Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Makongoro kawekwa huko ili aomdoke CCM watu wapange yao ma si vinginevyo. Maana ni kati ya watu wenye misimamo.

Sent from my SM-T295 using JamiiForums mobile app
Kwani akiwa mkuu wa Mkoa haingii kwenye vikao vya CCM? Usichokijua ukiwa mkuu wa wilaya na mkoa unakuwa mjumbe wa kamati ya siasa na hapo ndio unaweza kuishi ki ccm vizur zaid.
 
Mama ilimradi tu afanye lolote aongolewe kwa miaka watu walikuwa wanalalama kubadilisha badilisha wakuu wa mikoa na wilaya kunaondoa consistencies ndio maana Magufuli aliwaacha.

Hao watu kwa muda waliokaa wanafahamu changamoto za maeneo yao, plan zilizokuwepo na changamoto za watendaji wao.

Kingine Magufuli for once alijitahidi kuweka wakuu wa mikoa kutokana na maeneo wanayoyafahamu au skills zao ili watatue changamoto kutokana priority wanazozifahamu wao.
Kuzoea kituo Cha kazi mda mrefu pia ni shida ufisadi unaanzia hapo
 
Kutamuuu kama chachandu kwe mihogo na kambale wa Bagamoyo
 
Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.

Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?

Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Kwahiyo kama mtu ana plan zake nzuri zenye manufaa na zishaanza kuzaa matunda kuna dhambi gani akipelekwa sehemu nyingine akawanufaishe huko?
Kama Jokate ashafanya kitu kizur pale Kisarawe na kishaonekana ushamba uko wapi ukimpeleka Kakonko akafanye kama alivyofanya Kisarawe kama ni maendeleo?
 
Back
Top Bottom