Wachaga hawana habari za kusubiri teuzi,kusubiri teuzi ni uvivu huo
Watu wanapiga maisha kwenye angle zingine na wana make tu ππ
Wasukuma nao wamekua wahanga kama wachaga tu.huyu mama anawachomoa mmoja mmoja tu
Hapana bana hatutaki ukali tunataka kubembelezwa shekhe π hili nalo mkalitazame ,then tunaagiza gahawa na halua πLakini si bora nyerere licha ya ukali hakuacha mabepari wazidi kunemeka kuliko masikini,,
Jpm alifanya kazi nzuri sana kuhakikisha wizi nchini unapotea,,
Uongozi unataka mtu mkali, mambo ya kubembelezana hayatakiwi
alaf Sasa hao waliokua huko juu wote ndugu moja matajiri wenye conection zao tangu na tangu awe mkirsto au muislam na wanajuana,wewe na Mimi huku chini hatuna chetu..sio vitu vya kukaza vichwa kwa wenye tafakuri.Ni sawa nakubali ni zamu ya ndugu zetu katika imaan,tutakuwa tunakutana masjid kujadil progress za wizara zetuπ π π€
Sana yaani, ilikuwa ni suala la muda tu.Mashimba amefanyiwa fitina za muda mrefu na naibu wake
Dah
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Wachaga wamejaa sana kwenye hii serikali katika level za exparteHahaha Wasukuma kama Wachaga tu sijaona Mchaga hata mmoja popote, angalau Wasukuma bado bado masalia yapo, ila Wachaga duh labda tusubiri Kimei kwa maana ana bidii sana huenda next time watamkumbuka, β¦
Ukali unasaidia sana, bila ukali unadhani nyerere angeweza kutaifisha yale majumba ya mabepari mwaka 1967?,Hapana bana hatutaki ukali tunataka kubembelezwa shekhe π hili nalo mkalitazame ,then tunaagiza gahawa na halua π
Pale Ardhi alikuwa anamfanyia fitna Ms Mabula ,sema Mabula itakuwa ni mtu wa maombi sana.Yule mkuu wa mkoa wa Tanga juzi alijitia kuwasimamisha kazi wenzie,nae leo kaliwa kichwa.
Ridhiwani kaenda wizara ya kusoma newspapers tu.
dah sio poaSio wote watapata bahati ya kulishwa keki ya Taifa, kwakuwa ni ndogo sana. Wengine wataila kwenye pilau na wengine watakosa sana.
Wanaopata kulishwa keki hiyo ni wale ambao Baba zao au Mama zao walipata kulishwa pia.
Mie sijakaza kichwa mawazo yako tuπ narudia zamu yetu wavaa kobazπalaf Sasa hao waliokua huko juu wote ndugu moja matajiri wenye conection zao tangu na tangu awe mkirsto au muislam na wanajuana,wewe na Mimi huku chini hatuna chetu..sio vitu vya kukaza vichwa kwa wenye tafakuri.
Wachaga wamejaa sana kwenye hii serikali katika level za exparte
Wachaga wamejaa sana kwenye hii serikali katika level za exparte
Dogo maneno mengi halafu mweupe kichwani,mabula ni jembe kweli kweli katika utendaji,Hana longolongoPale Ardhi alikuwa anamfanyia fitna Ms Mabula ,sema Mabula itakuwa ni mtu wa maombi sana.
Haamini au?
Muambie ndo ashakua hvyoo, apokeee pongezii bhanaa.
I agree with you.Mie sijakaza kichwa mawazo yako tuπ narudia zamu yetu wavaa kobazπ
Pale Ardhi alikuwa anamfanyia fitna Ms Mabula ,sema Mabula itakuwa ni mtu wa maombi sana.
Ulege ni wa wapi?