mshale21
JF-Expert Member
- Apr 8, 2021
- 2,126
- 5,068
Cha msingi Raisi azingatie kuteua viongozi kwa kusudi la utawala Bora, na si chuki na kukomoa mtu!Raisi Samia tuletee makonda hapa Kilimanjaro amnyooshe mnywa konyagi na genge lake.
Hayo mambo alikuwanayo Jiwe, kashafukiwa nayo! Yasijirudie Tena!