Rais Samia afanya uteuzi, Kafulila awa Kamishna wa Ubia Kati ya Sekta ya Umma na Sekta Binafsi (PPP)

Amesifia sana. Wacha akumbukwe. Ila hana uwezo wa ufanisi katika nafasi hiyo
Hamna kitu hapo, anahudhuria vikao vinne kwa mwaka na hana mshahara analipwa posho ya vikao na usafiri tu,

Kiujumla ni kama kapumzishwa mazima 🤣🤣🤣🤣
 
Kafulila kajitahidi kusifia sana
 
Kumbe Samia na Magufuli hawana tofauti sana, uchawa wa Kafulila imemrudisha kazini. Njia pekee ya kupata uteuzi ni kusifia mamlaka ya uteuzi hata inapoboronga
Uchawa gan ndugu.kwan unahis hana utaalamu huo? Na wewe unao keyboard waroir
 

ally hapi hana mambo ya kipuuzi hana uchawa yupo kwenye kilimo
 
Kafulila mtegoni ajiangalie asifikiri escrow imekwishwa watu wanamlia timing namshauri tu awe makini hasa hii post yake ya sasa
 
Ujio wa Kafulila fedha,

Ni Ishara pia siku za Mwigu zinahesabika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…