Uwezo..... Ina maana wanawake bado hawajawa na uwezo wa kuongoza....Nimestaajabu kwakweli...jiwe alijitahidi kubalance[emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
AMESITAAFUMgwira???
Mama kamuweka mzanzibari mwenzake ili awe loyal kwake, kuna watu anataka wachunguzwe..vigogo wakae tayariNaona Kafulila na Makongoro wamekumbukwa!
Ally Hapi nae bado anakumbukwa!
Kulikoni Bosi wa TAKUKURU kupangiwa kazi nyingine!
Mi pia nimeshangaa mkuu.Kwanini Tabora iwe yellow kadi? Unaichukulisje Tabora?!
Sioni tatizo la Hapi Mimi binafsi...huyu dogo atafika mbali Sana...anaweza hata akawa PM baadaye...
Naibu Rais wa Jamhuri ya Umofia
Morogoro imepata mchapakazi asiye na maneno mengi Martin ShigellaMorogoro hawajatuondolea bado?
bila shaka unatania,,,, jokate ana mipango nae🤔?Nipate tabu ya nini, kubadilisha badilisha watu kunaondoa consistency.
Chukulia mtu kama Jokate ana plan zake kibao Kisarawe kesho umtoe umpleke sijui Rukwa si anaenda kuanza upya tena, huyo atakaenda huko ataendeleza legacy zake?
Kubadilisha badilisha watu vituo vya kazi ni mambo ya kishamba tu.
Check namba 1 juu kabisa ndipo anapokaaAnakuja Dar
Naona Mkuu wa JKT wa zamani Maj. General Charles Mbuge katolewa na kwenda kuwa Mkuu wa Mkoa Kagera.Salaam Wakuu, Huu ndo uteuzi rais kafanya.
Rais Samia afanya Uteuzi wa Wakuu wa Mikoa na Taasisi: Bw. Mwakitalu kuwa Mkurugenzi wa Mashitaka(DPP), Hamduni Mkuu wa TAKUKURU, Amos Makala kawa mkuu wa Mkoa wa Dar, Kafulila kawa mkuu wa Mkoa Arusha, Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza, Queen Sendiga kawa mkuu wa Mkoa Iringa(Queen alikuwa Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Alliance for Democratic Change (ADC) Uchaguzi wa Oktoba 2020), Makongoro Nyerere kawa mkuu wa Mkoa Manyara.
Chalamila kawa mkuu wa Mkoa Mwanza(Albert Chalamila alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya), Kunenge kawa mkuu wa Mkoa wa Pwani( Aboubakar Kunenge alikuwa Mmkuu wa Mkoa wa Dar), Kagaigai kawa mkuu wa Mkoa KIlimanjaro(Stephen Kagaigai alikuwa Katibu wa Bunge), Ali Hapi kawa mkuu wa Mkoa Tabora(Hapi alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa). Anna Mngwira amesitaafu alikuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro.
Aliyekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Brigedia Jenerali John Mbungo atapangiwa kazi nyingine.
View attachment 1785850
View attachment 1785846
View attachment 1785849
Kuanzia miaka mingapi ?Bado umri hauruhusu.
Halafu nimeona wameandika brig jen mbuge ..inamaana amevuliwa nyota moja au?Naona Mkuu wa JKT wa zamani Maj. General Charles Mbuge katolewa na kwenda kuwa Mkuu wa Mkoa Kagera.
Maj. General Charles Mbuge anatakiwa ajitathmini sana utendaji wake na tabia zake za hovyo alizokuwa nazo akiwa JKT maana hiyo imekuwa ni demotion kwako.
Wakati wa utendaji wake akiwa Mkuu wa JKT Maj. Charles Mbuge alikuwa na mapungufu na natatuzo yafuatayo;
1. Kujipendekeza sana kwa mwendazake mpaka alifikia kuwadharau mabosi wake
2. Hata kupandishwa cheo kuwa Maj. General kulikuwa na walakini
3. Empties[emoji38][emoji38][emoji38] za vijana waliokuwa wanakwenda JKT na hivyo kupelekea kuwa na malipo yaliyokuwa na walakini sana. Mh. Rais apeleke team ya wakaguzi kwenye makambi yote ili kukinganisha idadi halisi ya vijana waliokuwa wanapelekwa JKT na idadi ya pesa iliyokuwa inaombwa hazina
4. Alikuwa anaoenda kuwanyanyasa wale wote waliokuwa na mawazo tofauti kuhusu kumanage rasilimali fedha na hivyo kupelekea kuwahamisha vituo kama ishara ya kuwakomoa
6. Kuna badhi ya askari alikataa kuwapanxisha vyeo mwezi wa 2 wakati walikuwa wanastahili kutokana na chuki binafsi tu.
7. Kuna askari mmoja yuko Kigoma alitakiwa apandishwe cheo mwezi wa 2 kuwa Major lakini Maj. General Mbuge alilinyofoa jina lake wakati wa kuyapeleka majina Ngome ili kumkomoa askari husika kwa chuki binafsi tu
8. Maj. General Charles Mbuge kutokana na kutojiamini na ukizingatia kuwa na shule ndogo aliwagawa wafanyakazi wa JKT
Mwisho, atakaekuja kuchukua nafasi ya Maj. General Mbuge ajaribu kuangalia weakness alizokuwa nazo Mbuge ili kujenga team work na nidhamu kwenye jeshi letu, acha mambo ya kuonea watu.
Asante!!
OK. unajua kifo cha mama yake Sugu kilichangiwa na matatizo aliyopata Sugu kwasababu mama ndio alianza kuugua.Sugu alishawahi kumsifia Makala
HuyoHuyu anastahili View attachment 1785857
Amepelekwa Mkoa wa PwaniYule Kunenge kapelekwa wapi Mkuu? Alikuwa poa ukilinganisha na muuaji Bashite.
Mkuu ukumbuke pia kuna "General" amewahi kuwa mkuu wa Mkoa Shinyanga na Kagera, Gen. Kiwelu.Inatoka kuwa Mkuu wa JKT hadi kuwa RC Tena mwenye cheo cha Major General Hapa Ni kupanda au kushuka kitaalamu imekaaje!??
Huyu mwamba kunasehemu kakosea!!
Kwangu Mimi naona huyo jenerali hajakosea kitu...Mhe. Rais anapanga safu yake jeshini...Ni lazima aweke loyalists wake kwenye sehemu nyeti jeshini...mabadiliko yanakuja jeshini no doubt about it...hata huko TISS na polisi kutakuwa na mabadiliko...Ni kawaida kabisa akija Rais na Amiri Jeshi mpya..Inatoka kuwa Mkuu wa JKT hadi kuwa RC Tena mwenye cheo cha Major General Hapa Ni kupanda au kushuka kitaalamu imekaaje!??
Huyu mwamba kunasehemu kakosea!!
Tupo ulewehu wake auche hukohukoMwanza mpo....???
Cha msingi Raisi azingatie kuteua viongozi kwa kusudi la utawala Bora, na si chuki na kukomoa mtu!
Hayo mambo alikuwanayo Jiwe, kashafukiwa nayo! Yasijirudie Tena!