Hemedy Jr Junior
JF-Expert Member
- Feb 17, 2023
- 915
- 1,082
Acha kukaza fuvu ndugu, hii wizara imekuwa na mambo mengi .. kuwa mama wa nyumbani unajua kupika sio kwamba unaeza fungua hostel ukaanza pika chakula cha watu mia. Ngoja tusubiri utendaji kazi wakeKama kasoma shida ipo wapi tatizo watu mkiwafahamu walikotokea wanapopata mafanikio mnaumia sana mnaona bora apate usiemjua ili uwe na Amani...