Rais Samia afanya uteuzi na mabadiliko ya watendaji wa Serikali. Zuhura Yunus aondolewa Ukurugenzi wa Mawasiliano Ikulu

Matatizo shenzi wewe hiyo wizara ya muungano ? nani atishia nyau nani labda bwege wewe
Mkuu 'Shotocan', nimekusoma toka huko juu.
Nilisha sema humu mara kadhaa, kwamba huyu mama na kundi lake kuna kitu kinachowapa kiburi. Sijui ni kitu gani hasa; maanake hakuna jambo lolote wanalofanya likawastua kwamba pengine litaleta mtafaruku. Wanajiamini sana.

Lakini pia kumbuka, hiyo katiba unayokumbushia, ni huyo huyo alishawahi tamka hadharani kwamba ni vikaratasi tu hivyo.
Matumaini yangu ni kwamba siku moja tutajua ujasiri wao huu unatokana na nini hasa..
 
Mazuzu yameshasahau kuwa sehemu ya bahari yao itatawaliwa na korea kusini kwa miaka 30 ijayo. Kutawala wananchi wajinga ni rahisi sana. Viva Samia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…