Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
VoA ni Mabeberu hawatupendi.Mtoa sumu kapewa uDc kuna mtu ajiandae huko.
Zuhura kawekwa pembeni maana kashindwa kufanya "damage control" baada ya taarifa ya VoA kuonyesha daktari wa mikopo safari hii katoa bahari na madini..
Mama anaupiga mwingi!
Cc: Lucas Mbwa wa shamba.
amepanda sana cheo naibu katibu mkuu sio mchezo huyo mwakani anakuwa waziri wa habariZuhura alifaa TBC, samaki yake maji.
Ila pia Zuhura alikosa media strategy katika ziara ya Korea, sasa sijui nafasi za wanahabari wa Tanzania ambao wangeripoti kila kitu zilichukuliwa na wasanii, anyway labda kaolewa,.mzee anaona kuna missing in action nyumbani
Jamaa ana gundu na teuzi kila mkeka ukichanika holaa. Yani hata mjumbe tu wa board ya maziwa wanampotezea jamaa.Inamfaa sana Pascal Mayalla, sijui kwa nini SSH hamuoni brother wangu huyu.
Ila hiyo nafasi angeimudu sana Pascal Mayalla, ana uzoefu wa kutosha na ni kada wa kitambo sana wa chama tawala.Jamaa ana gundu na teuzi kila mkeka ukichanika holaa. Yani hata mjumbe tu wa board ya maziwa wanampotezea jamaa.
🤣 🤣 🤣Leo si alikua anaongea na waandishi wa habari Ikulu, kumbe kuna watu walikua wabamcheki tu.
🤣 🤣 🤣Mtoa sumu kapewa uDc kuna mtu ajiandae huko.
Zuhura kawekwa pembeni maana kashindwa kufanya "damage control" baada ya taarifa ya VoA kuonyesha daktari wa mikopo safari hii katoa bahari na madini..
Mama anaupiga mwingi!
Cc: Lucas Mbwa wa shamba.
🤣 🤣 🤣Jamaa ana gundu na teuzi kila mkeka ukichanika holaa. Yani hata mjumbe tu wa board ya maziwa wanampotezea jamaa.
🤣 🤣 🤣Zuhura alifaa TBC, samaki yake maji.
Ila pia Zuhura alikosa media strategy katika ziara ya Korea, sasa sijui nafasi za wanahabari wa Tanzania ambao wangeripoti kila kitu zilichukuliwa na wasanii, anyway labda kaolewa,.mzee anaona kuna missing in action nyumbani
Samia anajifanya mbabe sana hiyo wizara kampa Cheo Zuhura Yunusi MzanIbari ni wizara ya Muunganono katikati mambo ya muungano tuliyokubaliana kwenye katiba? au anaketa chokochoko makusudi watanganyika walipuke litokee kundi lingine la G55 bungeni litake livunje muungano?Bi Zuhura kakwama wapi Ikulu....
Kutoka ukurugenzi Ikulu hadi unaibu katibu mkuu ni cheo kushuka. Tena sana.Zuhura cheo kimepanda
Acha kujidhalilisha hujui kituKutoka ukurugenzi Ikulu hadi unaibu katibu mkuu ni cheo kushuka. Tena sana.
Siyo kwa mkurugenzi Ikulu. Mkurugenzi Ikulu ana power sawa au pengine zaidi ya mawaziri.Acha kujidhalilisha hujui kitu
1.Waziri
2.Naibu waziri
3.Katibu mkuu
4.Naibu katibu mkuu
5.Mkurugenzi(Kama alivyokuwa zuhura)
6.Naibu mkurugenzi
Samia kapania kuvunja muungano sio muumini wa muungano huyo kabisaHuyu yunus si mzanzibari??
Mkuu taratibu, hasira na chuki havisaidii. Utajitafutia matatizo bure!Samia anajifanya mbabe sana hiyo wizara kampa Cheo Zuhura Yunusi MzanIbari ni wizara ya Muunganono katikati mambo ya muungano tuliyokubaliana kwenye katiba? au anaketa chokochoko makusudi watanganyika walipuke litokee kundi lingine la G55 bungeni litake livunje muungano?
Samia kapania Kuvunja muungano TISS na vyombo vya Ulinzi na usalama kazi kwenu kumdhibiti Kwa kuangalia katiba mumeapa kulinda katiba mudhibitini huyo mkiuka katiba bila woga Wala Nini kwanza Hana ubavu wa kuwafanyia chochote mkimkkomalia
Mkomalieni
Huyu mama Yuko serious kuvunja muungano siasa Kali muislamu huyo na nyie muwe serious hasa mkomae hasa mumkomalie anadhani kuwa Raisi ndio aweza fanya chochote kuvunja muungano
Kama mlivyomshughulikia Aboud Jumbe na yeye mashughulikieni
Mjinga huyo Tanzania ni zaidi ya yeye wake Up TISS na jeshi
Tofautisha katibu ikulu na mkurugenzi kurugenzi ya mawasiliano ikulu.Siyo kwa mkurugenzi Ikulu. Mkurugenzi Ikulu ana power sawa au pengine zaidi ya mawaziri.
Kwa nijuavyo ikulu nj taasisi inayojitegemea na katibu mkuu ni ngazi ya juu kabisa katika utumishi wa umaKutoka ukurugenzi Ikulu hadi unaibu katibu mkuu ni cheo kushuka. Tena sana.