Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dom mojaAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Dar amepewa Amos MakallaAnakuja Dar
Dar sio Makala?Anakuja Dar
Alikuwa wapi mkuuAmos Makala mtu safi sana na anapenda kucheza mpira wa miguu
Ni jambo jema!
Hii ni awamu ya 6
Yule RC wa Mtwara hakumtendea haki rafiki yangu wakili Mmanda aliyekuwa DC kwa kumzika kule maporini.
Chalamila yuko pale pale kama mkuu wa mkoa. Kelele za kina Maria Sarungi hazijasikilizwa.
Hamduni afanye kazi kitaalam, aachane na vitisho vya magwanda ya kijeshi kama ya aliemtangulia. Akumbuke PCCB ni law enforcement agency or investigative services hivyo afanye kazi kitaalam.
Makongoro kawekwa huko ili aomdoke CCM watu wapange yao ma si vinginevyo. Maana ni kati ya watu wenye misimamo.Naona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!
Ally Hapi bado anakumbukwa!
Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Mtaka Dom soma mojaAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Mtaka DodomaAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Bado maDC!Duh noma. Pasco hajapata hata moja?