Ahahaha,walikuwa wanapotezwa na timu ya JK ili kumfitinisha tu,yule Machinga wa vingunguti aliyefariki juzi kauliwa awamu ya Magu si ndio
Nani alimzuia Jiwe kuwakamata hao wahalifu ili asiendelee kuchafuka?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ahahaha,walikuwa wanapotezwa na timu ya JK ili kumfitinisha tu,yule Machinga wa vingunguti aliyefariki juzi kauliwa awamu ya Magu si ndio
Anatenda haki kawaachia kina mdude, kawarudishia CDM hela za fine, huo ushetani wake mwingine ni upi?Samia anapenda haki zipi ?
Ebu acha mara moja matumizi ya maneno mpenda haki mahali palipojaa dhuruma na ushetwani
Yani ubaguzi wa jiwe una msingizia mama kweli? Jiwe aliyejenga airport kijijini kwao, maofisi makubwa huko chato sijui hospital ya kanda Crdb yet unasema Samia anapendelea mnyonge, mnyongeni lakini haki yake mpeni.Baada ya kuruka ruka , hatimaye umeingia kwenye nyavu.
Ulikuwa unasubiri nini ku admit kwamba nchi hii nafasi zinatolewa kwa upendeleo na sio kwa vigezo. Na samia ni captain wa the same boat, hence we expect nothin new born from her.
[emoji23][emoji23][emoji23]Upo sahihi
Huyu jamaa hakuwa na kashifa ila alipotaka kuongeza Bei kidogo,Jiwe akachukiaHongera Mhandisi Mramba hakika Mwenyezi Mungu Mkubwa
Mama yenu ndio kwanza ana miezi kadhaa kwenye ofisi lakini kila kukicha anajaza waislamu wenzake. Akimaliza miaka miwili nchi itatangazwa rasmi kuwa ya kislamuYani ubaguzi wa jiwe una msingizia mama kweli? Jiwe aliyejenga airport kijijini kwao, maofisi makubwa huko chato sijui hospital ya kanda Crdb yet unasema Samia anapendelea mnyonge, mnyongeni lakini haki yake mpeni.
Hafu why uone upendeleo Leo wakati kinara anajulikana?
Kumhukumu Mbowe kwamba ni Gaidi wakati yeye ndiye gaidiAnatenda haki kawaachia kina mdude, kawarudishia CDM hela za fine, huo ushetani wake mwingine ni upi?
Mbowe alizingua mwenyewe najua hyo ni kesi hewa tu ya kumtoa kwenye lengo la katiba mbowe ataachiwa huru buheri wa afyaKumhukumu Mbowe kwamba ni Gaidi wakati yeye ndiye gaidi
Si kweli Mimi sio muislamu ila tukiweka ratio sawa wakristo Wana nafasi nyingi na kubwa kuliko hao waislamuMama yenu ndio kwanza ana miezi kadhaa kwenye ofisi lakini kila kukicha anajaza waislamu wenzake. Akimaliza miaka miwili nchi itatangazwa rasmi kuwa ya kislamu
Malizia kwamba Mbowe atakuwa Rais baada ya mapuuza wa Ccm kuishiwa pumziMbowe alizingua mwenyewe najua hyo ni kesi hewa tu ya kumtoa kwenye lengo la katiba mbowe ataachiwa huru buheri wa afya
Lete data kama hutojali.Si kweli Mimi sio muislamu ila tukiweka ratio sawa wakristo Wana nafasi nyingi na kubwa kuliko hao waislamu
Si kweli bana hyo kituLete data kama hutojali.
Tafiti zinaonesha maeneo yenye wakurugenzi wengi waislamu basi hata watendaji wa chini yake wengi ni waislam wenzake unlike wakurugenzi wakristo wakatoliki.
Mbona hyo ni ndotoMalizia kwamba Mbowe atakuwa Rais baada ya mapuuza wa Ccm kuishiwa pumzi
Be positive mpenziMbona hyo ni ndoto
Bado watasema anachagua wanawake Sana na Mramba ni mzanzibariMuhimu ni umahiri wao, tuwapime kwa ufanisi mambo udini hayana msingi.
Dah yamekuwa mambo ya mpenzi?Be positive mpenzi
Tuseme Rafiki basiDah yamekuwa mambo ya mpenzi?
BalaaIslamic State
Kipindi cha Kikwete. Tafuta Historia ya Shein!!Niambie ni lini Tanzania iliwahi kuwa na makamu wa rais ambaye ni dini moja na rais aliyepo madarakani?