Rais Samia afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wawili, leo Desemba 14, 2022

Rais Samia afanya uteuzi wa Makatibu Wakuu wawili, leo Desemba 14, 2022

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:

Amemteua Dkt. Hashil Twaib Abdallah kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi huo Dkt. Abdallah alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara (Uwekezaji).

Amemteua Bw. Kaspar Kaspar Mmuya kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi. Kabla ya uteuzi huo Bw. Mmuya alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu).

Uteuzi huu ni kuanzia tarehe 09 Desemba, 2022.

View attachment 2446104
Wakachape kazi sasa maana Rais Samia Suluhu amewaamini
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:

Amemteua Dkt. Hashil Twaib Abdallah kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi huo Dkt. Abdallah alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara (Uwekezaji).

Amemteua Bw. Kaspar Kaspar Mmuya kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi. Kabla ya uteuzi huo Bw. Mmuya alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu).

Uteuzi huu ni kuanzia tarehe 09 Desemba, 2022.

View attachment 2446104
Mbona barua imeandikwa kimazwazwa sana hii? Hizi wizara hazikuwa na makatibu wakuu?
 
Mbona barua imeandikwa kimazwazwa sana hii? Hizi wizara hazikuwa na makatibu wakuu?
Kilio cha samaki baharini. Ina maana waliokuwepo machozi yao au wao wenyewe wamechukuliwa na mkondo wa maji 😎
 
Ndiyo kazi aliyobakiza anayoiweza.Lakini mambo ya msingi kama kuzuia mifumuko ya bei, umeme nk vyote vimemshinda.
Mfumuko wa Bei upo asilimia ngapi?..unatakiwa kuwa ngapi?..lini ulikua hapo?..tatizo la umeme limeanza 1991
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:

Amemteua Dkt. Hashil Twaib Abdallah kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi huo Dkt. Abdallah alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara (Uwekezaji).

Amemteua Bw. Kaspar Kaspar Mmuya kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi. Kabla ya uteuzi huo Bw. Mmuya alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu).

Uteuzi huu ni kuanzia tarehe 09 Desemba, 2022.

View attachment 2446104
Nimepends hiyo kuteua watu ambao wapo kwenye mfumo wa kitu husika. Hakuna kitu sikukipenda kama kuchukua eti Professor wa chuo katibu mkuu, yaani haikuwa sahihi.
 
Siku hizi Waislamu nao wanapatapata nafasi kidogo, hii si mbaya!
Acha fikira hizi, Mkuu. Hazijengi nchi bali zinaibomoa.
====
Washington DC 14 12 2022.
Hivi hii inakubalika, kufanya kazi kwa staili hii?

Binafsi, hii naona kama kule ndio wamempangia nani wa kuteua kwenye nafasi hizo. Hivyo, kiasi Fulani kupunguza ushawishi wa maamuzi. Nadhani lisifanyike Tena kwa mtindo huu. Maana halileti picha nzuri kwa baadhi ya Wananchi.
 
Umeongea point mkuu.
Sure mkuu wangu. Ma Professor wao wapewe funding za kufanya tafiti. Maana unakuta hata mshahara tofauti ni ndogo mno tena mno halafu professor kazoea kutoa kozi work matokeo yake wengi walishindwa kufanya vizuri, na wizara nyingi wameziharibu maana utamaduni wao na walikopelekwa ni tofauti kabisa.
 
Halafu uzi umepotezewa, Kiana. Au umefichwa na kauli ya kutogongewa mlango na mwenye deni lake??
 
Wakati huo huo hakuna ajira kwa vijana.
 
Acha fikira hizi, Mkuu. Hazijengi nchi bali zinaibomoa.
====
Washington DC 14 12 2022.
Hivi hii inakubalika, kufanya kazi kwa staili hii?

Binafsi, hii naona kama kule ndio wamempangia nani wa kuteua kwenye nafasi hizo. Hivyo, kiasi Fulani kupunguza ushawishi wa maamuzi. Nadhani lisifanyike Tena kwa mtindo huu. Maana halileti picha nzuri kwa baadhi ya Wananchi.

Hawashindwi kufanya chochote,kwani hujui?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amefanya uteuzi kama ifuatavyo:

Amemteua Dkt. Hashil Twaib Abdallah kuwa Katibu Mkuu Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara. Kabla ya uteuzi huo Dkt. Abdallah alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Wizara ya Uwekezaji, Viwanda na Biashara (Uwekezaji).

Amemteua Bw. Kaspar Kaspar Mmuya kuwa Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi. Kabla ya uteuzi huo Bw. Mmuya alikuwa Naibu Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu).

Uteuzi huu ni kuanzia tarehe 09 Desemba, 2022.

Zamu ya waislamu
 
Back
Top Bottom