Peaceforever
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 2,030
- 2,200
lakini si kuna watendaji wengi ambao ni wataalam mikoani na wilayani? Naona kazi yao ni ya kisiasa zaidi.Mama ilimradi tu afanye lolote aongolewe kwa miaka watu walikuwa wanalalama kubadilisha badilisha wakuu wa mikoa na wilaya kunaondoa consistencies ndio maana Magufuli aliwaacha.
Hao watu kwa muda waliokaa wanafahamu changamoto za maeneo yao, plan zilizokuwepo na changamoto za watendaji wao.
Kingine Magufuli for once alijitahidi kuweka wakuu wa mikoa kutokana na maeneo wanayoyafahamu au skills zao ili watatue changamoto kutokana priority wanazozifahamu wao.
Rosemary SinyamuleHakuna Madc waliopata promotion wakapanda na kuwa Marc?
Ulitaka wasipige fedha ya uhamisho+nights+ontransit+wategemezi?Naunga mkono hoja sioni mantiki ya kubadilsha kituo sababu kama anafaa basi wananchi wa mkoa huo wanastahili huyo mtu sio mkoa mwingine kama hafai nikuweka mtu mwingine tu sio leo yuko hapa kesho yuko pale mimi sielewi sababu. Huwezi kuwa mkuu wa mkoa mzuri tu mfano Moro halafu kesho unapelekwa Iringa je watu wa Moro hawastahili kuwa na mtu mzuri. Mimi nadhani either your IN or Out. Naunga hoja ni ushamba.
Mhe.Rais Samia ametupa mtu anayestahili kuwa mkuu wa mkoa wa Dodoma kwa maendeleo ya makao makuu ya nchi Tanzania ili kuleta amsha- amsha.
KaborongaNaona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!
Ally Hapi bado anakumbukwa!
Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Mtaka ameenda Dodoma CapitaleAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Yule jamaa wakati jina lake liko juu siku alipojuwa kuwa ile mianya imefungwa angekaa kimyaa na kutweet mara moja moja kama breaking news tena habari za uhakika ila anataka kubaki kulekule wakati info hana akarudi badala ya kutoa habari akawa mchambaji baada ya habari. kapotea JPM alimpaisha na JPM alikuwa mropokaji hana siri na wapambe ndio wasambaza habari.Kigogo2014 mkuu ni lipumbavu! Lilikuwaga linajidai kutoa mabrekingi nyuzi sasa hivi linaugulia maumivu limekuwa ka taahira vile linavyojisemeshasemesha!
Chalamila yuko pale pale kama mkuu wa mkoa. Kelele za kina Maria Sarungi hazijasikilizwa.
Hamduni afanye kazi kitaalam, aachane na vitisho vya magwanda ya kijeshi kama ya aliemtangulia. Akumbuke PCCB ni law enforcement agency or investigative services hivyo afanye kazi kitaalam.
Mikoa ya mipakani(Ukiacha mipaka ya Kenya,Malawi,Zambia) huwa kunakua na chokochoko na machafuko ya chini kwa chini ugaidi/ujambaziNatamani kujua kwanini mkoa wa Kagera wakuu wa mkoa huo mara nyingi wanapelekwa wanajeshi?
Anna Ngwira amestaafu ukuu wa mkoa akiwa ana miaka 62,Hobo Makongoro si amefikisha umri wa kustaafu?
Mwaka huu mtajinyonga.
Ukiwauliza watu Chalamila kosa lake ni nini hawana majibu ila wanataka tu atoke, chuki binafsi.
Mama hafanyi kazi kwa kuelekezwa na wanharakati.waendelee kupiga kelele.mbona watumishi hawawatetei!Chalamila yuko pale pale kama mkuu wa mkoa. Kelele za kina Maria Sarungi hazijasikilizwa.
Hamduni afanye kazi kitaalam, aachane na vitisho vya magwanda ya kijeshi kama ya aliemtangulia. Akumbuke PCCB ni law enforcement agency or investigative services hivyo afanye kazi kitaalam.
Kama ilikuwa ni amri kutoka juu basi hii dhambi haitamuandama.Ile ilikuwa amri kutoka juu lakini Makalla hakutaka ile kitu ndio chanzo ya mengine kumpiga fitna mpaka kura za maoni ubunge alipita wakamkata huko ila nazani Mama anajuwa story hii anajuwa jamaa hana makosa.
Out..retired...!Mgwira???