Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 15,416
- 22,334
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wapo wakina nasari ChademaHivi ndio vitu vya kijinga sana vinafanyika katika nchi yetu - viongozi wetu kutotambua mipaka ya kuwa mkereketwa wa chama cha siasa na kiongozi mtendaji wa serikali, halafu mnaenda kuleta migongano pale watendaji wa serikali wanapofanya majukumu yao kichama
Ndio, afisa tarafa, katibu tawala wilaya au mkoa, mkuu wa wilaya au mkoa wote Hawa ni serikali kuu wapo kuisimamia serikali za mitaaHadi afisa tarafa !
Ambao walipewa nafasi za serikali wakati vyama vyao vikiwa ndio chama tawala, sivyo?Wapo wakina nasari Chadema
Marehemu mama Anna toka ACT
Marehemu mrema toka TLP
Na wengine kibao toka ndani na nje ya nchi
Mantiki ya swali lako ni nini mkuu? Kuna sehemu katiba imekiukwa au ni utashi wako?Ambao walipewa nafasi za serikali wakati vyama vyao vikiwa ndio chama tawala, sivyo?
Sasa Lucas Mwashambwa kaandika kaumia sana TAL kuwa kiongozi CDM unategemea kwa uandishi wa namna hii CCM itampa cheo cha maana kweli?Kimavi cha Lucas Mwashambwa siyo cha dunia hii yaani debe lote hili analopiga humu wana.kaushia tu.
Huyo tayari ana kaziKimavi cha Lucas Mwashambwa siyo cha dunia hii yaani debe lote hili analopiga humu wana.kaushia tu.
Umebahatika kuliona jina lako Mh. Lucas?Nakuja kusoma Majina.
Huwezi kuelewa, na wala tusipotezeane muda kwa sababu tunaliangalia hili jambo kutoka sehemu mbili tofautiMantiki ya swali lako ni nini mkuu? Kuna sehemu katiba imekiukwa au ni utashi wako?
Anajiharibia mwenyewe kwa ujinga anaoandikaSasa Lucas Mwashambwa kaandika kaumia sana TAL kuwa kiongozi CDM unategemea kwa uandishi wa namna hii CCM itampa cheo cha maana kweli?
Kijana anapiga domo sanaHatimaye Lucas Mwashambwa nae kakumbukwa.☺️
Nakuja kusoma Majina.