MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Una wakili? Tukutane mahakamaniMtoa taarifa naye imemuhusu leo. Hatimaye muweka sumu wa CCM kalamba uteuzi huko kisarawe. Bado mme wa ephen_ kula uteuzi. Wanawake huwa wana angalia mbali sana na kusoma nyota za wanaume kuwa watakuwa nani mbeleni ndio maana dada yetu amemmomalia Lucas.
Zuhura hajakulia kwenye urasimu plus plus, hayo mambo yanahitaji watu waliozamia kwemye urasimu. At least TBC angeweza kuogelea nayoUmeandika nn sasa?? Mtu kapanda cheo unaleta story ambazo hazina kichwa wala miguu.
ephen_ hili lisemwalo lina ukwel? Et unalenga mbali kwa lucas?Mtoa taarifa naye imemuhusu leo. Hatimaye muweka sumu wa CCM kalamba uteuzi huko kisarawe. Bado mme wa ephen_ kula uteuzi. Wanawake huwa wana angalia mbali sana na kusoma nyota za wanaume kuwa watakuwa nani mbeleni ndio maana dada yetu amemmomalia Lucas.
Kwani baba zuri alishatoka kisarawe 🤔, nchi ipo bize sana dakika 5 tu ukizubaa huna habari.
Zuhura cheo kimepandaNadhani Zuhura na Magoti vyeo vimeshuka.
Ukitolewa nini kinafuata? Unaendelea kuimba pambio ukisubiri PDF lingine au inakuaje?Siku nyingi sana...
Si mzanzibari.Huyu yunus si mzanzibari??
Lucas MwashambwaMtoa sumu kapewa uDc kuna mtu ajiandae huko.
Zuhura kawekwa pembeni maana kashindwa kufanya "damage control" baada ya taarifa ya VoA kuonyesha daktari wa mikopo safari hii katoa bahari na madini..
Mama anaupiga mwingi!
Cc: Lucas Mbwa wa shamba.
yuko wapi? Au alipigwa chn mazima?Siku nyingi sana...
Pongezi kwa Teuzi za sasa zinaanza kuacha makada na kuchukua watendaji.Rais Samia afanya uteuzi na kufanya mabadiliko ya watendaji wa Serikali.
View attachment 3010440View attachment 3010441View attachment 3010442