Rais Samia afanya Uteuzi, Uhamisho na Mabadiliko ya Viongozi Mbalimbali Januari 24, 2025

Inamaana waliogawa uraia wa Tanzania kama njugu wanaendelea kutesa kitaa?
 
Angalau safari hii amepunguza kuteua wanasiasa na kuteua watumishi waandamizi.
 
Biashara asubuhi jioni mahesabu 🀣🀣🀣🀣
 
Naona jamaa wa usalama wawili wametolewa kule Kilolo baada ya kumaliza kazi yao na sasa tunaletewa Dodoma.
 
Itafika wakati mpaka mkuu wa shule ya msingi atateuliwa na rais πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mkuu, Sijui huelewi nini.
Hizo recycle and reuse ni kwamba wengi ndani ccm walambe asali. Hayo mambo ya majukumu sijui utendaji wala migongano unayajua wewe. Mtu wa ccm anaweza teuliwa, kuhamishwa, kustaafishwa ama kutenguliwa atakavyo mwenye kiti!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…