Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,383
- 11,197
Kipande cha Mwanza - Isaka kinajengwa na mchina.
Kama hela ipo ya kukikamilisha hicho kipande, si ajabu kitakuwa tayari kabla ya hiki cha Dar - Morogoro, kwani mchina hacheleweshi kazi.
jamani haya madude yanaendeshwa na umeme, tunajitahidi kuupata umeme toka Nyerere Dam RufijiKipande hiki kitasafirisha mizigo toka Mombasa nchini Kenya mpaka Isaka Tanzania.
Isaka Tanzania kuelekwa Rwanda.
vituo vya kutunzia umeme vinajengwa kwenye station za SGR sasa tukachukue umeme ambao hata kwenye migodi hautoshi, bado mizigo tukapitishia Mombasa, ikaingie Ziwa Nyanza ippakuliwe tena mata mbili hapo Isaka.
Namuomba Makamu wa Rais Bw Mpango aanze na Tabora Kigoma ni karibu kabisa na Makutupora na Burundi na DRC wanategemea Kigoma kuliko hao Rwanda wanaotaka kwa lazima Isaka
tutapoteza pesa nyingi mradi usikamilike hata wa Dar Makutupora