu leo Mei 22, 2021 amekutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania ( TRC) Masanja Kadogosa

Katika mazungumzo hayo muhimu yaliyofanyika Ikulu pamoja na mambo mengine walijadili maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa ( SGR)

Mkurugenzi Mkuu wa TRC alimshukuru sana Mama Samia kwa kuidhinisha fedha tshs bilion 372 kwa ajili ya ujenzi wa reli ya SGR kipande cha kuanzia Mwanza Hadi Isaka chenye urefu wa kilometa 341

Rais Samia alimueleza Mkurugenzi wa TRC kuwa Serikali itahakikisha kuwa Mradi wa SGR utakaounganisha Bandari ya Dar es salaam na Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibi na Nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na DRC unakamilika kwa wakati
Lini ataongea na TAZARA?
 
Back
Top Bottom