Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtaka Dodoma bossAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Walao kwa huyu mama nampongeza.Queen mama wa taifa kipindi cha uchaguzi
Kwani amemaliza kuteua?!!MAKONDA imekuwaje tena? Huyu mama veepee? DAH!
Ki vipi?Japo hatumpangii ila kwa kiasi kikubwa hakushauriwa vizuri katika nafasi za ukuu wa mikoa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mama hajatutendea haki kwa kweli!!!Mwanza mpo....???
Amestaafu.Ana mgwilla Ameachwa.
amestaafu
Unaondoa consistency utendaji kazi unakuwa imara zaidi watu wanapoanza kuelewa strength na weakness za wenzao, tabia za wenzao ili wasikwaruzane na waende vipi pamoja kupanga mipango yao ya muda mrefu.Kwahiyo kama mtu ana plan zake nzuri zenye manufaa na zishaanza kuzaa matunda kuna dhambi gani akipelekwa sehemu nyingine akawanufaishe huko?
Kama Jokate ashafanya kitu kizur pale Kisarawe na kishaonekana ushamba uko wapi ukimpeleka Kakonko akafanye kama alivyofanya Kisarawe kama ni maendeleo?
Hapi ni kama adhabu ndogo toka Iringa kwenda Tabora ni yaleyale kuna baadhi ya mikoa inachukuliwa kama adhabu fulani hivi yule wa Simiyu kapelekwa makao makuu kama cheo hivi japo tutasema yote mikoa lakini ukweli baadhi ya mikoa inachukulia kama yellow card.MAKONDA imekuwaje tena? Huyu mama veepee? DAH!
Huyu mama kajua kuharibu Eid pili wallah, [emoji23][emoji23][emoji23] nacheka km mazuri vile.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Wapika majungu hoi....ha ha ha
Jina #1 kabisaAmos Makalla amerudishwa ulingoni,
Mtaka sijamuona.
Karibu Dar mh Makalla
Labda kwenye Kilimanjaro bia.Raisi Samia tuletee makonda hapa Kilimanjaro amnyooshe mnywa konyagi na genge lake.
Zile mechi za kila ijumaa siku hizi bado zipo?.Mwambie ajie Dar Gymkhana club over 40 tunacheza kila Jumanne na Alhamisi.Tulikuwa na Striker hatari Mhe.Masauni siku hizi simuoni!
Exactly ndio maana Magufuli alikuwa kama mtu hafai anatimua tu lakini abadili watu ovyo ovyo.Naunga mkono hoja sioni mantiki ya kubadilsha kituo sababu kama anafaa basi wananchi wa mkoa huo wanastahili huyo mtu sio mkoa mwingine kama hafai nikuweka mtu mwingine tu sio leo yuko hapa kesho yuko pale mimi sielewi sababu. Huwezi kuwa mkuu wa mkoa mzuri tu mfano Moro halafu kesho unapelekwa Iringa je watu wa Moro hawastahili kuwa na mtu mzuri. Mimi nadhani either your IN or Out. Naunga hoja ni ushamba.
Unamzungumzia Mh Ridhiwani?Mmm...Kuteuliwa kwa Makongoro Nyerere na Sokoine hizi ni dalili za mtu kupewa UWAZIRI soon!!
Ndoto za jioniImagine unasoma barua hiyo unakuta.
11. Amemteua Bw. Lengai Ole Sabaya kuwa mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, kabla ya hapo alikuwa mkuu wa wilaya ya Hai.
[emoji23][emoji23][emoji23]