Rwabugonzi
Member
- Sep 27, 2020
- 70
- 125
WeLabda anataka kusitisha miradi
Wewe unaishi dunia gani? Umeambiwa mkurugenzi kashukuru kwa kiasi alichotoa Mheshimiwa Rais ili kujenga SGR kutoka Mwanza-Isaka wewe unaanza kufikiria negatively, kwa nini watu mnatawaliwa na hisia hasi kipindi hiki. Stop it. It is really embarrassing.Labda anataka kusitisha miradi
Labda anataka kusitisha miradi
Nikimkumbuka huyu mwamba Kadogosa,nakumbuka siku JPM alipokuwa anafanya kampeni kanda ya ziwa,alimtumia huyu jamaa kuwarubuni wasukuma wampe kura kwa vile mtoto wao Kadogosa ndiye anayejenga reli ya kwenda Kanda ya ziwa,Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzay Mheshimiwa Samia Suluhu leo Mei 22, 2021 amekutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania ( TRC) Masanja Kadogosa
Katika mazungumzo hayo muhimu yaliyofanyika Ikulu pamoja na mambo mengine walijadili maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa ( SGR)
Mkurugenzi Mkuu wa TRC alimshukuru sana Mama Samia kwa kuidhinisha fedha tshs bilion 372 kwa ajili ya ujenzi wa reli ya SGR kipande cha kuanzia Mwanza Hadi Isaka chenye urefu wa kilometa 341
Rais Samia alimueleza Mkurugenzi wa TRC kuwa Serikali itahakikisha kuwa Mradi wa SGR utakaounganisha Bandari ya Dar es salaam na Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibi na Nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na DRC unakamilika kwa wakati
wewe kaburu kakosea nini? au kwa sababu tu nimsukuma? nyie wajinga endelezeni tu huo ukaburu ipo siku mtaelewa maana yake.Kadogosa aondolewe aludi kwao Bariadi,aliwekwa kimasilahi na mwendazake.
Alijua kuna wazandiki wengi sana nchi hii na asingeweka zawadi mwisho wa kitabu msinge fika ukurasa wa mwisho.
Hili likiwezekana katika miaka minne hii litaleta heshima kubwa kwa mama.Rais Samia alimueleza Mkurugenzi wa TRC kuwa Serikali itahakikisha kuwa Mradi wa SGR utakaounganisha Bandari ya Dar es salaam na Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibi na Nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na DRC unakamilika kwa wakat
Kazi inaendelea..
Kuna jamaa la Hai tapeli la kisiasa jizi na limayalaya nasikia linajinyea kitandani limboye linajinyea kitandaniNikimkumbuka huyu mwamba Kadogosa,nakumbuka siku JPM alipokuwa anafanya kampeni kanda ya ziwa,alimtumia huyu jamaa kuwarubuni wasukuma wampe kura kwa vile mtoto wao Kadogosa ndiye anayejenga reli ya kwenda Kanda ya ziwa,
Jiwe alikuwa taperi sana,
Wewe unataka tufanane mawazo ?Dunia haijaumbwa hivyoWe
Wewe unaishi dunia gani? Umeambiwa mkurugenzi kashukuru kwa kiasi alichotoa Mheshimiwa Rais ili kujenga SGR kutoka Mwanza-Isaka wewe unaanza kufikiria negatively, kwa nini watu mnatawaliwa na hisia hasi kipindi hiki. Stop it. It is really embarrassing.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzay Mheshimiwa Samia Suluhu leo Mei 22, 2021 amekutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania ( TRC) Masanja Kadogosa
Katika mazungumzo hayo muhimu yaliyofanyika Ikulu pamoja na mambo mengine walijadili maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa ( SGR)
Mkurugenzi Mkuu wa TRC alimshukuru sana Mama Samia kwa kuidhinisha fedha tshs bilion 372 kwa ajili ya ujenzi wa reli ya SGR kipande cha kuanzia Mwanza Hadi Isaka chenye urefu wa kilometa 341
Rais Samia alimueleza Mkurugenzi wa TRC kuwa Serikali itahakikisha kuwa Mradi wa SGR utakaounganisha Bandari ya Dar es salaam na Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibi na Nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na DRC unakamilika kwa wakati
15 May 2021 : The 260km Malaba-Kampala line rehabilitation is expected to end in less than 12 months.
The signing of the deal seems to further derail Kampala’s plan to have an SGR line from the border to Kampala and possibly to Rwanda, even as it seeks to have faster evacuation of cargo from Mombasa.
In January this year, Kenya began the $35 million rehabilitation of the 460km Longonot to Malaba line, which it expects to be ready by the end of the year. Upon completion of repairs on the old line, it will then link to the SGR at Naivasha. This will enable seamless transport of cargo containers from Mombasa to Kisumu and Malaba border into Uganda.
Already, Kenya Railways is constructing a link line between the Naivasha ICD and the existing Longonot railway station, to ensure this interchange is successfully executed.
The 24.3km link will ensure cargo from the SGR moves to the MGR line at the interchange in Naivasha for onward movement to Kampala.
In May last year, President Museveni argued that increasingly cargo should be shifted from road to the railway, because of its low cost and the high maintenance costs of road network
Leo vipi anafaa Samia,kwavile anajenga njia ya nyumbani??
Labda wanataka kuichepusha ipitie Singidakwa nn mwendazake aliamua kitengeneze cha isaka mwanza na kuacha makutopora tabora na tabora isaka
Kipande cha Mwanza - Isaka kinajengwa na mchina.Alijua kuna wazandiki wengi sana nchi hii na asingeweka zawadi mwisho wa kitabu msinge fika ukurasa wa mwisho.
Hivi humo kichwani zimo za kutosha?Kuna jamaa la Hai tapeli la kisiasa jizi na limayalaya nasikia linajinyea kitandani limboye linajinyea kitandani
UnLabda anataka kusitisha miradi
Wanautaka ukabila muda si mrefu wataupata na msije kulalamika kuwa wasukuma wanajipendelea. Kabila kubwa ni wasukuma sijui watakuja kuwadhibitije endeleeniwewe kaburu kakosea nini? au kwaa sababu tunimsukuma? nyie wajinga endelezeni tu huo ukaburu ipo siku mtaelewa maana yake.
Wewe ndio huna akiliHauna akili...asitishe ili iweje miradi yenye manufaa kwa taifa? Atakuwa Rais au ana hujumu nchi?
Un
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzay Mheshimiwa Samia Suluhu leo Mei 22, 2021 amekutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania ( TRC) Masanja Kadogosa
Katika mazungumzo hayo muhimu yaliyofanyika Ikulu pamoja na mambo mengine walijadili maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa ( SGR)
Mkurugenzi Mkuu wa TRC alimshukuru sana Mama Samia kwa kuidhinisha fedha tshs bilion 372 kwa ajili ya ujenzi wa reli ya SGR kipande cha kuanzia Mwanza Hadi Isaka chenye urefu wa kilometa 341
Rais Samia alimueleza Mkurugenzi wa TRC kuwa Serikali itahakikisha kuwa Mradi wa SGR utakaounganisha Bandari ya Dar es salaam na Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibi na Nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na DRC unakamilika kwa wakati
Lini ataongea na TAZARA?Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzay Mheshimiwa Samia Suluhu leo Mei 22, 2021 amekutana na kufanya Mazungumzo na Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Reli Tanzania ( TRC) Masanja Kadogosa
Katika mazungumzo hayo muhimu yaliyofanyika Ikulu pamoja na mambo mengine walijadili maendeleo ya Mradi wa Ujenzi wa Reli ya Kisasa ( SGR)
Mkurugenzi Mkuu wa TRC alimshukuru sana Mama Samia kwa kuidhinisha fedha tshs bilion 372 kwa ajili ya ujenzi wa reli ya SGR kipande cha kuanzia Mwanza Hadi Isaka chenye urefu wa kilometa 341
Rais Samia alimueleza Mkurugenzi wa TRC kuwa Serikali itahakikisha kuwa Mradi wa SGR utakaounganisha Bandari ya Dar es salaam na Kanda ya Ziwa, Kanda ya Magharibi na Nchi za Uganda, Rwanda, Burundi na DRC unakamilika kwa wakati