Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Hamduni-TAKUKURU, Makala-Dar, Kafulila-Arusha, Chalamila-Mwanza, Sendiga-Iringa, Makongoro...

Mkuu wa JKT Gen Kabuge vipi tena anaondolewa.? Jamaa amesimamia Ujenzi wa ukuta, ujenzi wa Ikulu, na miradi kibao hadi akapandishwa cheo mbele na magufuli.
 
Cocastic unataka kufurahi tu kwa kila uteuzi na utenguzi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Jana ulicheka ,kufurahi Sana na kumsifu mh.Rais baada ya KUMSIMAMISHA comrade Sabaya [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

#NaEidPiliIendelee[emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] hebu niache huko na wee khaaah, usinipandishe presha ujue.

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Pedeshee Amosi Makalla barizie..barizie belaa mama ukisikia nimekufa usilie bali sherekea..." Dar ya Pedeshee
 
Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.

Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?

Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
You are right....
consistency hapa ndio wenye akili wanatuacha...
haileti mantik kupangua pangua ....!?
pangua sehemu ambazo hazina performance ya kutosha.....
 
Mama ilimradi tu afanye lolote aongolewe kwa miaka watu walikuwa wanalalama kubadilisha badilisha wakuu wa mikoa na wilaya kunaondoa consistencies ndio maana Magufuli aliwaacha.

Hao watu kwa muda waliokaa wanafahamu changamoto za maeneo yao, plan zilizokuwepo na changamoto za watendaji wao.

Kingine Magufuli for once alijitahidi kuweka wakuu wa mikoa kutokana na maeneo wanayoyafahamu au skills zao ili watatue changamoto kutokana priority wanazozifahamu wao.
Changamoto changamoto zenyewe ni upinzani au sio?
 
Major Gen mbuge.... Ulaji Jkt Umeishaa daa sasa ni RC.... Kagera:
 
Back
Top Bottom