Lusungo
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 28,259
- 41,416
Ni yule mwenye kibiongo?Itozya Sasa ni muda wa kunikumbuka classmate ,sio kila ukiwa Mbeya unavunga uko bize ,Sasa hivi nitapanda gari mpaka kisarawe nije kukumbusha wema wangu kwako .
Anyway hongera sana Magoti ,nimefurahi kusikia hivyo